Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna majirani zangu waliwapiga laki laki wakapotea.Hawa walichomtenda mama angu mungu anawa zoom huko waliko
hahahahahahaWanajiita upcoming billionaires hahahaha dah
[emoji2] [emoji1] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Woii, Weekend ilopita tu m/city nimejichokea ile mbaya akaja mdada kavaa vizurii ananukia,ananiambia habari zake za semina kuanngalia tshirt imeandikwa FL afu ansema mm baba angu aliumwa cancer akapona,Yani jinsi nimechoka nilimuangalia tu.
Sikutukani. Ila nimecheka sana! Maana ulichoandika ni nje kabisa ya mada. But all in all, JF is never boring!Sisi wajumbe wa UVCCM tunawatakia asbuh njemaa. Hahahaaaaa nahamu ya kutukanwa
Hivi kwanini watu wanakatwa sana kwenye huu mtego wa QNET?Kuna mwalimu wangu wa A level nlikua namuheshimu kweli...mwezi uliopita akanipigia simu anasema tuonane . Me nikajua anataka nikafundishe kwenye tution center yake. Kufika pale wana mbwembwe balaaaaaaa yaan kama sio mtoto wa mjini unapigwa hivihivi
Ofisi yenyewe imechoka balaaa haina hata meza halafu ananishawishi nijiunge nao niwe nalipwa millioni 9 kwa wiki. Ila to my amazement nimekuta hadi vijana wa chuo wamezama kwenye huo upuuzii......NETWORK MARKETING NI PYRAMIDAL SCHEME KAMA ZILIVYO NYINGINE USIIBIWE KIJINGA
Hizo mambo za network lazima uliwe wanaofanikiwa ni wachache kama mpo buku Basi watatu ndio wanafanikiwaKwa mtazamo wangu, na kwa wale wachache waliosoma na kuelewa na kukubali utafit wa Robert Kiyosaki kwny ktabu chake cha "rich dad poor dad" na "cash flow quadrant"., nakubali kua. .........only 10% of the people are operating from the I-quadrant.......... Me nadhan kwa nchi zetu za kiafrika hasa Tz...., this percentage is approaching to zero.
Ndo maana hata kw wale walio kweny "network martng" wanapata ugumu huo kutafuta watu weny uelewa wa aina hii ya biashara. Nashauri kwa wale wanaopenda kujiunga na aina hii ya biashara wasikurupuke tu.
Ni vema ukasoma vema, au hudhuria semina za kutosha za net.market tofauti tofauti, linganisha, harafu ndo ufanye maamuz ya kuingia. Binafs bado sipo huko. Ila wapo watu wamefanikiwa sana kupitia hizo.
Ni vema tukafanya utafiti wale walioshindwa, wameshindwa kwasababu gani.?
Hivi ina maana hao QNET wana kauchawi? Kuna jamaa kanialika niende QNET nataka niende then nimwambie jamaa angu umepigwaKuna jamaa yangu ni askari magereza, kila tukikaa kwenye vikao vya 'viti virefu' huwa haachi kugumia maumivu ya kupigwa 6 Mil za Qnet.... Wasiwasi wangu nadhani ipo siku atamfyatulia risasi mtu wa Qnet aliyemuunganisha.[emoji23]
Nami nataka kuhudhuria jamaa angu kakomaa sana na Mie.Nataka niende then nimwambie jamaa angu umeliwaNina jamaa yangu daily haishi kunishawishi nijiunge na Qnet. Nishahudhuria hadi seminar zao lakini sikuwa na mpango wa kujiunga.
Ha ha ha ha aiseee ngoja nighairi kwenda nisije jikuta nimetoa helaBinadamu alivyo mgumu, watu wanajifunza hapa lakini bado watapigwa tu!
2005 nlkua cheke chea ... Daah life
Yes mkuu ....What.[emoji4][emoji4]
Yes mkuu ....
Dada yangu ...
19 years nmeturn august this year
[emoji1][emoji1][emoji1]Hatari sana, ndio maana kila siku unaulizia bagia. 2005 mimi nilikuwa form two yaani hutakiwi hata kuniita dada niite tu mamdogo
Asante mwambie mimi bibi yake sijambo[emoji1][emoji1][emoji1]
Swalehe anakusalmia mamdogo
Bibi tenaAsante mwambie mimi bibi yake sijambo
Bibi tena
Ahahaa , mkuu utanivunja mbavu