Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lipeni madeni ya watu dawa ya deni ni kulipaWaliponyanyua fimbo zao makusudi lilikuwa nini wakati yeye sio mdaiwa? Walidhamiria kudhuru mwili, kusababisha maumivu, bila kujua mtu amatembea na madude gani. Ona sasa.. na kama ndio tabia yao kuumiza wadaiwa wao, waozee tu jela iwe funzo
Hilo gari lao hawakulitoboa tyre ?Huku kwetu Mnazi Mmoja wamama walijikusanya wakawadunda vibaya sana hao OYA .. Unaambiwa jamaa wa OYA walitoka mbio mpaka mpakasahau gari lao..
1 Kati ya watu 4 tizii hii ana ugonjwa wa akili. Wewe ni mmoja wapo, imeandikwa wapi marehemu alikuwa mdeni?Lipeni madeni ya watu dawa ya deni ni kulipa
Ukiona mwanamke anakopa mpaka kushindwa kulipa ujue marehemu anatatizo mahali hatimizi huduma ya familia1 Kati ya watu 4 tizii hii ana ugonjwa wa akili. Wewe ni mmoja wapo, imeandikwa wapi marehemu alikuwa mdeni?
Kwahiyo ndio apigwe? Nitolee uwendawazimuUkiona mwanamke anakopa mpaka kushindwa kulipa ujue marehemu anatatizo mahali hatimizi huduma ya familia
Dawa ya deni kulipa mkewe kavunja mkatabaKwahiyo ndio apigwe? Nitolee uwendawazimu
Sawa baba mkweDawa ya deni kulipa mkewe kavunja mkataba
SawaSawa baba mkwe
Kila nikichanganua nifanye nini niingize 450k per week akili imegonga mwamba,450k per week lazm uwe mwehu ni biashara gan inakupa faida hiyo..
Acha tu ndugu yangu imenisikitisha sana, hivi uhai wa mtu kwa 300K? Walishindwaje kwenda naye mdogo mdogo, anyway kifo ni kifo tu. (Madam president)Binadamu wamekua waovu mno.
Wangekua wanapokea hata kidogo kidogo mpaka deni liishe.
Pesa kitu gani aisee, mbona inazungumzika tu.
Tuwe waungwana jamani tujali na wengine.
Mtu mpaka kakopa ujue ana uhitaji ni kwenda nae taratibu tu.
Kama nimeelewa vyema aliyeuliwa ni MME wa MDAIWA.Hawa Oya wanasemwa sana. Unampigaje mdai wako,