Ila mkuu naomba uwe unanitag bas utakapokua unashushasubilia mkuu naweka mambo sawa hapa .mzigo upo wa kutoshaa mwanzo mwisho ni mwendo wa bandika bandua mpaka kuchee.
Daaaah kumbe tuliozidiwa na arosto tupo wengi i seeeeeeeeeeeeMkuu tiririsha vitu ndugu nasubiria aisee
kaka mkuu wa dsm tafadhali pita hapa.. kuna mtu ana arosto za hadithi kwaiyo yaonyesha hiki ni kilevi flan hivi amaizingπLege arosto