Quran imetaja neno 'Israel' mara 43, lakini haijataja neno "Palestina" hata kidogo

Quran imetaja neno 'Israel' mara 43, lakini haijataja neno "Palestina" hata kidogo

Unaandika kitu ambacho hukijuii kabisa na hiyo Quran yenyewe huijui iyo nguvu ya kuandika uongo umeitolea wapi kwenye Quran imewaandika wayahudi na sio iyo nchi unaizungumzia na kwa sababu Quran ni kitabu ambacho hakina Shaka ndani yake kimekusanya ukwel mtupu na hao wayahudi unajua wamezungumziwa vipi.
NB:Cristian Vs Jewish hawa ni watu au dini mbili tofauti kabisa elewa Kwanza apa
 
Mkuu nitajie kitu kimoja special na cha ziada ambacho Israel wanakipata moja kwa moja kutoka mbinguni kiasi cha kusema wamebarikwa???
Kwanza kitendo cha kutokushindwa vita kipindi wanapigana na Mataifa yote ya kiarabu miaka ya 1948, 1967, 1973

Kitu kilichoonesha ahadi kuu ya Mungu kuwalinda. Kumbuka Israel kijiografia na kiidadi ni taifa dogo sana, lakini liliweza kupigana na muunganiko wa mataifa yote ya kiarabu na kuyashinda. Ukisoma Biblia utaona MUNGU anamuahidi Ibrahim na kizazi chake kuwalinda
 
Hata shetan anatajwa mara nyingi sana kuliko Mungu.

Ina maana shetan ni mzuri kuliko Mungu?
 
Unaandika kitu ambacho hukijuii kabisa na hiyo Quran yenyewe huijui iyo nguvu ya kuandika uongo umeitolea wapi kwenye Quran imewaandika wayahudi na sio iyo nchi unaizungumzia na kwa sababu Quran ni kitabu ambacho hakina Shaka ndani yake kimekusanya ukwel mtupu na hao wayahudi unajua wamezungumziwa vipi.
NB:Cristian Vs Jewish hawa ni watu au dini mbili tofauti kabisa elewa Kwanza apa
Quran haijawataja wayahudi wala wapalestina, ila imewataja wana wa Israel. Nioneshe ni wapi Quran imetaja Taifa la Palestine au Wapalestina.

Soma hapo hivyo vifungu vya Quran uone ni. Namna gani Quran inatambua wana wa Israel kizazi cha Yakobo.

Quran 2:40: "Enyi wana wa Israeli! Kumbukeni neema yangu niliyowaneemesha, na nitimizeni ahadi yangu nami nitatimiza ahadi yenu, na niweni waogofya Mwenyezi Mungu."

Quran 2:47: "Enyi wana wa Israeli! Kumbukeni neema yangu niliyowaneemesha, na ya kwamba nimewateuweni kuliko walimwengu wote."

Quran 17:2: "Tumpeni kisogo Bani Adamu wote walioasi. Je, mmesikia kisa cha wana wa Israeli walipopewa Ishara zetu wanapojionyesha kwao Nabii mmoja baada ya mwingine? Wakapuuza na hawakuwaambia wala hawakuonywa!"

Quran 20:80: "Enyi wana wa Israeli! Tulikukomesheni na adui yako, kisha tukakuteremshieni manna na salwa."

Quran 26:197: "Enyi wana wa Israeli! Kumbukeni neema yangu niliyowaneemesha, na ninyi niliowateuweni kuliko walimwengu wote."
 
Wewe mwenyewe afya ya Akili timamu tuelezee sasa Israel imeandikwa kwa mlengo hupi kwenye Quran, maana umeandika porojo tu, ujaandika facts.

Sasa ngoja nikupe facts za kwenye Quran kuhusu nchi na taifa la Israel.

