Putin wa miezi miwili iliyopita, si huyu wa leo!

Putin wa miezi miwili iliyopita, si huyu wa leo!

Majasusi wa kimataifa walio na uwezo wa ajabu wameshamaliza kazi,

Putin wa Leo, si yule wa Kabla ya uvamizi wa Ukraine!

Afya yake imeshachokonolewa,

Mnaoangalia kwa jicho Kali na angavu, mtakubaliana ni Mimi kuwa, jamaa afya yake imeshachezewa!!

Muda utaongea!
Ndoto za mashoga

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
We jamaa acha ujuaji. Yaani video iwe ya namna hiyo halafu na bado clue yake ya habari waitoe. Yaani kwa akili yako unadhani wanaweza wakatoa video au picha ya kiongozi mkubwa bila kuichambua vya kutosha.
Wenzetu mnafikiriaga kwa kutumia nini jamani. Mmekuwa viazi kiasi kwamba Leo hao Weaterners wakieleza kuwa nyie nibwa siyo binadamu mtakubali. Aisee.
Kama hawana video nyingine zaidi watatoa ya aina gani, unaweza kuta hii ndio nafuu zaidi. Leonid Brezhnev alifia madarakani akiwa mgonjwa ila public appearances alikuwa anafanya na hali yake ileile. Alikuwa na option ya kupotea kabisa akazua taharuki au kuonekana hivyo hivyo
 
Mkuu akifikia hatua ya kutembea kama Lowassa wa 2015 unitag
 
Dahh nimecheka sana mkuu mpaka watu wananishangaa hapa .....

[emoji23][emoji23][emoji23]

( ( Aisee ndio maana wazungu walisema Afrika lazima twende motoni, kwa staili hii ya unafiki unafiki, na tukifika huko lazima nikutafute nikutilie mamkaa nichochee firee. Yaani nilipobanikwa Mimi nafanya kuupunga nakuujaza kwako
Ncheeee yaaaani ))
haha wanazingua
 
Aisee ndio maana wazungu walisema Afrika lazima twende motoni, kwa staili hii ya unafiki unafiki, na tukifika huko lazima nikutafute nikutilie mamkaa nichochee firee. Yaani nilipobanikwa Mimi nafanya kuupunga nakuujaza kwako
Ncheeee yaaaani

hahaaa mkuu umenichekesha sana
 
CIA na Mosad wanatawala dunia
Hujui lolote ndugu,Kaa kimya TU.
Ungejua unyama,umafia na uwezo wa KGB,GRU hapa duniani wala usingesema hayo.
Bado uwiano ni uleule KGB vs CIA,MI6,Mossad,vyombo vyote vya ujasusi vya west.
Sasa fikiria huo ni uwezo wa aina Gani utajua .
 
Hujui lolote ndugu,Kaa kimya TU.
Ungejua unyama,umafia na uwezo wa KGB,GRU hapa duniani wala usingesema hayo.
Bado uwiano ni uleule KGB vs CIA,MI6,Mossad,vyombo vyote vya ujasusi vya west.
Sasa fikiria huo ni uwezo wa aina Gani utajua .
Russia hana uwezo wa kufanya ujasusi dunia nzima. Hana pesa. CIA wana assets dunia nzima, both human and technical. Sio sawa kuwafananisha na agency ya Russia.
 
