Rafiki yako akimtongoza mke wako umfanye nini?

We jamaa unasema unaendelea kukusanya ushahidi, hiv hujui maana ya mtu anapokwambia amevumilia mpka amechoka! Ina maana yeye ameshindwa hyo vita amekuachia wewe mumewe kwahyo na ww ukiendelea kusubiri hvyo ndo unampa jamaa ushindi na ataliwa we subiri hvyohvyo
 
Sheria zangu tatu
1: Rafiki yangu mwisho nje ya kwangu.
2: Usimtanie wala kuchekacheka na mke wangu nikijua ni tatizo.
3: Namba ya simu ya mke wangu haitakiwi kuwa kwako sitaki mazoea ya kisen**
 
Inaitwaje hii movie nika download mkuu?
 
Huyo alikuwa girl friend my brother, hapa naongelea mke tena mabaye umemtolea mahari na ndoa
 
Ukimwambia rafiki yako means hamtokua na urafiki tena, bali mwanamke inabidi apambane na hilo swala yeye binafsi bila wewe kuingilia, kama mkeo anajielewa kamwe hawez toka nje ya ndoa
 
Ukimwambia rafiki yako means hamtokua na urafiki tena, bali mwanamke inabidi apambane na hilo swala yeye binafsi bila wewe kuingilia, kama mkeo anajielewa kamwe hawez toka nje ya ndoa
[emoji3][emoji3][emoji3]ndoa za mbali mbali hiziii kuchapiwaaa LAZIMAAAA ila tu inauma akiwa rafiki akoo
 
Chukua huu ushauri, ni mgumu ila ndio dawa ya ndoa yenye mke wa namna yako. Chukua pia tahadhari, wanawake wakitaka kukuweka kiganjani mwao, moja ya technique ni kukuachanisha na marafiki wenye akili. Na namna mojawapo ya kukuweka mbali nao ni kukupa story za namna hii
 
Kwa vile ni rafiki yako kama anakunywa fanya mpango umleweshe hata kwa madawa kisha umbokoe.
 
Ukiongea kama rafiki yake au sio πŸ˜‚
 
Rafiki umekuja na account nyengine tena πŸ˜‚
 
Aisee Nikioa sitki mke wangu aje kua na mazoea na hawa tunowaita marafiki
 
Ina maana mke wako toka awe mkeo, katongozwa na rafiki yako tu!!!

Kuna wengine washawahi mtongoza na huenda tunda kawapa 😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…