Jina la Israel linapatikana katika Quran, kitabu kitakatifu cha Uislam. Hata hivyo, katika muktadha wa Quran, "Israel" mara nyingi linahusiana na nabii wa Mwenyezi Mungu, yaani, Nabii Ya'qub (Jacob), ambaye alipewa jina la Israel. Kwa hiyo, mara nyingine, neno "Israel" linaweza kutumika kumaanisha uzao au wafuasi wa Nabii Ya'qub.

Quran ina ainisha ahadi za MUNGU kwa watu wa Israel katika vifungu vifuatavyo;

Quran 2:40: "Enyi wana wa Israeli! Kumbukeni neema yangu niliyowaneemesha, na nitimizeni ahadi yangu nami nitatimiza ahadi yenu, na niweni waogofya Mwenyezi Mungu."

Quran 2:47: "Enyi wana wa Israeli! Kumbukeni neema yangu niliyowaneemesha, na ya kwamba nimewateuweni kuliko walimwengu wote."

Quran 17:2: "Tumpeni kisogo Bani Adamu wote walioasi. Je, mmesikia kisa cha wana wa Israeli walipopewa Ishara zetu wanapojionyesha kwao Nabii mmoja baada ya mwingine? Wakapuuza na hawakuwaambia wala hawakuonywa!"

Quran 20:80: "Enyi wana wa Israeli! Tulikukomesheni na adui yako, kisha tukakuteremshieni manna na salwa."

Quran 26:197: "Enyi wana wa Israeli! Kumbukeni neema yangu niliyowaneemesha, na ninyi niliowateuweni kuliko walimwengu wote."
Baadhi ya waislam ni wanafiki sana yana hata quran kitabu chao kinaeleza israel ni taifa teule
 
Baadhi ya waislam ni wanafiki sana yana hata quran kitabu chao kinaeleza israel ni taifa teule
Wao hawataki kufuata maandiko ya Quran, wanataka kufata Tamaduni za kiarabu... Palestina haijatajwa kwenye Quran hata kidogo, lakini leo hii kila muislamu anashupalia Wapalestina
 
Haya kumekucha tena, kumekuwa na trend ya members humu jamvini ya kuzungumzia Qur'an kimasihara kuhusu habari za vita ya huko palestine, wakati nakuandalia majibu hapa, nikushauri Mhaya ukasome uzi umeanzishwa na Bams kuhusu mambo haya haya na ameshaukimbia uzi wake.

pili, israeli iliyotajwa kwenye Qur'an ni nabii yaaqub mtoto wa ishaqa mtoto wa ibrahiym amani iwe juu yao wote, huyu jina lake ni israeli, na israeli kwa kiarabu maana yake ni abdullah, yaani mja wa allah kwa kiswahili.

"Kila chakula kilikuwa halali kwa wana wa israeli isipokuwa alichojiharamishia israeli mwenyewe kabla haijateremshwa torati, sema: Leteni torati muisome ikiwa nyinyi mnasema kweli."
Qur'an 3:93


Utaona hapo Allah amemtaja nabii yaaqub ambaye ndiye baba wa watoto 12 ambao ndio chimbuko la koo zote za wana wa israeli, kwahiyo kwa ufahamu wako nchi inakula sio? taifa la israeli limeanzishwa mwaka 1948 hata babu yangu amesharudi kutoka vita ya pili ya dunia.

Mahali pengine ukikuta imetajwa banii-israeli basi wakusudiwa ni watoto wa yaaqub na kizazi chake, na pamechimbuka mitume wengi kati yao, kama yuusuf, mussa, yoshua mwana wa nuun, haarun, daudi, sulaymaan na wengineo.

Kwa kumalizia naona umetaja ahadi Allah alizochukua kwa wana wa israeli, mbona haunukuu muendelezo kuwa wao walizivunja ahadi hizo? tizama mfano:

"Na kwa hakika alikujieni musa na hoja zilizo waziwazi, kisha mkajifanyia ndama (kumfanya muabudiwa wenu) baada yake, na mkawa wenye kudhulumu."

