Rafiki yako akimtongoza mke wako umfanye nini?

Rafiki yako akimtongoza mke wako umfanye nini?

Nimekuelewa sana mkuu. Najua kwa Afrika ni nadra sana mwanamke atoke nyumbani, kama yuko peke yake na asitupiwe maneno na wanaume. Ila hili ni tofauti. Wewe una rafiki na mnaheshiana sana na pengine hata kwenye shida mnasaidiana. Umepata safari una unaporudi unaambiwa alikuja nyumbani kwako anamhangaisha mke wako. Na siyo mara moja. Haki lazima uwe mtu wa ajabu sana kama utamkaripia mkeo ni kwa nini amekuambia! Tena atadhani ni wewe ulimtuma na pengine mna tabia ya kuchangia wake zenu. Nachosisitiza mimi ni hili la mtu kama rafiki au jirani kujua kabisa huyu ni mke wa mtu na ankujua halafu akawa anamsumbua mke wako wakiti anajua hali halisi.

Hili nalo ni kweli
Binadamu ni wa ajabu sana
Nami nimekuelewa na wa hivyo ni mbaya zaidi
Na sio kumkaripia Mkuu bali ni kueleweshana tu
Hata kama unamtegemea kwa mambo mengi Basi urafiki ufe kwani yeye sio mgawa riziki
 
Vijana ndoa zina changamoto nyingi sana na kwa ushauri kwa wewe na wale wengine hata ambao bado hawajapata bado wenza wao wa kuwaoa ni hivi:-

Katika mambo muhimu ya kuwafundisha wake zenu hili nalo liwemo
Mwambie akitongozwa hata na kiumbe gani asikuambie bali ajitoe mwenyewe kwa kumjibu yeye anavyoona inafaa

Nasema hivi kwa sababu moja tu
Utagombana na wangapi iwapo kila anaemtongoza atakuambia?

Au hata kama hutagombana nao na kumezea je utakuwa na dukuduku na wangapi?

Je na kesho kaka yako akamuomba akakuambia utafanya nini?
Wanaume ni tamaa na sio upendo Kwa hiyo muwaonye wenzenu wapambane kivyao
Anapokuambia hajui kuwa anaingiza chuki na je hapo kwenye biashara zake unafikiri hatongozwi?
Na je wangapi wameomba hata namba?

Mkanye akome kabisa kukuambia ujinga huo
Nabaki nawe katika hili
 
Mkuu mbona jibu ni rahisi mpigie simu au kutana nae umwambie laivu kabisa masuala ya kumtongoza mke wangu uache.
Vipi kaka mke mwenyewe ndiye alimtega tega jamaa kwa nia 'aliwe tunda kimasihara' jamaa akaona aogope vya watu. Baada ya bidada kuhisi atamwambia mwenye mali ikabidi awahi kulisanua!!

Hawa ma delila; hususani wa siku hizi sio wa kuamini hata dakika moja.
 
Nimeoa naishi na mke wangu vizuri tu japo changamoto hazikosekani. Nilikuwa nafanya kazi ofisi moja na rafiki yangu ambaye tulikutana kwenye interview na kuajiriwa pamoja.

Nilioa kabla yeye hajaoa, akawa amezoea sana kuja kwangu na shemeji nyingi hata akikuta msosi umeisha atapikiwa.
Miezi miwili iliyopita nilipata uhamisho kwenda mkoa mwingine nikamuacha mke wangu kwani nae ana biashara zake.

Juzi kaniambia rafiki yangu anamtongoza, anasema amejitahidi kuvumilia lakini ameshindwa usumbufu umezidi ameona bora aniambie.
Mpaka sasa rafiki yangu sijamwambia chochote na ananipiga simu tunaongea vizuri tu.

Nimfanye nini huyu rafiki? Nimwambie ukweli au nimtege nimkamate au nimwache nianze kumuepuka kimya kimya.
Mvumilie mpaka yeye atako oa na wewe umgongee mke wake
 
Tangaza kiama kwani kuua tsh ngapi....huyo sio rafiki tena
Ni adui yako namba moja, ingekuwa sio rafiki yako ungefanyaje. Kill him immediately kabla hajageuka mwiba kwako.
Rudia kusoma upya kisa cha Adam na Eva/Hawa. Inaonekana hujajua ulimi wa wanawake. Yuko tayari ajigalagaze na kilio juu kuthibitisha hisia za maumivu huku moyoni anacheka au kinyume chake. Akiamua kukutungia uongo huchomoki. Hili ni trela tu kuna mengi nyuma ya kufunguka kuwa anatongozwa.

