Quran imetaja neno 'Israel' mara 43, lakini haijataja neno "Palestina" hata kidogo

Quran imetaja neno 'Israel' mara 43, lakini haijataja neno "Palestina" hata kidogo

Mhaya

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2023
Posts
1,831
Reaction score
5,489
Kitabu cha Quran kinataka jina la Israel mara 43 katika maandiko yake, lakini kitabu icho icho hakina andiko lolote linatolotaja neno Palestina (Palestine), kwa lugha nyingi yani jina Palestina halipo kwenye Quran. Na Uislam hautambui taifa la Palestina, lakini unatambua Taifa la Israel.

Inashangaza sana kuona waislamu wanaenda kinyume na dini na kitabu chao cha Quran, kisa tu kutetea waarabu. Taifa la Palestina ni mazao ya uhamaji wa waturuki na waarabu wengine ambao pia tumewaona wakinyakua makazi kaskazini mwa bara la Afrika ambalo mwanzo maeneo hayo yalikaliwa na Watu weusi. Katika Quran hakuna taifa la Palestina, hivyo kwa mujibu wa Quran hakukuwa na Taifa ilo isipokuwa Israel ambayo imetajwa mara 43.

Waislamu kinachowaendesha si dini bali itikadi na tamaduni za waarabu. Kulazimisha manabii na mitume wote kuwa ni Wapalestina, wakati Mfalme Daudi (Dawood in Islam), anafahamika kuwa ndiye mfalme hodari wa taifa la Israel.

Nyie waislamu tuonesheni hilo neno Palestina kwenye kitabu chenu
 
Kitabu cha Quran kinataka jina la Israel mara 43 katika maandiko yake, lakini kitabu icho icho hakina andiko lolote linatolotaja neno Palestina (Palestine), kwa lugha nyingi yani jina Palestina halipo kwenye Quran. Na Uislam hautambui taifa la Palestina, lakini unatambua Taifa la Israel.

Inashangaza sana kuona waislamu wanaenda kinyume na dini na kitabu chao cha Quran, kisa tu kutetea waarabu. Taifa la Palestina ni mazao ya uhamaji wa waturuki na waarabu wengine ambao pia tumewaona wakinyakua makazi kaskazini mwa bara la Afrika ambalo mwanzo maeneo hayo yalikaliwa na Watu weusi. Katika Quran hakuna taifa la Palestina, hivyo kwa mujibu wa Quran hakukuwa na Taifa ilo isipokuwa Israel ambayo imetajwa mara 43.

Waislamu kinachowaendesha si dini bali itikadi na tamaduni za waarabu. Kulazimisha manabii na mitume wote kuwa ni Wapalestina, wakati Mfalme Daudi (Dawood in Islam), anafahamika kuwa ndiye mfalme hodari wa taifa la Israel.

Nyie waislamu tuonesheni hilo neno Palestina kwenye kitabu chenu
Kwahiyo kinachofanyika gaza,hakifanyiki Palestinae au maana yako, ni ipi au muungaji mkono wa beberu America,mateka wa israel🤔
 
Kitabu cha Quran kinataka jina la Israel mara 43 katika maandiko yake, lakini kitabu icho icho hakina andiko lolote linatolotaja neno Palestina (Palestine), kwa lugha nyingi yani jina Palestina halipo kwenye Quran. Na Uislam hautambui taifa la Palestina, lakini unatambua Taifa la Israel.

Inashangaza sana kuona waislamu wanaenda kinyume na dini na kitabu chao cha Quran, kisa tu kutetea waarabu. Taifa la Palestina ni mazao ya uhamaji wa waturuki na waarabu wengine ambao pia tumewaona wakinyakua makazi kaskazini mwa bara la Afrika ambalo mwanzo maeneo hayo yalikaliwa na Watu weusi. Katika Quran hakuna taifa la Palestina, hivyo kwa mujibu wa Quran hakukuwa na Taifa ilo isipokuwa Israel ambayo imetajwa mara 43.

Waislamu kinachowaendesha si dini bali itikadi na tamaduni za waarabu. Kulazimisha manabii na mitume wote kuwa ni Wapalestina, wakati Mfalme Daudi (Dawood in Islam), anafahamika kuwa ndiye mfalme hodari wa taifa la Israel.

Nyie waislamu tuonesheni hilo neno Palestina kwenye kitabu chenu
Mkuu unataka aliendika kitabu cha Ngoswe ambae amemlenga Ngoswe kama muhusika mkuu amtaje Mama Inda mara 36 alafu Ngoswe atajwe mara 10?