"Na tulipochukua ahadi yenu na tukauinua mlima juu yenu (tukakwambieni): yashikeni kwa nguvu haya tuliyokupeni na msikie, wakasema: "Tumesikia na tumekataa!" na wakanyweshwa nyoyoni mwao (imani ya kumuabudu) mwana ndama kwa ukafiri wao, sema: Ni uovu mno iliyokuamrisheni imani yenu mkiwa ninyi ni wenye kuamini."
Qur'an 2:92-93


Kwa ufupi Qur'an imewasema vibaya sana wana wa israeli kwa ukafiri wao na kiburi chao cha hali ya juu, mara nyingine uzungumzie mambo unayoyajua kwani ardhi ya palestine ndio imetajwa kwenye Qur'an mara kadhaa na ardhi ya israeli haijatajwa hata moja kwani hakukuwa na jambo kama hilo katu.

"Enyi watu wangu! ingieni katika ardhi takatifu ambayo Allah amewaandikieni, wala msirudi nyuma ya visigino vyenu, msije mkawa ni wenye kupata hasara."
Qur'an 5:21


"Ninamtakasa kumtakasa yule aliyemchukua mja wake sehemu katika usiku kutoka msikiti mtukufu wa makkah mpaka msikiti wa aqswa, ambao tumevibariki vilivyouzunguka, ili tumuonyeshe baadhi ya alama zetu, hakika yeye ni msikivu, mwenye kuona."
Qur'an 17:1



Hizo aya zimetaja ardhi ya palestine, ambayo Allah ndio aliwaandikia wana wa israeli wakati wa musa wakavunja ahadi na wakatolewa tena, sasa kuja hapa kutupigia kelele kuwa israeli imetajwa mara 36 basi jua hapo anakusudiwa yaaqub amani iwe juu yake au wanawe, ama ardhi ya palestine ardhi ya quds, msikiti wa aqswa vimetajwa katika Qur'an mara kadhaa.
 
Wafilisti tokea enzi hawana akili, wameumbwa hivyo, sasa msiulize mimi sio muumbaji
 
ISRAIL imejurudia rudia kwa sababu ya habari za Mussa (Kisa cha Mussa na wana wa Israel)
 
Wewe unasoma Biblia gani mkuu... MUNGU mwenyewe alisema. Soma hivi vifungu vinavyoonesha Israel ni nchi na taifa.

Vifungu vingi katika Biblia vinaelezea jinsi Mungu alivyochagua na kuweka kando watu wa Israeli kama taifa lake. Baadhi ya vifungu vinavyodhihirisha hili ni pamoja na:

1. Mwanzo 17:4-8: Hapa kwenye hiki kifungu, Mungu anatoa agano lake na Ibrahimu, akiahidi kuwa atakuwa Mungu wa uzao wake na uzao wao utakuwa taifa lenye ardhi.

