Q-Net na Forever Living zimenipotezea marafiki zangu wa karibu

Q-Net na Forever Living zimenipotezea marafiki zangu wa karibu

Kuna dem amenitafuta sana wiki ya pili hii simjui ila anapiga simu anasema tuonane kuna ishu ya maana tukajadili lakini hasemi ni nini.sasa namvutia upepo tu amesema weekend hii tukutane makumbusho.ila nazani ni mhizi mambo
Afu kutumika kwa mabinti kwenye hizi business ni mchezo wao, mana kuna binti mmoja alinichomesha nauli toka kimanga tabata hadi makumbusho kwenye kale kagorofa ka stendi kwenda kuniambia huo utumbo. Pumbavu kabisa.
 
Kwenye RED unauhakika gani kuwa hao noi vijana wa CHUO, maana mtu yeyote aweza kujitambulisha kuwa ni kijana wa CHUO wakati SIYO!
Wakati nipo chuo 2014 kuna bahadhi ya wanachuo wenzangu jamaa zangu kabisa walijiunga forever living na waliunganishwa na bahadhi ya assistant lecturer, ambao siku moja walinialika kwenye semina yao.
 
Forever living product wanadai ni professional business Unafanya ukiwa hata umelala ilimradi uwe na smartphone,, binafsi rafik yng ananiconvice sn nitafute laki sita, bado Naendelea kuichunguza hii business sijaielewa bado

Sent using Jamii Forums mobile app
Chunguza mkuu usije jutia hizo laki 6 kwa usawa huu buku tu ikikupotea inakuharibu atmosphere ya mind yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanaitaji pesa nyingi za haraka ndio maana hata beting imekuwa kazi kama kazi zingine
Bosi wetu karibu anastaafu halafu naye kanasa Kwa Hawa wajinga na inaonekana wanaendelea kumla tu.Sasa Bosi naye kashawishi watu wake wa Jirani ofisini wawili mmoja kanasa mwingine watu walimtonya mapema kwamba utapotea.Sasa hapa watu wanamwambia Yule aliyetonywa kuwa akamstue Bosi kuwa anaibiwa,naye anaogopa jinsi ya kumfikia Bosi na kumuelezea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bosi wetu karibu anastaafu halafu naye kanasa Kwa Hawa wajinga na inaonekana wanaendelea kumla tu.Sasa Bosi naye kashawishi watu wake wa Jirani ofisini wawili mmoja kanasa mwingine watu walimtonya mapema kwamba utapotea.Sasa hapa watu wanamwambia Yule aliyetonywa kuwa akamstue Bosi kuwa anaibiwa,naye anaogopa jinsi ya kumfikia Bosi na kumuelezea

Sent using Jamii Forums mobile app
Watamla hadi pension na hiki kikokotoo kipya na report ya CAG inavyovuruga watu,
 
Ila mbwembwe ndo wanazo jamani.Ni balaaa.Nikikumbuka nacheka peke yng.
Kuna mwalimu wangu wa A level nlikua namuheshimu kweli...mwezi uliopita akanipigia simu anasema tuonane . Me nikajua anataka nikafundishe kwenye tution center yake. Kufika pale wana mbwembwe balaaaaaaa yaan kama sio mtoto wa mjini unapigwa hivihivi
Ofisi yenyewe imechoka balaaa haina hata meza halafu ananishawishi nijiunge nao niwe nalipwa millioni 9 kwa wiki. Ila to my amazement nimekuta hadi vijana wa chuo wamezama kwenye huo upuuzii......NETWORK MARKETING NI PYRAMIDAL SCHEME KAMA ZILIVYO NYINGINE USIIBIWE KIJINGA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si tofautishi issue hizi na 'kamari' ! Unagawa ela zako na muda wako bure kabisa ili wengine wajifunze makosa kwako. Too bad!!
 
Kwenye RED unauhakika gani kuwa hao noi vijana wa CHUO, maana mtu yeyote aweza kujitambulisha kuwa ni kijana wa CHUO wakati SIYO!
Vijana wa vyuo vikuu ndio wengi mimi mwaka huu kuna mtu aliita nikafika mikocheni mchana eti salam GOOMORNING nikajua nishakiingia, nilikasirika sana that day hadi leo simu yangu haioni na yeye hanitafuti.
 
Back
Top Bottom