Siku ukiyajua yaliyotangulia utaomba mods wafute huu uzi.

Binafsi namshauri mtoa mada ajifunze utulivu. Ayajue mengi kuanzia tabia za wote wawili, achunguze hisia na lugha za miili ya wawili wao (face/facial expression) ukute jamaa nayehisiwa mwizi yuko romantic zaidi yako, anakuja na vijizawadi vya hapa na pale vidogo tu lakini vinasindikizwa na vijimaneno vitamu, mkazo wa macho, structure ya mwili na utulivu wakati wa maongezi, outings pindi haupo karibu hadi kufuli zake mama yoyo kavaa nawe hujawahi kufanya haya kwa kuyaona kawaida. Sasa jamaa anahisi mama atanogewa uwakamate au kuna mzinguano tu wa kawaida kimahusiano na kwa kuhisi mjuba utajua mama akaamua amuwahi kulinda imani ya mume.

Tusikuchoshe na ushauri, uliingia ukijua yapo, pambana.
 
Nimeoa naishi na mke wangu vizuri tu japo changamoto hazikosekani. Nilikuwa nafanya kazi ofisi moja na rafiki yangu ambaye tulikutana kwenye interview na kuajiriwa pamoja.

Nilioa kabla yeye hajaoa, akawa amezoea sana kuja kwangu na shemeji nyingi hata akikuta msosi umeisha atapikiwa.
Miezi miwili iliyopita nilipata uhamisho kwenda mkoa mwingine nikamuacha mke wangu kwani nae ana biashara zake.

Juzi kaniambia rafiki yangu anamtongoza, anasema amejitahidi kuvumilia lakini ameshindwa usumbufu umezidi ameona bora aniambie.
Mpaka sasa rafiki yangu sijamwambia chochote na ananipiga simu tunaongea vizuri tu.

Nimfanye nini huyu rafiki? Nimwambie ukweli au nimtege nimkamate au nimwache nianze kumuepuka kimya kimya.
Nipe dili mkuu, hela hiyo mzee
 
Huo haukuwa mtego ungekuwa mtego huyo mwanamke alikubali vipi kuhamishwa gesti, kuchukuliwa simu, kuingia chumbani na kugegeduliwa, hiyo inawezekana kweli?
Jamaa liongo hilo achana nalo
 
Hiyo ya kumtega achana nayo. Kuna mtu aliweka mtego, mwizi machale yakamcheza akabadilisha venue haraka sana wakati kashalipia guest.

Kibaya zaidi mwizi akashikilia na simu ya mwanamke akaona conversation za kumtega adakwe, simu zikapigwa hazipokelewi.

Mwisho akamtafuna halafu akamwambia haya bwanako nishakutomb tayare.
hii lazima niue , sitaniii huyu jamaa namuaa
 
Ogopa sanaa mkeo kukwambia anatongozwa na fulani hivi huyo mkeo muulize tu ni wanaume wangapi wanakutongoza kila siku je huwa unakuja kuniambia umetongozwa? Achana na huo ujinga mwambie alimalize mwenyewe mbona akitongozwa na wengine haji kukwambia. Potezea huo upumbavu fanya ya msingi
Upo sahihi.
Mwanamke anatongozwa kila siku kama anajiheshimu atakuwa mwaminifu na atajua namna ya kukwepa mishale.

Jamaa amwambie rafiki yake najua ww na mke wangu mna mazoea ya kijinga na mmefikia hatua ambayo ni mbaya, Endeleeni tu halafu amuache jamaa aanze kujitetea. Kwenye utetezi atajua tu ni kweli mke aliyosema au kuna mengine.
 
Vile kaamua kuwahi kumharibia maana anajua siku mkukutana na rafiki yako atakueleza tabia ya mkeo wako ya kuchepuka.

Ameamua akukosanishe naye kiakili.

