am on board Xpin, mligend aje na style ya maana kuintroduce vinginevyo bora wabaki huko huko na 'ubest' wao
Yeah sure! Mpaka huo urafiki udhibitishwe kwa viwango vya TBSKwa hiyo kama swala ni time will tell, utakuwa tayari kutambulishwa rafiki wa kike wa mumeo if time will be involved? Sema ndiyo nikugongee senksi!
haswa iwe ni introduction inayoeleweka hatua kwa hatua hapo sina neno na at the end of day naweza kuwa close na huyo rafiki kuliko hata mai hazbandi wangu,Thats my girl! Kwa hiyo wewe uko tayari kumfahamu rafiki wa kike wa mumeo ili mradi tu taratibu za utambulisho zifuate mtiririko yakini. Si ndio? Ukisema ndio nakugongea senksi!
Thenksi haniii,mie sikugongei senksi napunguza kugonga senki sababu hii addiction ya Jeiefu naona inazidi,kwanza ilikuwa ufisadi wa muda sasa naona na mkono umeanza kuniuma.Thats my girl if you knoo woram seyying. Nimetimiza ahadi, umekula senksi. Kathibitishe.
hapo bado haileweki vizuri kaka yangu Chris, mtu umemjua karibuni anakuwaje rafiki wa karibu kiasi hicho?
navyoona mimi, mume aje siku moja "Triplets, leo/jana/juzi nimekutana na .... yaani mwanamke anajua biashara/kazi kweli kweli bla bla" kesho kutwa anakuja "unakumbuka yule ....niliye kwambia siku ile?, basi leo kuhusu ile ishu ya bla bla kanishauri vizuri sana bla bla.."
sasa hapo siku moja akija na kusema anapenda na mimi nikutane na huyu rafiki yake,itakuwa sawa tuu na ataishia kuwa rafiki yangu pia, kuna marafiki zangu wazuri sana na wakaribu nilionao sasa ambao nimewapata ki hivyo...[/QUOTE]
You got it right! tena umeiweka vizuri, eventually rafiki ya mumeo anaishia kuwa rafiki yenu wote, and viceversa.
Well said Carmel! I wish kina ZD, bht, triplets,nyamayao wangekuelewa. Ntawaandalia kitchen party uje uwafunde.
Ugomvi utaanza pale mtakapokuwa na jambo la kuamua(decision making)halafu uanze kusema ooh rafiki yangu (sijui Asha)kanishauri hivi na vile na mda huo mkeo anakupa wazo halafu ulikatae lake uchukue la huyo Asha hapo ndo wivu utaanza na vijisababu visivyo vya msingi.
[/FONT][/B]haswa iwe ni introduction inayoeleweka hatua kwa hatua hapo sina neno na at the end of day naweza kuwa close na huyo rafiki kuliko hata mai hazbandi wangu,
nasubiri thanks..!
hapa unani nyanyasa tu kaka..anachoongea Carmel ndio ninachoongea mimi...tena Carmel mwenyewe ka nukuu post yangu akianza na "tupo pamoja" sasa wewe wanipondea nini??..sawa bana
Thats my another girl: Kwa hiyo mzee akija na style ya maana akakuintrodyuzi rafiki yake wa kike utakubali kumpokea na kumheshimu kama rafiki ya mumeo? Ukisema ndiyo nawe unakula senksi!
Thats my third girl. Nawe umeshakula senksi kama nilivoahidi. Sasa mnaweza kumruhusu mtumishi wenu aende kwa amani akafanye utambulisho? Ntafuata maangalizo yenu! Naahidi!
go in peace shemeji ( bt dont rest in peace maana bado twakungoja kesho utupe fidbak)