Warumi 9:6
Si kana kwamba neno la Mungu limetanguka. MAANA HAWAWI WOTE WAISRAELI WALIO WA UZAO WA ISRAELI.

Mpaka hapo elewa Israel iliyopo kwenye biblia sio ya kimipaka bali ni kiimani. Na ndiyo maana unatakuta Judaism wanawapinga Zionism mulemule ndani ya nchi ya Israel! Na uelewe yakuwa Zionism hawa ndiyo wenye nguvu za kuishawishi na uchumi kuanzia ndani ya nchi ya Israel mpaka huko Magharibi
 
Kitabu cha Quran kinataka jina la Israel mara 43 katika maandiko yake, lakini kitabu icho icho hakina andiko lolote linatolotaja neno Palestina (Palestine), kwa lugha nyingi yani jina Palestina halipo kwenye Quran. Na Uislam hautambui taifa la Palestina, lakini unatambua Taifa la Israel.

Inashangaza sana kuona waislamu wanaenda kinyume na dini na kitabu chao cha Quran, kisa tu kutetea waarabu. Taifa la Palestina ni mazao ya uhamaji wa waturuki na waarabu wengine ambao pia tumewaona wakinyakua makazi kaskazini mwa bara la Afrika ambalo mwanzo maeneo hayo yalikaliwa na Watu weusi. Katika Quran hakuna taifa la Palestina, hivyo kwa mujibu wa Quran hakukuwa na Taifa ilo isipokuwa Israel ambayo imetajwa mara 43.

Waislamu kinachowaendesha si dini bali itikadi na tamaduni za waarabu. Kulazimisha manabii na mitume wote kuwa ni Wapalestina, wakati Mfalme Daudi (Dawood in Islam), anafahamika kuwa ndiye mfalme hodari wa taifa la Israel.

Nyie waislamu tuonesheni hilo neno Palestina kwenye kitabu chenu
Copy and paste, wame- copy Biblia..
 
Kitabu cha Quran kinataka jina la Israel mara 43 katika maandiko yake, lakini kitabu icho icho hakina andiko lolote linatolotaja neno Palestina (Palestine), kwa lugha nyingi yani jina Palestina halipo kwenye Quran. Na Uislam hautambui taifa la Palestina, lakini unatambua Taifa la Israel.

Inashangaza sana kuona waislamu wanaenda kinyume na dini na kitabu chao cha Quran, kisa tu kutetea waarabu. Taifa la Palestina ni mazao ya uhamaji wa waturuki na waarabu wengine ambao pia tumewaona wakinyakua makazi kaskazini mwa bara la Afrika ambalo mwanzo maeneo hayo yalikaliwa na Watu weusi. Katika Quran hakuna taifa la Palestina, hivyo kwa mujibu wa Quran hakukuwa na Taifa ilo isipokuwa Israel ambayo imetajwa mara 43.

Waislamu kinachowaendesha si dini bali itikadi na tamaduni za waarabu. Kulazimisha manabii na mitume wote kuwa ni Wapalestina, wakati Mfalme Daudi (Dawood in Islam), anafahamika kuwa ndiye mfalme hodari wa taifa la Israel.

Nyie waislamu tuonesheni hilo neno Palestina kwenye kitabu chenu
☑️🙏🙏🙏
 
Nenda haraka kakague afya ya akili yako , wametajwa Wana wa Israel na sio Israel(Inchi) .

Vilevile umeandika kama mlevi bila kujiukiza pengine hata kusoma wametajwa katika mlengo upi na kwa nini ...

Ushauri : Usikurupuke kuendea vitu bila kufanya utafiti wenye kujiridhisha hata Maghayo pamoja na bange zake ana umakini kidogo
 
Inawasaidia Nini Ndugu zangu?kwanini tusijiulize habari za wandegereko na wanyakyusa?hebu acheni shobo na mambo ya watu akitajwa muisraeli au mpalestina wewe na weusi wako inakuhusu Nini?badilika mtu mweusi
 
Nenda haraka kakague afya ya akili yako , wametajwa Wana wa Israel na sio Israel(Inchi) .

Vilevile umeandika kama mlevi bila kujiukiza pengine hata kusoma wametajwa katika mlengo upi na kwa nini ...

Ushauri : Usikurupuke kuendea vitu bila kufanya utafiti wenye kujiridhisha hata Maghayo pamoja na bange zake ana umakini kidogo
Adriz mutu wangu wa nguvu yatosha. Tuache tuendelee kulala.
 