Mwambie mkeo nitamuuliza, ila na mkeo mkanye aache kujilengesha.

Anyways kazi za kuwatenganisha wana familia ni mwanya wa kumkaribisha shetani.

Be strong.
 
Kuna story sikumbuki niliipata wapi.
Jamaa kategesha mke amshike ugoni mshikaji. Kwa kukutana ni nyumba ya kulala wageni.

Muda ulifika, mke kaelekea huko huku jamaa akimfuatilia. Wako na mshikaji chumbani. Mume anagonga mlango. Mshikaji akamfungulia akiwa na cha moto mkononi. Mume kakalishwa kwenye kiti, mshikaji akagonga mzigo kisha akaaga akimwambia mume akome kufuatilia wanaume.

Chonde, mambo ya kutegesha unaweza ufe.
hii chaiii
 
tatizo la wanawake wa kisasa.

wale wa unyago wanafundishwa haya.
rafiki wa mumeo au nduguye akikutongoza,kataa katu katu kisha kausha kama hakijatokea kitu,na usijitee kwa chochote maana anajua kwamba haifai,sasa ukianza ooh shem mimi nakuheshimu shauri yako.

maana ukisema kwa mumeo,tafsiri yake umesema sababu ni rafiki yake,otherways usinhesema.

pili kuepusha ugomvi,huwezijua urafiko wao una uzito kiasi gani,inawezekana hata ww ukawa huna maana katika urafiki huo.

nasisi wanaume tunaagizwa,endapo tutajua au tutaambiwa,maana inawezakuwa toomuch.

kumsisitiza mkeo kujisimamia mwenyewe ktk maamuzi sio kukushirikisha wewe,what if usipomtisha au kumfokea jamaa inamaana analiwa.ajifunze kujisimamia kwa shemeji mende na kwa wanaume wengine.

mpe hali halisi kwamba rafiki zako sio malaika,ni wanaume wale wale kama anaokutana nao njiani,asitegemee utofauti saana kwao.
Sahihi kabisa ndugu, unawezakuta huyo Rafiki yako alimtongoza Mkeo kwa muda mrefu mno ilihali kila akikataliwa unakuta pengine naye ni king'ang'anizi, sasa hapo utamwachia tu Mkeo aendelee kupambana na hali yake ilihali tayari ishakuwa usumbufu endelevu kwake?
 
Rudia kusoma upya kisa cha Adam na Eva/Hawa. Inaonekana hujajua ulimi wa wanawake. Yuko tayari ajigalagaze na kilio juu kuthibitisha hisia za maumivu huku moyoni anacheka au kinyume chake. Akiamua kukutungia uongo huchomoki. Hili ni trela tu kuna mengi nyuma ya kufunguka kuwa anatongozwa.

Siku ukiyajua yaliyotangulia utaomba mods wafute huu uzi.

Binafsi namshauri mtoa mada ajifunze utulivu. Ayajue mengi kuanzia tabia za wote wawili, achunguze hisia na lugha za miili ya wawili wao (face/facial expression) ukute jamaa nayehisiwa mwizi yuko romantic zaidi yako, anakuja na vijizawadi vya hapa na pale vidogo tu lakini vinasindikizwa na vijimaneno vitamu, mkazo wa macho, structure ya mwili na utulivu wakati wa maongezi, outings pindi haupo karibu hadi kufuli zake mama yoyo kavaa nawe hujawahi kufanya haya kwa kuyaona kawaida. Sasa jamaa anahisi mama atanogewa uwakamate au kuna mzinguano tu wa kawaida kimahusiano na kwa kuhisi mjuba utajua mama akaamua amuwahi kulinda imani ya mume.

Tusikuchoshe na ushauri, uliingia ukijua yapo, pambana.
Mkuu una hekima. Nimejifunza hapa.
 
Fata huu ushauri
Ogopa sanaa mkeo kukwambia anatongozwa na fulani hivi huyo mkeo muulize tu ni wanaume wangapi wanakutongoza kila siku je huwa unakuja kuniambia umetongozwa? Achana na huo ujinga mwambie alimalize mwenyewe mbona akitongozwa na wengine haji kukwambia. Potezea huo upumbavu fanya ya msingi
 
Back
Top Bottom