2. Kutoka 19:5-6: Mungu anawaambia Waisraeli kuwa watakuwa taifa teule na utawala wa kikuhani.

3. Kumbukumbu la Torati 7:6: Mungu anawaambia Waisraeli kuwa wao ni watu teule mbele zake.

4. Yeremia 31:35-37: Hapa, Mungu anathibitisha ahadi zake za kudumu kwa Israeli.

5. Zaburi 105:8-11: Zaburi hii inaelezea kuhusu agano la Mungu na Ibrahimu na jinsi alivyolilinda taifa la Israeli.

Hizi ni baadhi tu ya mifano, na kuna mengi zaidi katika vitabu vya Agano la Kale vinavyoelezea uhusiano wa Mungu na watu wa Israeli kama taifa.
Marko 12.
12 Yesu alianza kusema nao kwa kutumia mifano: “Mtu mmoja alipanda shamba la mizabibu; akalizungushia uzio, akachimba kisima cha kutengenezea divai na akajenga mnara. Akalikodisha shamba hilo kwa wakulima fulani kisha akasafiri kwenda nchi nyingine. 2 Wakati wa mavuno ulipofika, mwenye shamba alimtuma mtumishi wake kwa hao wakulima kuchukua sehemu yake ya mavuno. 3 Lakini wale wakulima walimkamata yule mtumishi, wakampiga, wakamfukuza mikono mitupu. 4 Yule mwenye shamba akamtuma mtum ishi mwingine. Wale wakulima wakampiga kichwani, na kumfanyia mambo ya aibu. 5 Akapeleka mtumishi mwingine tena. Huyu, wakam wua. Akapeleka wengine zaidi, baadhi yao wakawapiga na wengine wakawaua. 6 Mwenye shamba akawa amebakiwa na mtu mmoja tu ambaye angeweza kumtuma. Huyu alikuwa mwanae aliyempenda sana. Hatimaye akaamua kumtuma akisema, ‘Bila shaka watamheshimu mwanangu.’ 7 Lakini wale wakulima wakashauriana, ‘Huyu mwanae ndiye mrithi. Tumwue na urithi utakuwa wetu.’ 8 Wakamchukua, wakamwua, wakam tupa nje ya shamba. 9 Mnadhani yule mwenye shamba atafanya nini? Atakuja, awaue hao wakulima kisha alikodishe shamba lake kwa wak ulima wengine. 10 Hamjasoma Maandiko haya? ‘Lile jiwe waliloli kataa wajenzi limekuwa jiwe kuu la msingi. 11 Jambo hili limefa nywa na Bwana, nalo ni la ajabu kwetu.
 
Wewe mwenyewe afya ya Akili timamu tuelezee sasa Israel imeandikwa kwa mlengo hupi kwenye Quran, maana umeandika porojo tu, ujaandika facts.

Sasa ngoja nikupe facts za kwenye Quran kuhusu nchi na taifa la Israel.

Jina la Israel linapatikana katika Quran, kitabu kitakatifu cha Uislam. Hata hivyo, katika muktadha wa Quran, "Israel" mara nyingi linahusiana na nabii wa Mwenyezi Mungu, yaani, Nabii Ya'qub (Jacob), ambaye alipewa jina la Israel. Kwa hiyo, mara nyingine, neno "Israel" linaweza kutumika kumaanisha uzao au wafuasi wa Nabii Ya'qub.

Quran ina ainisha ahadi za MUNGU kwa watu wa Israel katika vifungu vifuatavyo;

Quran 2:40: "Enyi wana wa Israeli! Kumbukeni neema yangu niliyowaneemesha, na nitimizeni ahadi yangu nami nitatimiza ahadi yenu, na niweni waogofya Mwenyezi Mungu."

Quran 2:47: "Enyi wana wa Israeli! Kumbukeni neema yangu niliyowaneemesha, na ya kwamba nimewateuweni kuliko walimwengu wote."

Quran 17:2: "Tumpeni kisogo Bani Adamu wote walioasi. Je, mmesikia kisa cha wana wa Israeli walipopewa Ishara zetu wanapojionyesha kwao Nabii mmoja baada ya mwingine? Wakapuuza na hawakuwaambia wala hawakuonywa!"

Quran 20:80: "Enyi wana wa Israeli! Tulikukomesheni na adui yako, kisha tukakuteremshieni manna na salwa."

Quran 26:197: "Enyi wana wa Israeli! Kumbukeni neema yangu niliyowaneemesha, na ninyi niliowateuweni kuliko walimwengu wote."
Kosa kubwa ulilofanya ni kulinganisha utajo wa Wana wa Israel waliotajwa kuwa ndio Taifa batili la Israel lililonzishwa miaka ya karibuni.

Moja kati ya sababu ambazo imefanya Qur'an kuzungumzia Wana wa Israel kwa sana kwa sababu kwao wamepita Manabii na Mitume mingi na visanga vingi vimetokea kwao ilimradi waumini wapate mazingatio kupitia wao .