Shida nikwamba ndugu yetu T14 Armata siku hizi umekua unaandika mambo ya ajabu sana sana ila naheshimu mawazo pia namaoni yako ila naomba tu nikwambie yakwamba
Dunia nzima sio US tu yaani dunia nzima iwe inaongozwa na Waziri mkuu Kansela Rais Mfalme ama vyovyote basi hio nyadhfa ujue nitaasisi tena taasisi nyeti kabisa
Shida yenu nikwamba munataka lazima mifumo yote yakiutawala ifanane na US yaani mnataka kuiaminisha dunia kanakwamba US ndio inamfumo imara kuliko taifa lolote Duniani
Hata pale UCHINA kabla ya Xi watu walikua wanasema kama haya ila hatimae UCHINA imekua imara kuliko ilivyokua kabla na maisha yanaendelea
Yaani kama yeltsin aliondoka na maisha yaliendelea Dimitri aliondoka na RUSSIA iliendelea na PUT IN ataondoka namaisha yataendelea
Tena kama mnadhania kwamba RUSSIA hana warithi mnakosea sana yaani taifa kubwa kama RUSSIA wasiandae mrithi wa PUT IN kanakwamba PUT IN ataishi milele amima
Hoja ya kuumwa kwa PUT IN watu wanaikuza ikiwemo wewe sababu tu munachuki na PUT IN na RUSSIA hakujawahi kua na maajabu wala jipya kwenye mtu kuumwa sababu ugonjwa unamkamata yeyote hata awe RAIS
Kama Tiizii mlikua ama walikua wanaamini kwamba magufuli alikua hayati Rais MAGUFULI alikua RAIS wahovyo ambae alibadilisha system yauendeshaji nchi na akafa akiwa madarakani na taifa halikuingia kwenye OMBWE hata theluthi itakuja kua taifa kubwa kama RUSSIA
Lakuomba tu MUUMBA atupe Uhai mpaka tuuone mwisho wa PUT IN kama kwakufa ama kwakung'atuka mwenyewe kwamapenzi yake ila musahau kabisa kuiona RUSSIA inaingia kwenye OMBWE kisa eti PUT IN kafa
Shida nikwamba mnaaminishwa mambo yaajabu kabisa na hao wamagharibi kiasi kwamba mnaona RUSSIA hawajaandaa mtu wakumrithi PUT IN tena bwana PUT IN hata asife atakavyoondoka kivyovyote vile basi taifa litakua imara zaidi yaalivyokua yeye
Taifa kama la RUSSIA lenye kupanga mipango yake miaka 50 mbeleni huko haliwezi kushughulishwa nakufariki ama kuondoka madarakani kwa PUT IN
Nakuhakikishia RUSSIA kuna taasisi imara zaidi yamnavyo aminishwa pia PUT IN kuumwa nijambo lakawaida sana sana sanaa ukijumlisha naumri alokua nao ndio kabisaaaaaaa
Kama tiiziii hamukuingia kwenye ombwe la siasa musahau kwa RUSSIA kama KOREA NORTH haikuingia kwenye ombwe la kisiasa musahau kwa RUSSIA
Nimalizie tu RUSSIA wanajitambua sio kama media zinavyowaaminisha nanyie mnaamini
Andiko lako limemaliza kila kitu, binafsi naamini hakuna Taifa ambalo liko macho juu ya maadui zake kama Urusi, na hakuna Taifa linalowanyima usingizi NATO/US kama Urusi.
 
Russia hana uwezo wa kufanya ujasusi dunia nzima. Hana pesa. CIA wana assets dunia nzima, both human and technical. Sio sawa kuwafananisha na agency ya Russia.
Kama mtu wa kuangalia movie jaribu kuangalia movie zinazohusisha USA na Russia, japo zimetengenezwa Marekani lakini utaona wanavyoipa heshima Russia...

Utagundua hawa mataifa yanajuana na yanapelelezana Kwa kiwango cha juu Sana...
 
Kama mtu wa kuangalia movie jaribu kuangalia movie zinazohusisha USA na Russia, japo zimetengenezwa Marekani lakini utaona wanavyoipa heshima Russia...

Utagundua hawa mataifa yanajuana na yanapelelezana Kwa kiwango cha juu Sana...
Ni kweli kwamba Russia wako vizuri. Hapa nazungumzia ujasusi wa dunia nzima.
 
Majasusi wa kimataifa walio na uwezo wa ajabu wameshamaliza kazi,

Putin wa Leo, si yule wa Kabla ya uvamizi wa Ukraine!

Afya yake imeshachokonolewa,

Mnaoangalia kwa jicho Kali na angavu, mtakubaliana ni Mimi kuwa, jamaa afya yake imeshachezewa!!

Muda utaongea!

Nkt
 
Majasusi wa kimataifa walio na uwezo wa ajabu wameshamaliza kazi,

Putin wa Leo, si yule wa Kabla ya uvamizi wa Ukraine!

Afya yake imeshachokonolewa,

Mnaoangalia kwa jicho Kali na angavu, mtakubaliana ni Mimi kuwa, jamaa afya yake imeshachezewa!!

Muda utaongea!
Kwani sikuwaambia jamaa wanamuondoa silence
 
Majasusi wa kimataifa walio na uwezo wa ajabu wameshamaliza kazi,

Putin wa Leo, si yule wa Kabla ya uvamizi wa Ukraine!

Afya yake imeshachokonolewa,

Mnaoangalia kwa jicho Kali na angavu, mtakubaliana ni Mimi kuwa, jamaa afya yake imeshachezewa!!

Muda utaongea!
Weka picha basi ukute unamzungumzia Putin wa Chattle
 
Back
Top Bottom