Rafiki yako akimtongoza mke wako umfanye nini?

Rafiki yako akimtongoza mke wako umfanye nini?

We jamaa unasema unaendelea kukusanya ushahidi, hiv hujui maana ya mtu anapokwambia amevumilia mpka amechoka! Ina maana yeye ameshindwa hyo vita amekuachia wewe mumewe kwahyo na ww ukiendelea kusubiri hvyo ndo unampa jamaa ushindi na ataliwa we subiri hvyohvyo
 
Sheria zangu tatu
1: Rafiki yangu mwisho nje ya kwangu.
2: Usimtanie wala kuchekacheka na mke wangu nikijua ni tatizo.
3: Namba ya simu ya mke wangu haitakiwi kuwa kwako sitaki mazoea ya kisen**
 
Kuna story sikumbuki niliipata wapi.
Jamaa kategesha mke amshike ugoni mshikaji. Kwa kukutana ni nyumba ya kulala wageni.

Muda ulifika, mke kaelekea huko huku jamaa akimfuatilia. Wako na mshikaji chumbani. Mume anagonga mlango. Mshikaji akamfungulia akiwa na cha moto mkononi. Mume kakalishwa kwenye kiti, mshikaji akagonga mzigo kisha akaaga akimwambia mume akome kufuatilia wanaume.

Chonde, mambo ya kutegesha unaweza ufe.
Inaitwaje hii movie nika download mkuu?
 
Mkuu...tuliza akili..kama ni rafiki yako kweli mwambie tu..halafu achana naye, vunja urafiki..muwe kama watu wa kawaida tu...huyo ukimuendekeza atapita na mtoto wako huyo...

Mimi kwenye ujana kabla sijaoa..5 years back..nilikua na girl friend ambaye rafiki yangu alikua anamjua..wote tulikuwa circle moja...na hata mazingira ya kumpata aliyajua...kuna kupindi ghafla yule dada alikata mawasiliano mimi wala sikujali.(kipindi hicho rafiki yangu alikua na mke na mtoto tayari)...heee kumbe jamaa kaanza kumla...alikuja kuniambia mkanda mzima mwenyewe...wala sikuhamaki..nikamwambia duuh endelea tu...sisi urafiki wetu unaendelea mpaka leo...aliniambia aliona si sawa akaachana naye...
Huyo alikuwa girl friend my brother, hapa naongelea mke tena mabaye umemtolea mahari na ndoa
 
Ukimwambia rafiki yako means hamtokua na urafiki tena, bali mwanamke inabidi apambane na hilo swala yeye binafsi bila wewe kuingilia, kama mkeo anajielewa kamwe hawez toka nje ya ndoa
 
Ukimwambia rafiki yako means hamtokua na urafiki tena, bali mwanamke inabidi apambane na hilo swala yeye binafsi bila wewe kuingilia, kama mkeo anajielewa kamwe hawez toka nje ya ndoa
[emoji3][emoji3][emoji3]ndoa za mbali mbali hiziii kuchapiwaaa LAZIMAAAA ila tu inauma akiwa rafiki akoo
 
Chukua huu ushauri, ni mgumu ila ndio dawa ya ndoa yenye mke wa namna yako. Chukua pia tahadhari, wanawake wakitaka kukuweka kiganjani mwao, moja ya technique ni kukuachanisha na marafiki wenye akili. Na namna mojawapo ya kukuweka mbali nao ni kukupa story za namna hii
Ogopa sanaa mkeo kukwambia anatongozwa na fulani hivi huyo mkeo muulize tu ni wanaume wangapi wanakutongoza kila siku je huwa unakuja kuniambia umetongozwa? Achana na huo ujinga mwambie alimalize mwenyewe mbona akitongozwa na wengine haji kukwambia. Potezea huo upumbavu fanya ya msingi
 
Nimeoa naishi na mke wangu vizuri tu japo changamoto hazikosekani. Nilikuwa nafanya kazi ofisi moja na rafiki yangu ambaye tulikutana kwenye interview na kuajiriwa pamoja.

Nilioa kabla yeye hajaoa, akawa amezoea sana kuja kwangu na shemeji nyingi hata akikuta msosi umeisha atapikiwa. Miezi miwili iliyopita nilipata uhamisho kwenda mkoa mwingine nikamuacha mke wangu kwani nae ana biashara zake.

Juzi kaniambia rafiki yangu anamtongoza, anasema amejitahidi kuvumilia lakini ameshindwa usumbufu umezidi ameona bora aniambie. Mpaka sasa rafiki yangu sijamwambia chochote na ananipiga simu tunaongea vizuri tu.

Nimfanye nini huyu rafiki? Nimwambie ukweli au nimtege nimkamate au nimwache nianze kumuepuka kimya kimya.
Kwa vile ni rafiki yako kama anakunywa fanya mpango umleweshe hata kwa madawa kisha umbokoe.
 
Ogopa sanaa mkeo kukwambia anatongozwa na fulani hivi huyo mkeo muulize tu ni wanaume wangapi wanakutongoza kila siku je huwa unakuja kuniambia umetongozwa? Achana na huo ujinga mwambie alimalize mwenyewe mbona akitongozwa na wengine haji kukwambia. Potezea huo upumbavu fanya ya msingi
Ukiongea kama rafiki yake au sio 😂
 
Chukua huu ushauri, ni mgumu ila ndio dawa ya ndoa yenye mke wa namna yako. Chukua pia tahadhari, wanawake wakitaka kukuweka kiganjani mwao, moja ya technique ni kukuachanisha na marafiki wenye akili. Na namna mojawapo ya kukuweka mbali nao ni kukupa story za namna hii
Rafiki umekuja na account nyengine tena 😂
 
Nimeoa naishi na mke wangu vizuri tu japo changamoto hazikosekani. Nilikuwa nafanya kazi ofisi moja na rafiki yangu ambaye tulikutana kwenye interview na kuajiriwa pamoja.

Nilioa kabla yeye hajaoa, akawa amezoea sana kuja kwangu na shemeji nyingi hata akikuta msosi umeisha atapikiwa. Miezi miwili iliyopita nilipata uhamisho kwenda mkoa mwingine nikamuacha mke wangu kwani nae ana biashara zake.

Juzi kaniambia rafiki yangu anamtongoza, anasema amejitahidi kuvumilia lakini ameshindwa usumbufu umezidi ameona bora aniambie. Mpaka sasa rafiki yangu sijamwambia chochote na ananipiga simu tunaongea vizuri tu.

Nimfanye nini huyu rafiki? Nimwambie ukweli au nimtege nimkamate au nimwache nianze kumuepuka kimya kimya.
Aisee Nikioa sitki mke wangu aje kua na mazoea na hawa tunowaita marafiki
 
Ina maana mke wako toka awe mkeo, katongozwa na rafiki yako tu!!!

Kuna wengine washawahi mtongoza na huenda tunda kawapa 😁😁
 
Back
Top Bottom