Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah.. [emoji44]Ile familia ovyoo sana
We mdada upo?[emoji848]Kwani Yule mwanaume naye ni pangu pakavu!! Mi nlijua kaongeza mke mambo yake mazuri....mfyuuu!
Jesus!!!Muziki bongo hauna hela wasanii ukiona Wana show off Ila Wana Hali mbaya ya kiuchumi wengi walikuwa mapunda Tu mjini. So queen naye njaa Kali hafu show off nyingi Mara harusi baby shower arobaini tu ya mwanawe alikopa, hafu why ukaishi kwenye nyumba expensive huku kipato majanga. Hela tu ya pampasi Hana ananunua za mia tano
Wasafi pale kumbe janja janja kibaoSi muajiriwa wa wasafi huyo!!? Hapo ndo msemo wa waja unapotimia wanasema pale njaa sana ila ujanja wako tu unaweza kukusaidia. Vanny boy nae alipanga ghorofa kodi awamu moja tu ikamshinda
Iyobo mpaka kala mtoso kwa aunt,pesa tatizo
Lukamba choka mbaya mke anamsaidia napo zipu mbovu
Endelea kujidanganya tuMo ni bilionea wa US $...ni wabongo wachache sana wanaoweza kufikia kiwango cha ubilionea wa $.
Sawa mkuu..Endelea kujidanganya tu
Dola Bilion 1 ni sawa tsh trillion 2.3
Nasema tena endelea kujidanganya kudhani Hakuna wabongo wenye hiyo hela mpaka uwaone kwenye mitandao.
Nipo....hunionagi humu jamaniWe mdada upo?[emoji848]
Basi msameheee[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ungekua hupendi kufuatilia ya watu humu umekuja kufuata nini mnafiki mkubwa wewe Mxiee tena usinifanye nikuchambe had usahau jinsia yako mbwa wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anaonekana tu sio mtu mwenye pesa. Amekaa ki mission townKwani Yule mwanaume naye ni pangu pakavu!! Mi nlijua kaongeza mke mambo yake mazuri....mfyuuu!
We jf ungekua USO kwa USO mpaka sasa ungekua na ngeu za kutosha.hata muhimbili staff wote wangekua washakukariri hawajisumbui hata kujaza majina[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mxieee ebu tupishe hapa , anakujua nani mjin hapa
Atakuwa Kama uncle shamte tu......maana uncle sijui Kama hata bajeti ya nyumba huwa inamuhusu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anaonekana tu sio mtu mwenye pesa. Amekaa ki mission town
Usibishane nae mkuu, hapo ukimuomba source ya taarifa yake atakwambia insta au hizo milioni mia na ushee ye anazitaja tu anadhani jeroBillionea Tanzania ni Muhammed dewji tuu tena ndio billionea pekee Africa mashariki na Kati. Bakhresa ni millionaire. Tafuta takwimu Kwanza . Hata kwenye wa Tanzania Mondi hayumo kwenye list. Mondi sio billionea.
Mmmh kitambo sana shost..glad to see yaNipo....hunionagi humu jamani