clemsha789
Senior Member
- Jul 1, 2023
- 198
- 335
Hajui kama risks ar everywhere, sasa kama hapo Prado lingekua gari kubwa huyo dereva wa roli si angekufa, je angesema devera wa roli mzembe au sio mzoefu.Kwahiyo huyo dreva wako mzoefu ndio hawezi kupata ajali?
Dereva daladala aliyekunywa viroba anaweza kuwa anaendesha vizuri gari kuliko madereva wengi sana wa maofisini ambao wamenunua leseni. Nina ndugu zangu wa SADC wakija Tanzania ndio wananunua leseni wakazitumie nchi zao, wana uzoefu wa kuendesha magari ila wakifanya test chances za kufeli kule kwao ni kubwa.Bora upande yale madaladala yanayoendeshwa na wanywa viroba usiku?, bora utembee tu Mkuu
nimewahi kupanda daladala kutokea Buguruni kwenda Kawe, Dereva kama vile akili aliziacha buguruni usiku ule tukielekea Kawe, nilishuka Mkwajuni nikabadili daladala
Hizo gari watu wengi wanazolalamikia sio nzuri ila watz wakipendq kitu huwabadilishiKuna uwezekano mkubwa Prado ilichomoka tairi ya mbele na kuacha njia.
Maana Prado kwa kuchomoka tairi...
Kwahio kuwe na porojo kwenye misiba ya Manyani?Precision kwenda same?hii ni ajali kama ajali nyingine kwani swala la ndege au gari ni swala la uchaguzi tu, kila mtu atakufa tuache porojo kwenye misiba ya watu
Yohana 10:10Msiba mkubwa sana huo.
Familia imepata maafa makubwa.
Mengine sijui kama ni mapenzi ya Mungu.
Poleni wote.
toa ubuyu wote sio nusu nusuNdo akina msuya hawa??
Hujawaho kwenda kwenu..miaka na miaka..baba yenu anawaita njoo nyumbana niongee nanyi..mnajifanya busy..mnachofanya ni kumchukua mama yenu na kukaa nae mjin na baba anabaki kijijin akiwa hana msaada wowote huku AMEINAMISHA nafsi yake kwa sababu ya matendo yenu...linakuja kutokea tatizo kubwa pasipo kureconcile na baba yenu mnajibeba mnaenda.........
ATUKUZWE BABAYes mkuu,ujue watu wana-base kusema mama/bana hata awe kichaa ni baba/mama tu,No ni uongo,binafsi sipatani na mama mzazi kabisa,kaniacha mikononi mwa baba nikiwa na mwaka mmoja na miezi minne,baada ya mwaka mmoja kabeba mimba na kuzaa na mwanamme mwingine,bila ya kuja hata kuniona,I was to die,ila mungu akawa upande wangu.
Hadi sasa nikisikia mtu anasema nani kama mama huwa nakasirika sana,nafarijika sana nikisikia nani kama baba,
All in all wapumzike kwa Amani japo kuendesha gari usiku kama sio mzoefu ni risk sana bcoz mambo mengi yanafanyika usiku hasa tusisahau muda wenyewe ni mmbaya wenye barabara yao pia wapo kazini muda huo.Mara nyingi usiku ma dreva wa kweli huwa wao wanalala na gari humuachia tingo wake nae aongeze ujuzi wa kuendesha! Sasa unakuta tingo anajifunza mwenyewe, maana Mwalimu wake ambae ndiyo dereva Mkuu kalala fofofoo!!
Ndio umeona umeongea point mwenyeweKwahio kuwe na porojo kwenye misiba ya Manyani?
Rubish
Humu unaongea?Ndio umeona umeongea point mwenyewe
Yes kwa barabara zetu speed 80 - 100 sio mbaya sana, sema watu wqnaendeshea sifa, kama unataka kufika sehemu saa flani weka masaa 2 mengine ya ziada (mfano safari inachukua masaa 8 ondoka masaa 2 kabla ili uweze ku-balance speed in case barabarani kuna foleni etc.Ni kweli mkuu km50/h kama unaenda mbali ni changamoto ila mafuta yanaliwa sana ukiendesha above 119km/h. Ila 50-119km/h consumption ni nzuri. Speed nzuri ni 80km/h pale vibao vinaporuhusu.
Sahihi. Na hata kama una uzoefu, ni bora kuutumia badala ya kuupuuza ukaanza kukimbia hovyo.
Usingizi ni hatari. Hata mm imeshanitokea mara mbili sababu ya kujiona nina uzoefu. Sasa hivi nina adabu na barabara.
Sahvi watu wengi wanaendesha magari ovyo tuYes kwa barabara zetu speed 80 - 100 sio mbaya sana, sema watu wqnaendeshea sifa, kama unataka kufika sehemu saa flani weka masaa 2 mengine ya ziada (mfano safari inachukua masaa 8 ondoka masaa 2 kabla ili uweze ku-balance speed in case barabarani kuna foleni etc.
Ukiwa barabarani ogopa sana madereva wanaojua kuendesha auto peke yake, lakini hajui kuendesha Manual!Sahvi watu wengi wanaendesha magari ovyo tu
Mtu anakimbiza gari bila sababu yoyote
Ova
PRADO MCHAGA zina tatizo la kukatika ball Joint bila kutarajia. Kwa ujumla prado siyo gari.We jamaa namna gani???
Huyu kama angekuwa dereva asingesinzia....wangapi wanafanya kazi mchana kutwa na usiku wanakesha.2.tairi linakatikaje??? Au wazungumzia ''BASTI'' 3.Kama ni ball joint au tire road end zilileta shida...alikagua gari kabla ya safari...kama ndio...ni garage ipi?...hapa tujifunze...je?macho ya dereva (prado}na taa za scania.....kwa nini apige scania asipige pori?????
Ila Hugo mhadhiri no Mzumbe kituo cha Dar wameandikaMoro matumizi ya fedha yako chini kiasi unaweza ukazunguka mji kutafuta chenji ya sh. 10,000/= huku Dar utaipata kwa muuza maji ya kandoro.
KIA to Same si sawa na Dar to Same tuu?Precision si unashuka Moshi,then unapanda basi.Ajali ya kizembe.