Bila shaka alifuata. Kama hakufuata serikali ya kijiji na kata ziulizwe, lazima zimepiga pesa ndefu.Unapotaka kutumia maji ya mto au kufanya shuguli mtoni kuna taratibu zake
Je huyo mchina alizifata
Ova
Ameanza leo kuvuta hayo maji?#HABARI BODI ya Maji Bonde la Wami/Ruvu imemkamata mkulima mkubwa raia wa China anayefanya kilimo cha umwagiliaji Kijiji cha Kidogozelo Kitongoji cha Migudeni wilayani Chalinze akivuta Maji katika Mto Ruvu kwa kutumia mashine yenye uwezo wa kuvuta maji Lita milioni moja kwa saa. https://t.co/sdJ6JzZ2Ck
View attachment 2016510
Kesi atauziwa mchina, ngoja tuone kama uhujumu uchumi utamhusuWanataka kusema huyo ndio kasababisha mgao wa maji???
Inavyo onekana, mfumo wetu wa kusimamia taratibu za mabonde haukuwa unafanya kazi (hadi kusubiri matamko ya Waziri/Rais) hivyo; natamani mchina wa watu asikaushiwe mazao yaliyopo shambani ila awekewe utaratibu wa kumsaidia aweze kuivisha na kuvuna kile kilichopo shambani tayari... Kilimo ni kigumu sana jamani#HABARI BODI ya Maji Bonde la Wami/Ruvu imemkamata mkulima mkubwa raia wa China anayefanya kilimo cha umwagiliaji Kijiji cha Kidogozelo Kitongoji cha Migudeni wilayani Chalinze akivuta Maji katika Mto Ruvu kwa kutumia mashine yenye uwezo wa kuvuta maji Lita milioni moja kwa saa. https://t.co/sdJ6JzZ2Ck
View attachment 2016510
Wanakera sanaYan viongozi tulio nao sio kabisa. Ni bendera fata upepo, ukilima shida, ukivuna shida, ukiuza mazao yako pia shida, kila kitu probleme
Movie Kama movie zingine tu#HABARI BODI ya Maji Bonde la Wami/Ruvu imemkamata mkulima mkubwa raia wa China anayefanya kilimo cha umwagiliaji Kijiji cha Kidogozelo Kitongoji cha Migudeni wilayani Chalinze akivuta Maji katika Mto Ruvu kwa kutumia mashine yenye uwezo wa kuvuta maji Lita milioni moja kwa saa. https://t.co/sdJ6JzZ2Ck
View attachment 2016510
Tulikuwa chato tunatambikwa 😠Siki zote mlikuwa wapi
Misukule ya dikteta mna chukiiMovie Kama movie zingine tu
Kama ana contract yake vizuri atawagalagaza wanasheria wasomiKwa mibomba hiyo hawezi kuwa hana vibali vya kutumia hayo maji,wasitafute mtu wa kumuangushia jumba bovu
Hawa wamejaa mapichapicha mengi sanaWanataka kusema huyo ndio kasababisha mgao wa maji???
Si analipa kodi lakini kwahiyo tuwaambia wawekezaji huku hata kilimo cha kumwagilia ni mtihanii#HABARI BODI ya Maji Bonde la Wami/Ruvu imemkamata mkulima mkubwa raia wa China anayefanya kilimo cha umwagiliaji Kijiji cha Kidogozelo Kitongoji cha Migudeni wilayani Chalinze akivuta Maji katika Mto Ruvu kwa kutumia mashine yenye uwezo wa kuvuta maji Lita milioni moja kwa saa. https://t.co/sdJ6JzZ2Ck
View attachment 2016510
KabisaKama ana contract yake vizuri atawagalagaza wanasheria wasomi
Anakamatwa ili iwaje huyo si muwekezaji? Acha aendelee kuwekeza mazao yasije kukauka#HABARI BODI ya Maji Bonde la Wami/Ruvu imemkamata mkulima mkubwa raia wa China anayefanya kilimo cha umwagiliaji Kijiji cha Kidogozelo Kitongoji cha Migudeni wilayani Chalinze akivuta Maji katika Mto Ruvu kwa kutumia mashine yenye uwezo wa kuvuta maji Lita milioni moja kwa saa. https://t.co/sdJ6JzZ2Ck
View attachment 2016510
kile kitu kinachozunguka nchi nzima!!Sisi kama Taifa tumelaaniwa mahali,labda ni kule kuacha Matambiko ya Asili.
Huo ni uonevu,, sheria haijaweka limit ya mtu wa umwagiliaji mwisho lita ngapi?.Walikuwa wapi?