Q-Net na Forever Living zimenipotezea marafiki zangu wa karibu

Q-Net na Forever Living zimenipotezea marafiki zangu wa karibu

GuDume naomba niunganishe hao mademu wawili wa mwishomwisho ili nijifanye najiunga nao...lengo ni kuwagongea mbali
 
siri ya mafanikio hipo akilini mwako si kuambiwa wala kushikiwa
 
Woii, Weekend ilopita tu m/city nimejichokea ile mbaya akaja mdada kavaa vizurii ananukia,ananiambia habari zake za semina kuanngalia tshirt imeandikwa FL afu ansema mm baba angu aliumwa cancer akapona,Yani jinsi nimechoka nilimuangalia tu.
[emoji2] [emoji1] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Sisi wajumbe wa UVCCM tunawatakia asbuh njemaa. Hahahaaaaa nahamu ya kutukanwa
Sikutukani. Ila nimecheka sana! Maana ulichoandika ni nje kabisa ya mada. But all in all, JF is never boring!
 
Kuna mwalimu wangu wa A level nlikua namuheshimu kweli...mwezi uliopita akanipigia simu anasema tuonane . Me nikajua anataka nikafundishe kwenye tution center yake. Kufika pale wana mbwembwe balaaaaaaa yaan kama sio mtoto wa mjini unapigwa hivihivi
Ofisi yenyewe imechoka balaaa haina hata meza halafu ananishawishi nijiunge nao niwe nalipwa millioni 9 kwa wiki. Ila to my amazement nimekuta hadi vijana wa chuo wamezama kwenye huo upuuzii......NETWORK MARKETING NI PYRAMIDAL SCHEME KAMA ZILIVYO NYINGINE USIIBIWE KIJINGA
Hivi kwanini watu wanakatwa sana kwenye huu mtego wa QNET?
 
Kwa mtazamo wangu, na kwa wale wachache waliosoma na kuelewa na kukubali utafit wa Robert Kiyosaki kwny ktabu chake cha "rich dad poor dad" na "cash flow quadrant"., nakubali kua. .........only 10% of the people are operating from the I-quadrant.......... Me nadhan kwa nchi zetu za kiafrika hasa Tz...., this percentage is approaching to zero.
Ndo maana hata kw wale walio kweny "network martng" wanapata ugumu huo kutafuta watu weny uelewa wa aina hii ya biashara. Nashauri kwa wale wanaopenda kujiunga na aina hii ya biashara wasikurupuke tu.
Ni vema ukasoma vema, au hudhuria semina za kutosha za net.market tofauti tofauti, linganisha, harafu ndo ufanye maamuz ya kuingia. Binafs bado sipo huko. Ila wapo watu wamefanikiwa sana kupitia hizo.
Ni vema tukafanya utafiti wale walioshindwa, wameshindwa kwasababu gani.?
Hizo mambo za network lazima uliwe wanaofanikiwa ni wachache kama mpo buku Basi watatu ndio wanafanikiwa
 
Kuna jamaa yangu ni askari magereza, kila tukikaa kwenye vikao vya 'viti virefu' huwa haachi kugumia maumivu ya kupigwa 6 Mil za Qnet.... Wasiwasi wangu nadhani ipo siku atamfyatulia risasi mtu wa Qnet aliyemuunganisha.[emoji23]
Hivi ina maana hao QNET wana kauchawi? Kuna jamaa kanialika niende QNET nataka niende then nimwambie jamaa angu umepigwa
 
Nina jamaa yangu daily haishi kunishawishi nijiunge na Qnet. Nishahudhuria hadi seminar zao lakini sikuwa na mpango wa kujiunga.
Nami nataka kuhudhuria jamaa angu kakomaa sana na Mie.Nataka niende then nimwambie jamaa angu umeliwa
 
Kuna demu mmoja namuangalia tu alafu nacheka hiiiiihi, ananishawishi mno mtandaoni nijiunge na vikampuni vyao vya mtandaoni anajifanya yupo US kumbe ypo hapa bongo mana mji anaonambia yupo nikimuuliza saa ngapi anajibu uongo nikimuuliza Mr google wanatofautiana kabisa. Sasa ngoja ntamtaftia mbinu zangu shubaamit
 
Back
Top Bottom