Pwani: Magari yagongana uso kwa uso, wanne wafariki

Wapumzike kwa amani ya Bwana, nishauri kitu kama huna uzoefu au uhakika wa safari ndefu tena usiku usijaribu,wapo madereva wengi wazoefu unaweza omba wakusaidie tupunguze ujuaji vitu vinavyoweza hatarisha maisha yetu
 
Dereva daladala aliyekunywa viroba anaweza kuwa anaendesha vizuri gari kuliko madereva wengi sana wa maofisini ambao wamenunua leseni. Nina ndugu zangu wa SADC wakija Tanzania ndio wananunua leseni wakazitumie nchi zao, wana uzoefu wa kuendesha magari ila wakifanya test chances za kufeli kule kwao ni kubwa.

Kuna maelfu ya waendesha daladala jiji la Dar ila nadra kusikia daladala limeua watu wanne kwa ajari. Na yanakimbia kila usiku na kila alfajiri, na madereva wanakunywa wengine mida trafiki hamna, na wana fatigue kila siku, wanakuwa na usingizi kila siku. Uzoefu wao usiuchukulie kawaida.
 
Precision kwenda same?hii ni ajali kama ajali nyingine kwani swala la ndege au gari ni swala la uchaguzi tu, kila mtu atakufa tuache porojo kwenye misiba ya watu
Kwahio kuwe na porojo kwenye misiba ya Manyani?
Rubish
 
toa ubuyu wote sio nusu nusu
 
ATUKUZWE BABA
 
Mara nyingi usiku ma dreva wa kweli huwa wao wanalala na gari humuachia tingo wake nae aongeze ujuzi wa kuendesha! Sasa unakuta tingo anajifunza mwenyewe, maana Mwalimu wake ambae ndiyo dereva Mkuu kalala fofofoo!!
All in all wapumzike kwa Amani japo kuendesha gari usiku kama sio mzoefu ni risk sana bcoz mambo mengi yanafanyika usiku hasa tusisahau muda wenyewe ni mmbaya wenye barabara yao pia wapo kazini muda huo.
Risk nyingine ni kusafiri familia moja kwa pamoja kwenye gari bcoz ikitokea msiba unakuwa mzito zaidi kwa wanafamilia kwa ujumla
 
Yes kwa barabara zetu speed 80 - 100 sio mbaya sana, sema watu wqnaendeshea sifa, kama unataka kufika sehemu saa flani weka masaa 2 mengine ya ziada (mfano safari inachukua masaa 8 ondoka masaa 2 kabla ili uweze ku-balance speed in case barabarani kuna foleni etc.
 
Sahvi watu wengi wanaendesha magari ovyo tu
Mtu anakimbiza gari bila sababu yoyote

Ova
 
PRADO MCHAGA zina tatizo la kukatika ball Joint bila kutarajia. Kwa ujumla prado siyo gari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…