Kwamba ndio hawa kina NETANYAHU.. 🤔🤔

😂🤣🤣🤣
 
Kwahiyo kinachofanyika gaza,hakifanyiki Palestinae au maana yako, ni ipi au muungaji mkono wa beberu America,mateka wa israel🤔
Gaza ni sehemu ya Israel kwa mujibu wa Quran, maana Quran haijataja Palestina hata kidogo... Kusema manabii na mitume na wapalestina ni kuenda kinyume na Quran
 
Kitabu cha Quran kinataka jina la Israel mara 43 katika maandiko yake, lakini kitabu icho icho hakina andiko lolote linatolotaja neno Palestina (Palestine), kwa lugha nyingi yani jina Palestina halipo kwenye Quran. Na Uislam hautambui taifa la Palestina, lakini unatambua Taifa la Israel.

Inashangaza sana kuona waislamu wanaenda kinyume na dini na kitabu chao cha Quran, kisa tu kutetea waarabu. Taifa la Palestina ni mazao ya uhamaji wa waturuki na waarabu wengine ambao pia tumewaona wakinyakua makazi kaskazini mwa bara la Afrika ambalo mwanzo maeneo hayo yalikaliwa na Watu weusi. Katika Quran hakuna taifa la Palestina, hivyo kwa mujibu wa Quran hakukuwa na Taifa ilo isipokuwa Israel ambayo imetajwa mara 43.

Waislamu kinachowaendesha si dini bali itikadi na tamaduni za waarabu. Kulazimisha manabii na mitume wote kuwa ni Wapalestina, wakati Mfalme Daudi (Dawood in Islam), anafahamika kuwa ndiye mfalme hodari wa taifa la Israel.

Nyie waislamu tuonesheni hilo neno Palestina kwenye kitabu chenu
Tumia akili
Si lazima itajwe kwa jina hilo. Kuna nchi au maeneo miaka hiyo yalijulikana kwa majina mengine.
 
Mkuu unataka aliendika kitabu cha Ngoswe ambae amemlenga Ngoswe kama muhusika mkuu amtaje Mama Inda mara 36 alafu Ngoswe atajwe mara 10?

Warumi 9:6
Si kana kwamba neno la Mungu limetanguka. MAANA HAWAWI WOTE WAISRAELI WALIO WA UZAO WA ISRAELI.

Mpaka hapo elewa Israel iliyopo kwenye biblia sio ya kimipaka bali ni kiimani. Na ndiyo maana unatakuta Judaism wanawapinga Zionism mulemule ndani ya nchi ya Israel! Na uelewe yakuwa Zionism hawa ndiyo wenye nguvu za kuishawishi na uchumi kuanzia ndani ya nchi ya Israel mpaka huko Magharibi
Wewe unasoma Biblia gani mkuu... MUNGU mwenyewe alisema. Soma hivi vifungu vinavyoonesha Israel ni nchi na taifa.

Vifungu vingi katika Biblia vinaelezea jinsi Mungu alivyochagua na kuweka kando watu wa Israeli kama taifa lake. Baadhi ya vifungu vinavyodhihirisha hili ni pamoja na:

1. Mwanzo 17:4-8: Hapa kwenye hiki kifungu, Mungu anatoa agano lake na Ibrahimu, akiahidi kuwa atakuwa Mungu wa uzao wake na uzao wao utakuwa taifa lenye ardhi.

2. Kutoka 19:5-6: Mungu anawaambia Waisraeli kuwa watakuwa taifa teule na utawala wa kikuhani.

3. Kumbukumbu la Torati 7:6: Mungu anawaambia Waisraeli kuwa wao ni watu teule mbele zake.

4. Yeremia 31:35-37: Hapa, Mungu anathibitisha ahadi zake za kudumu kwa Israeli.

5. Zaburi 105:8-11: Zaburi hii inaelezea kuhusu agano la Mungu na Ibrahimu na jinsi alivyolilinda taifa la Israeli.

Hizi ni baadhi tu ya mifano, na kuna mengi zaidi katika vitabu vya Agano la Kale vinavyoelezea uhusiano wa Mungu na watu wa Israeli kama taifa.
 
Kitabu cha Quran kinataka jina la Israel mara 43 katika maandiko yake, lakini kitabu icho icho hakina andiko lolote linatolotaja neno Palestina (Palestine), kwa lugha nyingi yani jina Palestina halipo kwenye Quran. Na Uislam hautambui taifa la Palestina, lakini unatambua Taifa la Israel.

