Q-Net na Forever Living zimenipotezea marafiki zangu wa karibu

Q-Net na Forever Living zimenipotezea marafiki zangu wa karibu

Kuna demu mmoja namuangalia tu alafu nacheka hiiiiihi, ananishawishi mno mtandaoni nijiunge na vikampuni vyao vya mtandaoni anajifanya yupo US kumbe ypo hapa bongo mana mji anaonambia yupo nikimuuliza saa ngapi anajibu uongo nikimuuliza Mr google wanatofautiana kabisa. Sasa ngoja ntamtaftia mbinu zangu shubaamit
Nipe mawasiliano yake mkuu ...

Sisi ndo tunaweza kumtapeli , tukamgeuzia mchezo
 
Mimi binafsi mwaka jana walinipiga kwenye D9, Sitaki tena kusikia hizi longolongo za Qnet.Shemeji yangu yeye ndio kwanza ameingizwa huko na kaingiza hela zake, akanialika nikaenda kuwasikiliza na kuwasilikiza nikasema hawa wapuuzi kabisa yaani kwa tumaneno twao uto ndio niiingize mkwanja wangu!!!??? Hapa hata machungu ya D9 Hayajaisha. Hawanipati kabsaaaa.
Hahaa umenikumbusha kifurushi Cha gold 4.7 we acha tu nashukuru nilijifunza ujasiri ktk maisha
 
Mimi binafsi mwaka jana walinipiga kwenye D9, Sitaki tena kusikia hizi longolongo za Qnet.Shemeji yangu yeye ndio kwanza ameingizwa huko na kaingiza hela zake, akanialika nikaenda kuwasikiliza na kuwasilikiza nikasema hawa wapuuzi kabisa yaani kwa tumaneno twao uto ndio niiingize mkwanja wangu!!!??? Hapa hata machungu ya D9 Hayajaisha. Hawanipati kabsaaaa.
Hahaa umenikumbusha kifurushi Cha gold 4.7 we acha tu nashukuru nilijifunza ujasiri ktk maisha
 
Kuna jamaa yangu mmoja ni classmate aliwahi nipigia simu kwa fujo na huwa hatuna mazoea ya kuwasiliana nae,alinielezea huu upuuzi wa forever living ushawishi mwingi.
Mara oooh nitafutie watu huko ulipo niliona ni upumbavu wala sikutilia maanani na wala sitaki fedha za bure mimi.
Vijana jihadharini na hawa matapeli
 
Kuna dem nlikuwa nakula chuo..jana kanipigia simu tuonane nkajua mtoto atakuwa kamisi mchezo maana si kwa kudeka kule. Nmfika hapo naskia "business partners" mara blah blah mingi...mara Qnet.. ah...aiseeh...!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimevumilia kutukana ofisi nzima ya qnet baada ya kuniita kilaghai kuniambia upuuzi huo. Kilichosaidia miongoni mwao kuna mtu tunaheshimiana. reception wanedanganyishia mapicha ya maghorofa ukutani unadhani ni ofisi ya waandisi majengo.
Hiyo ilikuwa wapi kiongozi?
 
Sasa hivi kuna ingine inaitwa mellius,jamaa kanifata dm IG nikamwambia siko interested,akarudi na stori zingine hlf akachomekea tena,nikamwambia siko interested,akachukia akaanza kuleta kejeli nikampa block tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jamaa alinitusi kuwa utakuwa maskini.Nikasema sawa,hiyo Sentensi uniambie siku ukiwa tajiri Kwa ajiri ya hiyo biashara.mpaka Leo hajanifuata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom