Rafiki anahitajika

[emoji848]andika uzi wa kumtafuta wakumnyandua bila shaka utapata tu mkuu ...kikubwa uwe specific
Nitakucheki kesho jioni dear .niko busy sana mchana.ila usijal this too shall pass.dada yako nipo
 
Niko under 30 but we can be friends if you don't mind,mepitia mengiii kias kwamba najua maisha ni nn..
 
PM
 
Umesomeka.
 
Una umri gani
Unaishi wapi
Na wewe kabila gani
Sina marafiki wengi kiviile naweza kukuongeza nikipata hayo majibu.niko very loyal kwa marafiki zangu.utaenjoy
Maswali kama wewe kabila ghani yanakuwa sio necessary labda Iwapo unataka kutambikia[emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…