Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
- Thread starter
-
- #21
Sasa si tumepoteza muda, Qatar wangeiacha hadi leo hata kama isinge expire wangekuwa walipo?Gesi ina expire date kuwa imeoza baada ya JPM kuiweka pending? Kama haipo basi hakuna tatizo itatumika.
Magufuli alikuwa serikalini kipindi mikataba hiyo inapitishwa na hakupinga chochote, kwa nini sasa?Mkuu,ningekuwa na lugha chafu kidogo, ingeshanitoka.
Mikataba ya gesi, ya lazima, ilipitishwa bungeni usiku kwa usiku kwenye bunge lipi? Ni serikali ipi ilipeleka mikataba ile gesi bungeni kwa dharula?
Unajua chochote kuhusu mikataba hiyo? Kati yako wewe na Magufuli, ni nani aliyekuwa kwenye nafasi ya kuijua mikataba hiyo?
Mwisho, umeuliza, gesi imegunduliwa na kuanza kuchimbwa lini?
Kwani Magufuli si alisema yeye ni kiboko ya mabeberu? Kwa nini alikubali gesi yetu ikauzwa bure alipokuwa serikalini kisha aje kulaumu?Thinking yenu huwa siielewi kabisa, mmekaa kimihemko na ushabiki sana, hamjui kufikiria vizuri kabisa, kwenu ni bora siku ipite kwa kumtaja Magufuli, ili mkila ugali upite vizuri kwenye koo.
Wewe unaamini tatizo la umasikini/poor decision nchi hii lililetwa na Magufuli, wala huoni kama ni la kimfumo, sasa mbona lilishakuwepo hata kabla ya ujio wa Magufuli?
Mbona hujiulizi, licha ya madini tuliyonayo, ikiwemo Tanzanite, yanayopatikana Tanzania pekee bado tuko nyuma kimaendeleo, kwanini uamini hiyo gesi inayopatikana maeneo mengi duniani ingetutoa kwenye umasikini? kwa usimamizi gani? wa CCM hii hii?!
Itisha MKUTANO WA hadhara uyaseme haya MBELE za watanzaniaLeo hii Tanzania tungekuwa tunauza gesi yetu Ulaya kwa bei ya juuu baada ya Urusi kususiwa.😭😭
Tazama hiyo ni nchi ya Qatar
Kabla ya kugundua gesi mwaka 2002 uchumi wao ulikuwa dola bilioni 19 tu, baada ya kugundua gesi uchumi wao leo ni dola bilioni 220.
View attachment 2465599
Hii imeniuma sana kwa kuwa Magufuli alitupa kwenye pipa la taka mradi wetu wa gesi.
Akadanganya kuwa gesi yetu imetwaliwa na mabeberu, sasa kama ilitwaliwa aliwezaje kuisimamisha?
Na kama alikuwa Waziri mwandamizi kwenye serikali ya Kikwete kwa nini hakulisema hilo au hata kujiuzulu kuokoa gesi isiende kwa mabeberu?
Samia anawezaje ku negotiate mkataba ya gesi na nchi nyingine hivi sasa?
Sasa si angeiuza kwa nchi jirani kama Kenya, kama Samia alivyofanya?Walisema kabla ya December kuisha watakuwa wameshamaliza majadiliano ya mkataba wa gas, kiko wapi.
Mama alipoingia aliamuru wamalize majadiliano ya bandari haraka na Kakoko akatolewa kwa sababu alionekana nuksi; kiko wapi.
Haya mambo ni raisi kulaumu mitandaoni tu, ila raisi akishapewa elimu na negotiators nini wanagawa wenyewe wanabaki kimya tu.
Isitoshe ata hao mabeberu wakifanikiwa hiyo gas wana mpango wa kupeleka soko la Asia, sio Europe.
Hakuna nchi ya ulaya yenye shida na gas ya Tanzania it’s too expensive to ship liquified gas. Ukijumlisha na lead time ya kupata volume capacity wanayotaka ata kwa nchi yenye GDP ndogo inventory will make that gas too expensive kwenye soko lao. .
Haya mambo ni rahisi kuropoka na kulaumu kwa watu wasio elewa how the industry work ata huyo J.K mwenyewe akutaka ku sign mkataba wa LNG baada ya kuonywa lawama za mbeleni ata akiwa kaburini, akikurupuka bila kuweka maslahi ya nchi mbele.
Sasa mbona hakuna gesi waliyochimba hao waliouziwa?Ovyo sana ww. Gesi iliuzwa na Jk kumkomboa riz1 huko China leo unamlaumu mwamba!! DuView attachment 2465712
Ulitaka Magufuli akiwa waziri wa Ujenzi awe na last say mpaka kwenye mikataba ya madini kama President?Kwani Magufuli si alisema yeye ni kiboko ya mabeberu? Kwa nini alikubali gesi yetu ikauzwa bure alipokuwa serikalini kisha aje kulaumu?
Na kwa nini asiingie mikataba mizuri alipokuwa Rais?
Sasa tufanyaje? Muda si umeshapotea? Ndo maana nikasema sababu ipo na haijaoza tutaitumia tu. By tha way ni lini tumewahi? JPM kaongoza only 5 yrs. Kabla ya hapo rasilimali zote zilizopo tulizitumia kwa usahihi? Au JPM alikwamisha? Pamoja na udhaifu wa JPM hatuwezi mtupia kila jiwe yeye.Sasa si tumepoteza muda, Qatar wangeiacha hadi leo hata kama isinge expire wangekuwa walipo?
Magufuli alisitisha miradi ya gesi alipokuwa RaisMjinga tu. Wewe una chuki tu na magufuli. Sasa hapo maguguli anahusika vipi na gesi kuuzwa ulaya? Kinachojulikana priority ilikua gesi izalishe umeme, hatua inayofuata ya kuuza nje ndio itafuata.
Toa hoja acha misemo“Thinking is the hardest work there is, which is probably the reason so few engage in it.” - Henry Ford.
UnazinguaGesi Yako unayo tumboni hakuna wa kukudhulumu
RIP Magufuli
RIP Pope Benedict
Nimeandika mamaako akiwa anakatikia mpini wangu ndio sababu nimeandika vibayaMtu anatoa mada utafikiri amekalia mpini.
Tanzania inauza Gas, Kenya? Inasafirishwa kwa njia gani.Sasa si angeiuza kwa nchi jirani kama Kenya, kama Samia alivyofanya?
Kwani tunapojadili mambo ya Nyerere au Idd Amini tunaendeleza vita? Historia lazima ijadiliwe2023 naona bado vita na marehemu inaendelea.
Tafta mume wako binti. Mimi ni mume wa mtu na mke wangu ana wivu sana atakuua akijua unanilazimisha nikushikishe ukuta. Huu umalaya umeurithi kwa mama yako?Nimeandika mamaako akiwa anakatikia mpini wangu ndio sababu nimeandika vibaya
JF ni mkutano wa hadhara wa onlineItisha MKUTANO WA hadhara uyaseme haya MBELE za watanzania
Sasa miaka 5 unaona sio muda mwingi? Qatar ndani ya miaka 20 uchumi wao umekuwa zaidi ya mara 11,Sasa tufanyaje? Muda si umeshapotea? Ndo maana nikasema sababu ipo na haijaoza tutaitumia tu. By tha way ni lini tumewahi? JPM kaongoza only 5 yrs. Kabla ya hapo rasilimali zote zilizopo tulizitumia kwa usahihi? Au JPM alikwamisha? Pamoja na udhaifu wa JPM hatuwezi mtupia kila jiwe yeye.