Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njia nzuri ya kuwaelimisha watu ni kuwaeleza ulishawishiwa vipi hadi ukawaamini, ulitoa kiasi gani, ulitegemea kupata nini baada ya wakati gani, ulichukua hatua gani n.kMimi binafsi mwaka jana walinipiga kwenye D9, Sitaki tena kusikia hizi longolongo za Qnet.Shemeji yangu yeye ndio kwanza ameingizwa huko na kaingiza hela zake, akanialika nikaenda kuwasikiliza na kuwasilikiza nikasema hawa wapuuzi kabisa yaani kwa tumaneno twao uto ndio niiingize mkwanja wangu!!!??? Hapa hata machungu ya D9 Hayajaisha. Hawanipati kabsaaaa.
Usikatae wanafunzi wengi wa chuo ndo wanapigwa sana!!!!Kwenye RED unauhakika gani kuwa hao noi vijana wa CHUO, maana mtu yeyote aweza kujitambulisha kuwa ni kijana wa CHUO wakati SIYO!
Kuna dem amenitafuta sana wiki ya pili hii simjui ila anapiga simu anasema tuonane kuna ishu ya maana tukajadili lakini hasemi ni nini.sasa namvutia upepo tu amesema weekend hii tukutane makumbusho.ila nazani ni hizi mambo
Kuna kidem changu cha chuo kwasasa yupo likizo ila yupo bze sana namaswala ya pesa yn kama yupo ofis flan ivi zamichongo yapesa sasa leo ndo nimepata jibu mana juz kati alinitext "Habari Majan Samahani kesho kama hutojali naomba Uje ofcn Kwetu saa nane kuna program muhimu kwa wageni nakuomba nimekununulia ticket" ila kila nikimuuliza ofis zao zinahusika na nini hajawai kuniambia
Kweli mkuuNjia nzuri ya kuwaelimisha watu ni kuwaeleza ulishawishiwa vipi hadi ukawaamini, ulitoa kiasi gani, ulitegemea kupata nini baada ya wakati gani, ulichukua hatua gani n.k
Haijalishi hata kama watu watakukejeli lakini wengi watakuwa wameelimika.
Umesema vyema..!Kwa mtazamo wangu, na kwa wale wachache waliosoma na kuelewa na kukubali utafit wa Robert Kiyosaki kwny ktabu chake cha "rich dad poor dad" na "cash flow quadrant"., nakubali kua. .........only 10% of the people are operating from the I-quadrant.......... Me nadhan kwa nchi zetu za kiafrika hasa Tz...., this percentage is approaching to zero.
Ndo maana hata kw wale walio kweny "network martng" wanapata ugumu huo kutafuta watu weny uelewa wa aina hii ya biashara. Nashauri kwa wale wanaopenda kujiunga na aina hii ya biashara wasikurupuke tu.
Ni vema ukasoma vema, au hudhuria semina za kutosha za net.market tofauti tofauti, linganisha, harafu ndo ufanye maamuz ya kuingia. Binafs bado sipo huko. Ila wapo watu wamefanikiwa sana kupitia hizo.
Ni vema tukafanya utafiti wale walioshindwa, wameshindwa kwasababu gani.?
Sjui kwa nn mambo yao hua wanayaweka Siri Sana. Hata bidhaa zao ukiuliza bei longo longo kibao mara tuonane kwanza mara nn hadi ujue bei labda umbane Kweli. Pesa rahisi sijawahi kuzifikiria.Kuna kidem changu cha chuo kwasasa yupo likizo ila yupo bze sana namaswala ya pesa yn kama yupo ofis flan ivi zamichongo yapesa sasa leo ndo nimepata jibu mana juz kati alinitext "Habari Majan Samahani kesho kama hutojali naomba Uje ofcn Kwetu saa nane kuna program muhimu kwa wageni nakuomba nimekununulia ticket" ila kila nikimuuliza ofis zao zinahusika na nini hajawai kuniambia
mkuu hii tufafanulie zaid...naitaka...au nije pm?Njoo ujiunge na BITCOIN. Hautajuta kamwe.
yah mkuu hiyo ndo pyramidic scheme, mnawanufaisha waleee wamwanzo ninyi namna uhakika wa kupata ama kurudisha hela, dahh haya mambo tunapigwa pigwa tuuu kishamba kwakutaka hela mtelezoKuna mwalimu wangu wa A level nlikua namuheshimu kweli...mwezi uliopita akanipigia simu anasema tuonane . Me nikajua anataka nikafundishe kwenye tution center yake. Kufika pale wana mbwembwe balaaaaaaa yaan kama sio mtoto wa mjini unapigwa hivihivi
Ofisi yenyewe imechoka balaaa haina hata meza halafu ananishawishi nijiunge nao niwe nalipwa millioni 9 kwa wiki. Ila to my amazement nimekuta hadi vijana wa chuo wamezama kwenye huo upuuzii......NETWORK MARKETING NI PYRAMIDAL SCHEME KAMA ZILIVYO NYINGINE USIIBIWE KIJINGA