Pwani: Mtambo wa kuvuna maji lita milioni moja kwa Saa, wakamatwa katika chanzo cha maji cha mto Ruvu

Pwani: Mtambo wa kuvuna maji lita milioni moja kwa Saa, wakamatwa katika chanzo cha maji cha mto Ruvu

#HABARI BODI ya Maji Bonde la Wami/Ruvu imemkamata mkulima mkubwa raia wa China anayefanya kilimo cha umwagiliaji Kijiji cha Kidogozelo Kitongoji cha Migudeni wilayani Chalinze akivuta Maji katika Mto Ruvu kwa kutumia mashine yenye uwezo wa kuvuta maji Lita milioni moja kwa saa. https://t.co/sdJ6JzZ2Ck
View attachment 2016510
Ameanza leo kuvuta hayo maji?
 
I see a hustler here damn maji yote hayo anamwagilia nn ? Tumekaa zetu mjini tu white collar jobs tunachomekea na kinyonga tai tunashindia maji lita moja na nusu tu af muhuni yuko zake chobingo huko anafanya yaje
 
#HABARI BODI ya Maji Bonde la Wami/Ruvu imemkamata mkulima mkubwa raia wa China anayefanya kilimo cha umwagiliaji Kijiji cha Kidogozelo Kitongoji cha Migudeni wilayani Chalinze akivuta Maji katika Mto Ruvu kwa kutumia mashine yenye uwezo wa kuvuta maji Lita milioni moja kwa saa. https://t.co/sdJ6JzZ2Ck
View attachment 2016510
Inavyo onekana, mfumo wetu wa kusimamia taratibu za mabonde haukuwa unafanya kazi (hadi kusubiri matamko ya Waziri/Rais) hivyo; natamani mchina wa watu asikaushiwe mazao yaliyopo shambani ila awekewe utaratibu wa kumsaidia aweze kuivisha na kuvuna kile kilichopo shambani tayari... Kilimo ni kigumu sana jamani
 
Yan viongozi tulio nao sio kabisa. Ni bendera fata upepo, ukilima shida, ukivuna shida, ukiuza mazao yako pia shida, kila kitu probleme
Wanakera sana
Hapo wanataka kuaminisha watu kuwa huyo jamaa ndio chanzo cha yote. Mtu kashapambana kitaluni huko kaleta miche shambani hatia ya kuhudumia miche anakuja mtu kumkwamisha
 
#HABARI BODI ya Maji Bonde la Wami/Ruvu imemkamata mkulima mkubwa raia wa China anayefanya kilimo cha umwagiliaji Kijiji cha Kidogozelo Kitongoji cha Migudeni wilayani Chalinze akivuta Maji katika Mto Ruvu kwa kutumia mashine yenye uwezo wa kuvuta maji Lita milioni moja kwa saa. https://t.co/sdJ6JzZ2Ck
View attachment 2016510
Movie Kama movie zingine tu
 
Hawa si ndio wawekezaji mliowaita waje kuwekeza

Sasa kosa lake lipo wap kama amewekeza kwenye kilimo cha umwagiliaji then mnamkata?

Bongo kweli nyoso
 
#HABARI BODI ya Maji Bonde la Wami/Ruvu imemkamata mkulima mkubwa raia wa China anayefanya kilimo cha umwagiliaji Kijiji cha Kidogozelo Kitongoji cha Migudeni wilayani Chalinze akivuta Maji katika Mto Ruvu kwa kutumia mashine yenye uwezo wa kuvuta maji Lita milioni moja kwa saa. https://t.co/sdJ6JzZ2Ck
View attachment 2016510
Si analipa kodi lakini kwahiyo tuwaambia wawekezaji huku hata kilimo cha kumwagilia ni mtihanii
 
#HABARI BODI ya Maji Bonde la Wami/Ruvu imemkamata mkulima mkubwa raia wa China anayefanya kilimo cha umwagiliaji Kijiji cha Kidogozelo Kitongoji cha Migudeni wilayani Chalinze akivuta Maji katika Mto Ruvu kwa kutumia mashine yenye uwezo wa kuvuta maji Lita milioni moja kwa saa. https://t.co/sdJ6JzZ2Ck
View attachment 2016510
Anakamatwa ili iwaje huyo si muwekezaji? Acha aendelee kuwekeza mazao yasije kukauka
 
tulikubaliana tusiwabughudhi wawekezaji au mm ndo nimesahau!!Tena tukasema Sasa Tanzania ni mahala salama kwa wawekezaji !!! sijui lini hapakuwa salama!!!!shwain kqbisa.
 
Back
Top Bottom