Marwa_J_Merengo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 4,512
- 6,882
vipi bwana gudume hukujaribu na hii kitu wanaita online forex trading
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afu kutumika kwa mabinti kwenye hizi business ni mchezo wao, mana kuna binti mmoja alinichomesha nauli toka kimanga tabata hadi makumbusho kwenye kale kagorofa ka stendi kwenda kuniambia huo utumbo. Pumbavu kabisa.Kuna dem amenitafuta sana wiki ya pili hii simjui ila anapiga simu anasema tuonane kuna ishu ya maana tukajadili lakini hasemi ni nini.sasa namvutia upepo tu amesema weekend hii tukutane makumbusho.ila nazani ni mhizi mambo
Wakati nipo chuo 2014 kuna bahadhi ya wanachuo wenzangu jamaa zangu kabisa walijiunga forever living na waliunganishwa na bahadhi ya assistant lecturer, ambao siku moja walinialika kwenye semina yao.Kwenye RED unauhakika gani kuwa hao noi vijana wa CHUO, maana mtu yeyote aweza kujitambulisha kuwa ni kijana wa CHUO wakati SIYO!
Waliokimbilia PM walirudi na thread mpya jukwaa kuu. Try your luck.mkuu hii tufafanulie zaid...naitaka...au nije pm?
Chunguza mkuu usije jutia hizo laki 6 kwa usawa huu buku tu ikikupotea inakuharibu atmosphere ya mind yakoForever living product wanadai ni professional business Unafanya ukiwa hata umelala ilimradi uwe na smartphone,, binafsi rafik yng ananiconvice sn nitafute laki sita, bado Naendelea kuichunguza hii business sijaielewa bado
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanaitaji pesa nyingi za haraka ndio maana hata beting imekuwa kazi kama kazi zingineHivi kwanini watu wanakatwa sana kwenye huu mtego wa QNET?
DECI walinigonga laki wajinga kabisa wale.Haya mambo ya Oriflame vipi? Maana kuna mke wa rafiki yangu kakazana kumshawishi wife ajiunge Ila wife alishang'atwa na DECI enzi hizo naona kawa mzito.Ila Yule Dada hakomi
Sent using Jamii Forums mobile app
Bosi wetu karibu anastaafu halafu naye kanasa Kwa Hawa wajinga na inaonekana wanaendelea kumla tu.Sasa Bosi naye kashawishi watu wake wa Jirani ofisini wawili mmoja kanasa mwingine watu walimtonya mapema kwamba utapotea.Sasa hapa watu wanamwambia Yule aliyetonywa kuwa akamstue Bosi kuwa anaibiwa,naye anaogopa jinsi ya kumfikia Bosi na kumuelezeaWatu wanaitaji pesa nyingi za haraka ndio maana hata beting imekuwa kazi kama kazi zingine
😂😂😂😂😂😂Chunguza mkuu usije jutia hizo laki 6 kwa usawa huu buku tu ikikupotea inakuharibu atmosphere ya mind yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Watamla hadi pension na hiki kikokotoo kipya na report ya CAG inavyovuruga watu,Bosi wetu karibu anastaafu halafu naye kanasa Kwa Hawa wajinga na inaonekana wanaendelea kumla tu.Sasa Bosi naye kashawishi watu wake wa Jirani ofisini wawili mmoja kanasa mwingine watu walimtonya mapema kwamba utapotea.Sasa hapa watu wanamwambia Yule aliyetonywa kuwa akamstue Bosi kuwa anaibiwa,naye anaogopa jinsi ya kumfikia Bosi na kumuelezea
Sent using Jamii Forums mobile app
Deci kidogo wanikamate,sema nilitumia muda mrefu kutafakari mechanism ya hela kutengeneza faida ndio ikanisaidiaDECI walinigonga laki wajinga kabisa wale.
Kabisa Ila soon tukikaa kikao wote ofisi kuna mwenzetu mmoja kajitolea kuzungumza kiujumla kuhusu hizi biashara kama ataelewa Basi atafungukaWatamla hadi pension na hiki kikokotoo kipya na report ya CAG inavyovuruga watu,
Na huo ndo uamuzi mzuri, kumfungua macho otherwise mutampoteza zaidiKabisa Ila soon tukikaa kikao wote ofisi kuna mwenzetu mmoja kajitolea kuzungumza kiujumla kuhusu hizi biashara kama ataelewa Basi atafunguka
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mwalimu wangu wa A level nlikua namuheshimu kweli...mwezi uliopita akanipigia simu anasema tuonane . Me nikajua anataka nikafundishe kwenye tution center yake. Kufika pale wana mbwembwe balaaaaaaa yaan kama sio mtoto wa mjini unapigwa hivihivi
Ofisi yenyewe imechoka balaaa haina hata meza halafu ananishawishi nijiunge nao niwe nalipwa millioni 9 kwa wiki. Ila to my amazement nimekuta hadi vijana wa chuo wamezama kwenye huo upuuzii......NETWORK MARKETING NI PYRAMIDAL SCHEME KAMA ZILIVYO NYINGINE USIIBIWE KIJINGA
Vijana wa vyuo vikuu ndio wengi mimi mwaka huu kuna mtu aliita nikafika mikocheni mchana eti salam GOOMORNING nikajua nishakiingia, nilikasirika sana that day hadi leo simu yangu haioni na yeye hanitafuti.Kwenye RED unauhakika gani kuwa hao noi vijana wa CHUO, maana mtu yeyote aweza kujitambulisha kuwa ni kijana wa CHUO wakati SIYO!