Qatar ilipata utajiri kutokana na gesi. Kwanini Tanzania ilizuia miradi ya gesi?

Qatar ilipata utajiri kutokana na gesi. Kwanini Tanzania ilizuia miradi ya gesi?

Mkuu,ningekuwa na lugha chafu kidogo, ingeshanitoka.

Mikataba ya gesi, ya lazima, ilipitishwa bungeni usiku kwa usiku kwenye bunge lipi? Ni serikali ipi ilipeleka mikataba ile gesi bungeni kwa dharula?

Unajua chochote kuhusu mikataba hiyo? Kati yako wewe na Magufuli, ni nani aliyekuwa kwenye nafasi ya kuijua mikataba hiyo?

Mwisho, umeuliza, gesi imegunduliwa na kuanza kuchimbwa lini?
Magufuli alikuwa serikalini kipindi mikataba hiyo inapitishwa na hakupinga chochote, kwa nini sasa?
 
Thinking yenu huwa siielewi kabisa, mmekaa kimihemko na ushabiki sana, hamjui kufikiria vizuri kabisa, kwenu ni bora siku ipite kwa kumtaja Magufuli, ili mkila ugali upite vizuri kwenye koo.

Wewe unaamini tatizo la umasikini/poor decision nchi hii lililetwa na Magufuli, wala huoni kama ni la kimfumo, sasa mbona lilishakuwepo hata kabla ya ujio wa Magufuli?

Mbona hujiulizi, licha ya madini tuliyonayo, ikiwemo Tanzanite, yanayopatikana Tanzania pekee bado tuko nyuma kimaendeleo, kwanini uamini hiyo gesi inayopatikana maeneo mengi duniani ingetutoa kwenye umasikini? kwa usimamizi gani? wa CCM hii hii?!
Kwani Magufuli si alisema yeye ni kiboko ya mabeberu? Kwa nini alikubali gesi yetu ikauzwa bure alipokuwa serikalini kisha aje kulaumu?
Na kwa nini asiingie mikataba mizuri alipokuwa Rais?
 
Leo hii Tanzania tungekuwa tunauza gesi yetu Ulaya kwa bei ya juuu baada ya Urusi kususiwa.😭😭


Tazama hiyo ni nchi ya Qatar
Kabla ya kugundua gesi mwaka 2002 uchumi wao ulikuwa dola bilioni 19 tu, baada ya kugundua gesi uchumi wao leo ni dola bilioni 220.

View attachment 2465599

Hii imeniuma sana kwa kuwa Magufuli alitupa kwenye pipa la taka mradi wetu wa gesi.

Akadanganya kuwa gesi yetu imetwaliwa na mabeberu, sasa kama ilitwaliwa aliwezaje kuisimamisha?

Na kama alikuwa Waziri mwandamizi kwenye serikali ya Kikwete kwa nini hakulisema hilo au hata kujiuzulu kuokoa gesi isiende kwa mabeberu?

Samia anawezaje ku negotiate mkataba ya gesi na nchi nyingine hivi sasa?
Itisha MKUTANO WA hadhara uyaseme haya MBELE za watanzania
 
Walisema kabla ya December kuisha watakuwa wameshamaliza majadiliano ya mkataba wa gas, kiko wapi.

Mama alipoingia aliamuru wamalize majadiliano ya bandari haraka na Kakoko akatolewa kwa sababu alionekana nuksi; kiko wapi.

Haya mambo ni raisi kulaumu mitandaoni tu, ila raisi akishapewa elimu na negotiators nini wanagawa wenyewe wanabaki kimya tu.

Isitoshe ata hao mabeberu wakifanikiwa hiyo gas wana mpango wa kupeleka soko la Asia, sio Europe.

Hakuna nchi ya ulaya yenye shida na gas ya Tanzania it’s too expensive to ship liquified gas. Ukijumlisha na lead time ya kupata volume capacity wanayotaka ata kwa nchi yenye GDP ndogo inventory will make that gas too expensive kwenye soko lao. .

