Rafiki kutambulishwa kwa mke/mume/mchumba? IS IT REASONABLE?

Rafiki kutambulishwa kwa mke/mume/mchumba? IS IT REASONABLE?

am on board Xpin, mligend aje na style ya maana kuintroduce vinginevyo bora wabaki huko huko na 'ubest' wao

Thats my another girl: Kwa hiyo mzee akija na style ya maana akakuintrodyuzi rafiki yake wa kike utakubali kumpokea na kumheshimu kama rafiki ya mumeo? Ukisema ndiyo nawe unakula senksi!
 
Kwa hiyo kama swala ni time will tell, utakuwa tayari kutambulishwa rafiki wa kike wa mumeo if time will be involved? Sema ndiyo nikugongee senksi!
Yeah sure! Mpaka huo urafiki udhibitishwe kwa viwango vya TBS
 
Thats my girl! Kwa hiyo wewe uko tayari kumfahamu rafiki wa kike wa mumeo ili mradi tu taratibu za utambulisho zifuate mtiririko yakini. Si ndio? Ukisema ndio nakugongea senksi!
haswa iwe ni introduction inayoeleweka hatua kwa hatua hapo sina neno na at the end of day naweza kuwa close na huyo rafiki kuliko hata mai hazbandi wangu,

nasubiri thanks..!
 
Thats my girl if you knoo woram seyying. Nimetimiza ahadi, umekula senksi. Kathibitishe.
Thenksi haniii,mie sikugongei senksi napunguza kugonga senki sababu hii addiction ya Jeiefu naona inazidi,kwanza ilikuwa ufisadi wa muda sasa naona na mkono umeanza kuniuma.
 
hapo bado haileweki vizuri kaka yangu Chris, mtu umemjua karibuni anakuwaje rafiki wa karibu kiasi hicho?

navyoona mimi, mume aje siku moja "Triplets, leo/jana/juzi nimekutana na .... yaani mwanamke anajua biashara/kazi kweli kweli bla bla" kesho kutwa anakuja "unakumbuka yule ....niliye kwambia siku ile?, basi leo kuhusu ile ishu ya bla bla kanishauri vizuri sana bla bla.."

sasa hapo siku moja akija na kusema anapenda na mimi nikutane na huyu rafiki yake,itakuwa sawa tuu na ataishia kuwa rafiki yangu pia, kuna marafiki zangu wazuri sana na wakaribu nilionao sasa ambao nimewapata ki hivyo...[/QUOTE]

You got it right! tena umeiweka vizuri, eventually rafiki ya mumeo anaishia kuwa rafiki yenu wote, and viceversa.
 
Well said Carmel! I wish kina ZD, bht, triplets,nyamayao wangekuelewa. Ntawaandalia kitchen party uje uwafunde.

hapa unani nyanyasa tu kaka..anachoongea Carmel ndio ninachoongea mimi...tena Carmel mwenyewe ka nukuu post yangu akianza na "tupo pamoja" sasa wewe wanipondea nini??..sawa bana
 
Ugomvi utaanza pale mtakapokuwa na jambo la kuamua(decision making)halafu uanze kusema ooh rafiki yangu (sijui Asha)kanishauri hivi na vile na mda huo mkeo anakupa wazo halafu ulikatae lake uchukue la huyo Asha hapo ndo wivu utaanza na vijisababu visivyo vya msingi.

Kabisa, na utakuwa huna adabu kwa mwenzio kuiweka hadharani kiivyo. somethings needs wisdom to be involved!
 
Ndoa za mashaka.mimi na my wife wangu tulitambulishana marafiki wale wote muhimu na wa karibu,hata sasa akitokea yeyote nikaona anaweza kuwa rafiki yangu mzuri namueleza waif na faster namleta nyumbani au tunapanga outing kwa ajili ya kutambulishana na marafiki wapya wa kike hata mke wangu nae ni vivyo hivyo.sometimes nampigia simu wife ananiambia yupo na rafikiye flani sina wasi maana nawajua.
NB.MAZINGIRA MNAYOISHI YANACHANGIA SANA KIASI NA AINA YA MARAFIKI MTAKAO KUWA NAO
 
[/FONT][/B]haswa iwe ni introduction inayoeleweka hatua kwa hatua hapo sina neno na at the end of day naweza kuwa close na huyo rafiki kuliko hata mai hazbandi wangu,

nasubiri thanks..!

Aaaaah! Mbona tayari! Kathibitishe! Thats my second girl!
 
hapa unani nyanyasa tu kaka..anachoongea Carmel ndio ninachoongea mimi...tena Carmel mwenyewe ka nukuu post yangu akianza na "tupo pamoja" sasa wewe wanipondea nini??..sawa bana

Pole sana, usijali nimekupooza na senksi. Kaangalie!
 
