Radi yapiga wapenzi wakizini

Radi yapiga wapenzi wakizini

Mkazi wa Kijiji cha Masweya Kata ya Mtunduru Wilaya ya Ikungi, Vaileth Hassan Mtipa (32) amefariki dunia baada ya kupigwa na radi wakiwa wanazini na mume wa mtu kwenye pagale la nyumba.

Tukio hilo ambalo linadaiwa kughubwikwa na usiri tangu lilipotokea mwishoni mwa mwezi Novemba mwaka huu lakini baadaye limeanza kuzungumzwa huku ndugu wakikiri kutokea tukio hilo.

“Tukio lipo na tumeshamzika lakini uliza viongozi watakuambia, na hadi sasa mwanaume aiyekuwa na marehemu bado anaugulia maumivu kwani alijeruhiwa vibaya miguuni na radi hiyo,” alisema shuhuda wa tukio hilo.

Inadaiwa siku ya tukio hilo, Vaileth alikuwa na mpenzi wake Hassan Nzige na wakati wanafikwa na majanga hayo kwenye pagale walikuwa wakiendelea kufanya mapenzi.

Shuhuda anaeleza kuwa baada ya kupatwa na mkasa huo, Nzige alishindwa kusimama ndipo akaanza kupiga yowe kwa nguvu kwa ajili ya kuomba msaada ndipo watu wakamkuta akiwa hajiwezi wakati mwenzake akiwa amepoteza maisha tayari.

Baadhi ya wanakijiji wa Masweya walimchukua Nzige aliyejeruhiwa miguu yake na kumkimbizwa zahanati ya Ndulungu, kwa matibabu ambapo inadaiwa kuwa kwa sasa anaendelea vizuri.
Mwenyekiti wa Kijiji Masweya, Saidi Hongoa amekiri kuwa tukio hilo lilitokea Novemba 23, 2021 jioni muda mfupi kabla mvua haijaanza kunyesha.

“Radi ilipiga kabla mvua kuanza kunyesha, wakati huo wapendanao hao wakiwa kazini (wakifanya mapenzi) na wote wawili walikimbizwa katika zahanati ya kijiji cha Ndurungu wakati mwanamke akiwa ameunguzwa vibaya shingoni na mgongoni na mwanaume alikuwa ameunguzwa miguuni, lakini walipofikishwa waliambiwa mwanamke alikuwa amepoteza maisha tayari”, amesema Hongoa.

Amesema baada ya kutokea kwa tukio hilo, juhudi zilifanyika katika kumjulisha mume wake marehemu Violeth, Manase Nkungu aliyekuwa mbali na eneo hilo lakini aliposikia alilipokea kwa masikitiko.

Diwani wa kata ya Ndurungu, Theresia Daudi amsema kuna kila dalili kwamba marehemu Vailenth alifariki papohapo kwa vile aliunguzwa sehemu nyeti za mwili wake japo ni vigumu kueleza.

Mume wa marehemu, Manase Nkungu akiwa na masikitiko amesema hakutegemea kuwa angepata pigo kubwa la ghafla namna hiyo katika kipindi ambacho alimwamini mkewe.

Chanzo: mwananchi_official

Wanawake ( Dada zetu ) mnaopenda 'Kutiana' na Waume za Watu jitahidini Kwanza muwe mnaulizia Historia za Wake zao kwani kuna wengine Wake zao ni Waganga na Vigagula 'Waandamizi' hivyo Tamaa zenu zitakuja kuwatokeeni puani kama huyu Mwenzenu.

Habari zilizonofikia tu hivi punde ni kwamba Mganga huyu huyu aliyeileta Radi iliyomuadabisha kwa 'Kumuua' Mwizi wa Mume wa Mtu ndiyo ametumika 'Kuirogea' Simba SC ili Jumamosi iifunge Yanga SC katika Kariakoo Derby yao.

Na Radi imeshasetiwa vizuri tu Kuondoka ( Kuwafyeka ) akina Yanick Bangala, Feisal Salum Fei Toto na Khalid Aucho hivyo Yanga SC kama wanapenda Uhai wa hawa Wachezaji wao 'tegemezi' na wanawaonea Huruma GENTAMYCINE nashauri wasithubutu Kuwapanga.
Umemaliza vibaya Sana mkuu

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂🤣 hivi Nani alikuwa Juu Kati yao observation point
 
Ila haya majina ya Violeth kwann wanapenda Sana wanaume za watu...

Nawafahamu Violeth wawili ambao nao pia wametembea na wanaume wenye ndoa ...Violeth mmoja alikwapua mume wa mtu yule demu alikuwa anazimia pasipo kutarajiwa Mara kadhaa

As niliposoma na ka habar haka nime generalize
 
Sintosahau siku niliyoshuhudia radi ikipigana na kondoo, kondoo mwacheni maana ile radi ilipigwa kichwa cha tumbo ililia kama mtoto mbuzi meee ikakimbia huku inachechemea moral of the story mkitaka kupandana kwenye mapagale nendeni na kondoo wakuwalinda
Dah huyu jamaa muongo eti radi ililia kama mbuzi mee.
 
radi hiyo ina connection kama sio ya mumu mtu basi ya mke wa jamaa sikuhizi ni vizuri kujiwekea ka ulinzi, mshahara wa dhambi ni mauti, Mungu atuepushe na hizi balaa tuache uzinzi ni dhambi.
 
Kupiga mayowe kulikuwa ni involuntary kwani huwezi kupanga Kama hauigizi hasa inapokutana na kitu hatari usichokitarajia kikutokee Kama vile radi!! Isikilize kwa mbali tu!
 
kunadawa moja yakubridisha mwana hata akiwa kwenyesiku kavu au havuji alitaka kuchepuka jamaa anavooaza kuchomeka damu zakufa mtu ile imeonesha haifai jamaa anaweza aza kumfila Mana mwanamke akiwa nanguo akivua hamna kitu

Hii yaradi kalisana inabidi kumtafta mume wamarehemu atwambie waya wa earth unapelekwa wapi Hadi uke uunguzwe naradi mtu afe .......kiboko
 
Ila haya majina ya Violeth kwann wanapenda Sana wanaume za watu...

Nawafahamu Violeth wawili ambao nao pia wametembea na wanaume wenye ndoa ...Violeth mmoja alikwapua mume wa mtu yule demu alikuwa anazimia pasipo kutarajiwa Mara kadhaa

As niliposoma na ka habar haka nime generalize
Akina Violeth hawawashindi wenye Majina ya Rhoda, Lucy na Jackyline kwa Dhambi hiyo.

Na kwa Wanaume wanaoongoza kupenda Wake za Watu ni akina George, John na Deogratius.
 
radi hiyo ina connection kama sio ya mumu mtu basi ya mke wa jamaa sikuhizi ni vizuri kujiwekea ka ulinzi, mshahara wa dhambi ni mauti, Mungu atuepushe na hizi balaa tuache uzinzi ni dhambi.
Kuna Mke wa Mtu nilipanga 'Kutiana' nae leo Siku ya Uhuru, ila nilivyosoma tu hii Taarifa nimeogopa na Kusitisha zoezi hilo la Dhambi kwani nimeogopa mwenye Mume asije nae akaniletea Adhabu nyingine na GENTAMYCINE nikawa Historia duniani na hapa JamiiForums.
 
Back
Top Bottom