Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
- Thread starter
-
- #41
Ooooh.... So unasema ni dhaifu? Huo ni mfumo dume. Kama walikuwa special kama watoto maana yake ni nini ? Sijajua hoja yako mpaka sasa. Nakuambia sisi tupo na mama.Hao ni ruler or emperor kipind ambacho kina mapambano kwa sana ,hadith zinafuatwa ni matendo pomoja aliyosema.
Ina maana kama ni ruler enzi zile lazima awe upande wa mbele kweny vita ,sasa kaangalie kweny vita kama palikuwa na wanawake.
Kwanza hao wanawake walikuwa special group kama watoto ,hawatakiwa hata kushambuliwa kipind cha vita ,sasa wangewezaje kuongoza vita?
Kwa hiyo uislam unaruhusu mwanamke kuwa kiongozi?
Mwanamke gani anaweza kuongoza kweny vita miaka ile 😅😅Ooooh.... So unasema ni dhaifu? Huo ni mfumo dume. Kama walikuwa special kama watoto maana yake ni nini ? Sijajua hoja yako mpaka sasa. Nakuambia sisi tupo na mama.
Hii ndiyo Quran!?..acha umaku,kitu Kama hujui tuliza kijambioMimi nasema Tanzania itaendelea mtake msitake. Pamoja na maneno haya kusemwa na Quran naamini itakuwa si kwa ajili ya nchi yetu.
Labda kwa maeneo mengine. Tuendeleeni kumuunga mkono samia katika harakati zake. Haya mambo mengine yasitutoe kwenye mstari. Lazima tukubaliane dunia imebadilika. Au nasema uongo?
View attachment 2908698
Nchi siyo barabara tu,muwe mnatafakariMwanamke kufanya maamuzi magumu hawawezi thus mama wanamdanganya saana tofauti na Magu alikuwa anajua kila barabara
Hawana nguvu kabisa zaidi wanaharibu Umeme mpaka Leo ahadi za uongo tu nakumbuka tarehe 16 ilikua mwisho wa kukatika katika kwa Umeme ila mpaka Leo hakuna jipya.Hizi nafasi za juu za uongozi, wanawake wasiwe wanapewa kabisa......
Mwanamke gani anaweza kuongoza kweny vita miaka ile 😅😅
Yesu hajawahi kuwa hata na mwanafunzi wa kike.
Povu linakutoka.... Kisu kimegusa mfupa... Na bado... Tutawagonga sana safari hii. Mama anaupiga mwingi... Mnatoa povu kila sehemu zenu zenye uwazi... Subirini nirudi toka Ethiopia nyie ngurumbili.Hii ndiyo Quran!?..acha umaku,kitu Kama hujui tuliza kijambio
NChi inaendelea.... Na ameifungua sanaWewe unaona nchi yetu inaendelea au inadidimia , sizani kama 2025 , hatarudi mwanamke
Mimi nasema Tanzania itaendelea mtake msitake. Pamoja na maneno haya kusemwa na Quran naamini itakuwa si kwa ajili ya nchi yetu.
Labda kwa maeneo mengine. Tuendeleeni kumuunga mkono samia katika harakati zake. Haya mambo mengine yasitutoe kwenye mstari. Lazima tukubaliane dunia imebadilika. Au nasema uongo?
View attachment 2908698
Hii ni Qur'an au hadith? 🤔
Hao wa kiume hawajafanya lolote la maana. Mama ndo ameifungua nchi. Ndo maana sitaki nimsikie mtu akisema nyoto nyoto.Kwani hii nchi ni ya kiislamu,hao viongozi wa kiume wamefanya nini cha maana,hii nchi inahitaji zaidi mifumo imara inayojisimamia na kujiendesha bila kuingiliwa na mtu,hapi ndipo tutapiga hatua.
Dini zisitufanye sisi wajinga.
we quran iseme hivyo? ama wewe ni zuzuMimi nasema Tanzania itaendelea mtake msitake. Pamoja na maneno haya kusemwa na Quran naamini itakuwa si kwa ajili ya nchi yetu.
Labda kwa maeneo mengine. Tuendeleeni kumuunga mkono samia katika harakati zake. Haya mambo mengine yasitutoe kwenye mstari. Lazima tukubaliane dunia imebadilika. Au nasema uongo?
View attachment 2908698
Mimi ni zuzu.we quran iseme hivyo? ama wewe ni zuzu
Nani? Margaret au Bi Markel?Yule ulikuwa puppet wa Rais halisi
Hahahaaa.Mimi ni zuzu.
Mazingira gani?! Vp kuhusu urais?Inaruhusu ila inategemea na mazingira,
Pia iyo aliyo iweka hapo sio Qur’an
Nchi sio nyumbani kwako, hivi ni vitu viwili tofauti. Vilevile tunazungumzia kuongoza, sio kutawala.uko tayari/unaweza mruhusu mkeo awe mtawala hapo nyumbani kwako?