Haya mambo ni rahisi kuropoka na kulaumu kwa watu wasio elewa how the industry work ata huyo J.K mwenyewe akutaka ku sign mkataba wa LNG baada ya kuonywa lawama za mbeleni ata akiwa kaburini, akikurupuka bila kuweka maslahi ya nchi mbele.
Sasa si angeiuza kwa nchi jirani kama Kenya, kama Samia alivyofanya?
 
Kwani Magufuli si alisema yeye ni kiboko ya mabeberu? Kwa nini alikubali gesi yetu ikauzwa bure alipokuwa serikalini kisha aje kulaumu?
Na kwa nini asiingie mikataba mizuri alipokuwa Rais?
Ulitaka Magufuli akiwa waziri wa Ujenzi awe na last say mpaka kwenye mikataba ya madini kama President?

Wake up man!.

Mikataba ipi ya madini umewahi kuiona iliyoingia serikali ya CCM na wawekezaji kabla ya Magufuli? hebu nitajie miwili tu...
 
Sasa si tumepoteza muda, Qatar wangeiacha hadi leo hata kama isinge expire wangekuwa walipo?
Sasa tufanyaje? Muda si umeshapotea? Ndo maana nikasema sababu ipo na haijaoza tutaitumia tu. By tha way ni lini tumewahi? JPM kaongoza only 5 yrs. Kabla ya hapo rasilimali zote zilizopo tulizitumia kwa usahihi? Au JPM alikwamisha? Pamoja na udhaifu wa JPM hatuwezi mtupia kila jiwe yeye.
 
Mjinga tu. Wewe una chuki tu na magufuli. Sasa hapo maguguli anahusika vipi na gesi kuuzwa ulaya? Kinachojulikana priority ilikua gesi izalishe umeme, hatua inayofuata ya kuuza nje ndio itafuata.
Magufuli alisitisha miradi ya gesi alipokuwa Rais
 
Sasa si angeiuza kwa nchi jirani kama Kenya, kama Samia alivyofanya?
Tanzania inauza Gas, Kenya? Inasafirishwa kwa njia gani.

Hivi unajua huko ulaya Gas ya Qatar ambayo Germany imeagiza na sidhani kama ata ni robo ya demand yao, ili wananchi wa afford serikali imetenga Euro billion 200 kama subsidies ya Gas. Ni gharama kuliko michango ya nchi zote so far kwenye hela walizowapa Ukraine.

Hiyo ni Germany tu, ila kila mtu EU analia ndani kwake hiyo vita inaziumiza nchi za EU. Jamaa wana dent kubwa sana ya mapato kila nchi kwenye ku subsidise gas bills, ku stabilise inflation na kusaidia watu wa kipato cha chini kumudu rising cost of living kwa sababu ya hiyo vita.

Vita ikiisha tu wote wanarudi kwenye nishati ya Russia it’s cheaper to them and good for their economies kwa sababu jirani inaondoa several additional costs za kuagiza nje ya bara lao.

Sasa gas uitoe Tanzania hadi ulaya ni logistic nightmare kwao given their demand volume.

Ignorance is bliss
 
Nimeandika mamaako akiwa anakatikia mpini wangu ndio sababu nimeandika vibaya
Tafta mume wako binti. Mimi ni mume wa mtu na mke wangu ana wivu sana atakuua akijua unanilazimisha nikushikishe ukuta. Huu umalaya umeurithi kwa mama yako?
 
Sasa tufanyaje? Muda si umeshapotea? Ndo maana nikasema sababu ipo na haijaoza tutaitumia tu. By tha way ni lini tumewahi? JPM kaongoza only 5 yrs. Kabla ya hapo rasilimali zote zilizopo tulizitumia kwa usahihi? Au JPM alikwamisha? Pamoja na udhaifu wa JPM hatuwezi mtupia kila jiwe yeye.
Sasa miaka 5 unaona sio muda mwingi? Qatar ndani ya miaka 20 uchumi wao umekuwa zaidi ya mara 11,
 
Back
Top Bottom