[/QUOTE]

You got it right! tena umeiweka vizuri, eventually rafiki ya mumeo anaishia kuwa rafiki yenu wote, and viceversa.[/QUOTE]
Thats my girl! You have said well!
 
jibu rahisi,hivi yeye akija na mwanamume kama mimi,akasema ni rafiki yake,wewe utapokeaje?
 
Ndugu zangu nawashukuru kwa michango yenu. ZD, bht na FL1 nawashukuru kwa off topic za mara kwa mara, zimenichangamsha kinoma. (nimewasamehe kuwabani). Ngoja nitoke nimpitie rafiki yangu wa kike. Naongozana naye mpaka home kumtambulisha kwa wife. Ntamwomba waifu amtengenezee msosi murua ikiambatana na red wine. (Msisahau rafiki yangu ni rafiki wa waifu pia and vice versa)

Mkiona kesho sijatokea mjue it didnt work (wife anapiga kung fu kama Sho Kosugi, msisahau). Lakini mkiniona natiririka jamvini kama kawa, you guys kama mna marafiki wa jinsia tofauti mtapaswa kufuata nyayo zangu. Mnaweza kunikaribisha kutoa msaada tutani.

Ahsanteni na wote mlionigongea Senksi! Hahahaha!
 
Thats my another girl: Kwa hiyo mzee akija na style ya maana akakuintrodyuzi rafiki yake wa kike utakubali kumpokea na kumheshimu kama rafiki ya mumeo? Ukisema ndiyo nawe unakula senksi!

ndio lakini TBS ithibitishe kama alivosema ZD
 
ndio lakini TBS ithibitishe kama alivosema ZD

Thats my third girl. Nawe umeshakula senksi kama nilivoahidi. Sasa mnaweza kumruhusu mtumishi wenu aende kwa amani akafanye utambulisho? Ntafuata maangalizo yenu! Naahidi!
 
ni vizurri kumtambulisha lakini angalia huyu mkeo yukoje, anakuamini kwa kiasi gani.
 
Heri kuzuia/kinga kuliko kuponya. Kama kuna element ya kutokuaminiana kati yako wewe na wife/husband/mchumba wako achana kabisa na wazo la utambulisho kwa faida ya kuepuka kusambaratisha ndoa/uchumba wenu. Anaweza kuwakuta mnaongea mambo ya kawaida tu lakini kwa sababu mmezoeana mmekaa kihasara hasara ikaleta balaa. Kumbuka sana usemi"WIVU SINA LAKINI ROHO INAUMA"
 
Thats my third girl. Nawe umeshakula senksi kama nilivoahidi. Sasa mnaweza kumruhusu mtumishi wenu aende kwa amani akafanye utambulisho? Ntafuata maangalizo yenu! Naahidi!

go in peace shemeji ( bt dont rest in peace maana bado twakungoja kesho utupe fidbak)
 
go in peace shemeji ( bt dont rest in peace maana bado twakungoja kesho utupe fidbak)

And here I am with the feedback:
Jana nilivotoka machale yakanicheza. Nikaamua ngoja kwanza nitesti zali kwa maneno kwanza. Nisije peleka kabinti ka watu kakaambulia kipigo. Nikatinga home mapema kuliko kawaida. (nilimshangaza mamsapu, siyo kawaida yangu kuwahi kurudi). Nikamuuliza kama ana rafiki wa kiume. Akashtuka kidogo, ofkozi alipigwa na butwaa. Nikamwambia nina rafiki yangu wa kike nataka nimtambulishe kwake! LOL! Mahakama ikahamia nyumbani:
Huyo binti umemjulia wapi?Kazini. Ana umri gani? Miaka 30.Ameolewa?
Hapana. Ana mchumba? Sijui. Kwanini hujui? Sijamuuliza. Kwa nini hujamuuliza? Look here mama, nina marafiki wengi tu wa kiume hawajaoa na wala sijawauliza kama wana wachumba, kwa nini nimuulize huyu au kwa kuwa ni mwanamke?

Akaniangalia juu mpaka chini! LOL akaniambia kuna kitu namtafutia. Nikamwambia si kweli. Maswali yakaendelea; Kwa nini unataka kumtambulisha kwangu? Ili umjue. Unae rafiki mmoja tu wa kike? Nnao wengi. Mbona hao wengine huwatambulishi kwangu? (Nikasita kidogo) Yeye ndio anataka akuone nikaona si vibaya. Now look here playboy (ni mara yake ya kwanza kuniita hivyo) Go and tell that girlfriend of yours, kama anataka kunifahamu for good, aje hapa na mchumba wake au mme wake. Akija mwenyewe patakuwa hapatoshi hapa! LOL!

But thats not bad for starting, I can buy someone au naweza kumtumia mmoja wa wapwa zangu kujifanya ndie mchumbake, SIYO? Si atakuwa kashamfahamu rafiki yangu wa kike? And thats what I want anyway! HAHAHA!
 
Back
Top Bottom