Mlengo wa Uzi wako ni batili kwa sababu unataka kujustify kuwa kutajwa kwao mara nyingi ni kheri na ndio utukufu bila kuzingatia wametajwa katika engo ipi.
 
Mkuu nitajie kitu kimoja special na cha ziada ambacho Israel wanakipata moja kwa moja kutoka mbinguni kiasi cha kusema wamebarikwa???

Iweje nchi iliyobarikiwa iwe ndio inayoongoza kwa mifarakano, migogoro na vita? Nchi kama Swissland, Sweden, Finland, Canada, emirates, Botswana, Bhutan, Singapore, Malaysia, Namibia na Eswatini hazijabarikiwa?
Akikujibu ni tag please 🙏
 
Kitabu cha Quran kinataka jina la Israel mara 43 katika maandiko yake, lakini kitabu icho icho hakina andiko lolote linatolotaja neno Palestina (Palestine), kwa lugha nyingi yani jina Palestina halipo kwenye Quran. Na Uislam hautambui taifa la Palestina, lakini unatambua Taifa la Israel.

Inashangaza sana kuona waislamu wanaenda kinyume na dini na kitabu chao cha Quran, kisa tu kutetea waarabu. Taifa la Palestina ni mazao ya uhamaji wa waturuki na waarabu wengine ambao pia tumewaona wakinyakua makazi kaskazini mwa bara la Afrika ambalo mwanzo maeneo hayo yalikaliwa na Watu weusi. Katika Quran hakuna taifa la Palestina, hivyo kwa mujibu wa Quran hakukuwa na Taifa ilo isipokuwa Israel ambayo imetajwa mara 43.

Waislamu kinachowaendesha si dini bali itikadi na tamaduni za waarabu. Kulazimisha manabii na mitume wote kuwa ni Wapalestina, wakati Mfalme Daudi (Dawood in Islam), anafahamika kuwa ndiye mfalme hodari wa taifa la Israel.

Nyie waislamu tuonesheni hilo neno Palestina kwenye kitabu chenu
Kwanza fahamu qur,an inapo taja jina Israel inakusudia nini?tatizo lenu nyiyi wakirito mnawatukuza wayahudi kuliko hata Mungu alie waumba,quran inapotaja Israel inakusudia mtoto wa iburahimu sio wayahudi ibapotaja bani Israel inakusgudia kizazi cha yakobo au yakuubu
 
Kitabu cha Quran kinataka jina la Israel mara 43 katika maandiko yake, lakini kitabu icho icho hakina andiko lolote linatolotaja neno Palestina (Palestine), kwa lugha nyingi yani jina Palestina halipo kwenye Quran. Na Uislam hautambui taifa la Palestina, lakini unatambua Taifa la Israel.

Inashangaza sana kuona waislamu wanaenda kinyume na dini na kitabu chao cha Quran, kisa tu kutetea waarabu. Taifa la Palestina ni mazao ya uhamaji wa waturuki na waarabu wengine ambao pia tumewaona wakinyakua makazi kaskazini mwa bara la Afrika ambalo mwanzo maeneo hayo yalikaliwa na Watu weusi. Katika Quran hakuna taifa la Palestina, hivyo kwa mujibu wa Quran hakukuwa na Taifa ilo isipokuwa Israel ambayo imetajwa mara 43.

Waislamu kinachowaendesha si dini bali itikadi na tamaduni za waarabu. Kulazimisha manabii na mitume wote kuwa ni Wapalestina, wakati Mfalme Daudi (Dawood in Islam), anafahamika kuwa ndiye mfalme hodari wa taifa la Israel.

Nyie waislamu tuonesheni hilo neno Palestina kwenye kitabu chenu
ajabu supa dupa USA imeajwa mara 0...utajua hujielewi mtoa mada
 
Back
Top Bottom