Inashangaza sana kuona waislamu wanaenda kinyume na dini na kitabu chao cha Quran, kisa tu kutetea waarabu. Taifa la Palestina ni mazao ya uhamaji wa waturuki na waarabu wengine ambao pia tumewaona wakinyakua makazi kaskazini mwa bara la Afrika ambalo mwanzo maeneo hayo yalikaliwa na Watu weusi. Katika Quran hakuna taifa la Palestina, hivyo kwa mujibu wa Quran hakukuwa na Taifa ilo isipokuwa Israel ambayo imetajwa mara 43.

Waislamu kinachowaendesha si dini bali itikadi na tamaduni za waarabu. Kulazimisha manabii na mitume wote kuwa ni Wapalestina, wakati Mfalme Daudi (Dawood in Islam), anafahamika kuwa ndiye mfalme hodari wa taifa la Israel.

Nyie waislamu tuonesheni hilo neno Palestina kwenye kitabu chenu
Mkuu nitajie kitu kimoja special na cha ziada ambacho Israel wanakipata moja kwa moja kutoka mbinguni kiasi cha kusema wamebarikwa???

Iweje nchi iliyobarikiwa iwe ndio inayoongoza kwa mifarakano, migogoro na vita? Nchi kama Swissland, Sweden, Finland, Canada, emirates, Botswana, Bhutan, Singapore, Malaysia, Namibia na Eswatini hazijabarikiwa?
 
Yaaani ata Maka! Sio hii ya leo! Na Quraan ya leo sio Original ni fake!

Nnta post Documentary yenye ukweli wote soon!!
Nilijua unatapost Quran original na Mecca original kumbe maigizo ya documentary....kakojoe kalale tena
 
Nenda haraka kakague afya ya akili yako , wametajwa Wana wa Israel na sio Israel(Inchi) .

Vilevile umeandika kama mlevi bila kujiukiza pengine hata kusoma wametajwa katika mlengo upi na kwa nini ...

Ushauri : Usikurupuke kuendea vitu bila kufanya utafiti wenye kujiridhisha hata Maghayo pamoja na bange zake ana umakini kidogo
Wewe mwenyewe afya ya Akili timamu tuelezee sasa Israel imeandikwa kwa mlengo hupi kwenye Quran, maana umeandika porojo tu, ujaandika facts.

Sasa ngoja nikupe facts za kwenye Quran kuhusu nchi na taifa la Israel.

Jina la Israel linapatikana katika Quran, kitabu kitakatifu cha Uislam. Hata hivyo, katika muktadha wa Quran, "Israel" mara nyingi linahusiana na nabii wa Mwenyezi Mungu, yaani, Nabii Ya'qub (Jacob), ambaye alipewa jina la Israel. Kwa hiyo, mara nyingine, neno "Israel" linaweza kutumika kumaanisha uzao au wafuasi wa Nabii Ya'qub.

Quran ina ainisha ahadi za MUNGU kwa watu wa Israel katika vifungu vifuatavyo;

Quran 2:40: "Enyi wana wa Israeli! Kumbukeni neema yangu niliyowaneemesha, na nitimizeni ahadi yangu nami nitatimiza ahadi yenu, na niweni waogofya Mwenyezi Mungu."

Quran 2:47: "Enyi wana wa Israeli! Kumbukeni neema yangu niliyowaneemesha, na ya kwamba nimewateuweni kuliko walimwengu wote."

Quran 17:2: "Tumpeni kisogo Bani Adamu wote walioasi. Je, mmesikia kisa cha wana wa Israeli walipopewa Ishara zetu wanapojionyesha kwao Nabii mmoja baada ya mwingine? Wakapuuza na hawakuwaambia wala hawakuonywa!"

Quran 20:80: "Enyi wana wa Israeli! Tulikukomesheni na adui yako, kisha tukakuteremshieni manna na salwa."

Quran 26:197: "Enyi wana wa Israeli! Kumbukeni neema yangu niliyowaneemesha, na ninyi niliowateuweni kuliko walimwengu wote."
 
Inawasaidia Nini Ndugu zangu?kwanini tusijiulize habari za wandegereko na wanyakyusa?hebu acheni shobo na mambo ya watu akitajwa muisraeli au mpalestina wewe na weusi wako inakuhusu Nini?badilika mtu mweusi
Ni kuwekana sawa kwenye muktadha wa kidini
 
Back
Top Bottom