Rafiki yako akimtongoza mke wako umfanye nini?

Rafiki yako akimtongoza mke wako umfanye nini?

Ogopa sanaa mkeo kukwambia anatongozwa na fulani hivi huyo mkeo muulize tu ni wanaume wangapi wanakutongoza kila siku je huwa unakuja kuniambia umetongozwa? Achana na huo ujinga mwambie alimalize mwenyewe mbonaakitongozwa na wengine haji kukwambia. Potezea huo upumbavu fanya ya msingi
Kaamua kusema labda kwa sababu ni rafiki yangu, hawezi kuniambia kila mtu wengine siwajui
 
Nimeoa naishi na mke wangu vizuri tu japo changamoto hazikosekani. Nilikuwa nafanya kazi ofisi moja na rafiki yangu ambaye tulikutana kwenye interview na kuajiriwa pamoja.
Nilioa kabla yeye hajaoa, akawa amezoea sana kuja kwangu na shemeji nyingi hata akikuta msosi umeisha atapikiwa.
Miezi miwili iliyopita nilipata uhamisho kwenda mkoa mwingine nikamuacha mke wangu kwani nae ana biashara zake.
Juzi kaniambia rafiki yangu anamtongoza, anasema amejitahidi kuvumilia lakini ameshindwa usumbufu umezidi ameona bora aniambie.
Mpaka sasa rafiki yangu sijamwambia chochote na ananipiga simu tunaongea vizuri tu.
Nimfanye nini huyu rafiki? Nimwambie ukweli au nimtege nimkamate au nimwache nianze kumuepuka kimya kimya.
2
 
Hiyo ya kumtega achana nayo. Kuna mtu aliweka mtego, mwizi machale yakamcheza akabadilisha venue haraka sana wakati kashalipia guest.

Kibaya zaidi mwizi akashikilia na simu ya mwanamke akaona conversation za kumtega adakwe, simu zikapigwa hazipokelewi.

Mwisho akamtafuna halafu akamwambia haya bwanako nishakutomb tayare.
 
Vijana ndoa zina changamoto nyingi sana na kwa ushauri kwa wewe na wale wengine hata ambao bado hawajapata bado wenza wao wa kuwaoa ni hivi:-

Katika mambo muhimu ya kuwafundisha wake zenu hili nalo liwemo
Mwambie akitongozwa hata na kiumbe gani asikuambie bali ajitoe mwenyewe kwa kumjibu yeye anavyoona inafaa

Nasema hivi kwa sababu moja tu
Utagombana na wangapi iwapo kila anaemtongoza atakuambia?

Au hata kama hutagombana nao na kumezea je utakuwa na dukuduku na wangapi?

Je na kesho kaka yako akamuomba akakuambia utafanya nini?
Wanaume ni tamaa na sio upendo Kwa hiyo muwaonye wenzenu wapambane kivyao
Anapokuambia hajui kuwa anaingiza chuki na je hapo kwenye biashara zake unafikiri hatongozwi?
Na je wangapi wameomba hata namba?

Mkanye akome kabisa kukuambia ujinga huo
 
Wanaume wengi wanadhania kila mwanamke ni malaya kitu ambacho si kweli. Hususani anaona mama yake na mashangazi ndio wanawake wenye heshima kuliko wote. Wanawake wapo wenye heshima zao wanajheshimu sana tu. .

Rafiki akitongoza mke wako kwanza kamvunjia heshima mke wako kamuonaje? kamuona malaya. Pili kakuvunjia heshima wewe binafsi, kakuona mjinga. Mtu kama huyu sio wa kumpiga onyo ni wa kumueleza tu kuwa safari yenu ya urafiki umeishia hapo, kuanzia mda huo yeye ni mpita njia. .

Akiendelea kumtongoza shemeji yake na ulimpiga marufuku, kuna njia nyingi za kuleta heshima mbinu za kimafia. Unampiga tukio ambalo hatoweza kuleta au kushoboka na wewe tena. Kwa kuwa ni rafiki yako unampiga tukio zito mpaka ajue huyu mwamba sio wa kuchezea. .
 
Hiyo ya kumtega achana nayo. Kuna mtu aliweka mtego, mwizi machale yakamcheza akabadilisha venue haraka sana wakati kashalipia guest.

Kibaya zaidi mwizi akashikilia na simu ya mwanamke akaona conversation za kumtega adakwe, simu zikapigwa hazipokelewi.

Mwisho akamtafuna halafu akamwambia haya bwanako nishakutomb tayare.
Mkuu labda yalikuwa maigizo,
Ubadilishe Lodge, uingie chumbani, uvue nguo na utanue mapaja? Process nyingi sana hizo. Huyo demu alidhamilia tu kuliwa.
Angekuwa sirias asingeingia Lodge akiwa anajua dili limebuma
 
tatizo la wanawake wa kisasa.

wale wa unyago wanafundishwa haya.
rafiki wa mumeo au nduguye akikutongoza,kataa katu katu kisha kausha kama hakijatokea kitu,na usijitee kwa chochote maana anajua kwamba haifai,sasa ukianza ooh shem mimi nakuheshimu shauri yako.

maana ukisema kwa mumeo,tafsiri yake umesema sababu ni rafiki yake,otherways usinhesema.

pili kuepusha ugomvi,huwezijua urafiko wao una uzito kiasi gani,inawezekana hata ww ukawa huna maana katika urafiki huo.

nasisi wanaume tunaagizwa,endapo tutajua au tutaambiwa,maana inawezakuwa toomuch.

kumsisitiza mkeo kujisimamia mwenyewe ktk maamuzi sio kukushirikisha wewe,what if usipomtisha au kumfokea jamaa inamaana analiwa.ajifunze kujisimamia kwa shemeji mende na kwa wanaume wengine.

mpe hali halisi kwamba rafiki zako sio malaika,ni wanaume wale wale kama anaokutana nao njiani,asitegemee utofauti saana kwao.
 
Mkeo ameshakwambia kuwa amechoka kuvumilia hivyo ameona akwambie tu, halafu wewe mpaka sasa unashindwa kuchukua hatua mapema eti unakusanya ushahidi.

Wanawake wanapenda mwanaumme mwenye kichukua hatua.
Ukiendelea kusubiri utajikuta unaanziaha uzi mwingine humu.
 
Ila wanaume wa kibongo unaendaje kwa mwanamke aloolewa mmewe hayupo unatafuta nin?
Na nyie wanaume kwanin mnazoesha marafiki zenu nyumbani kwa wake zenu onaneni bar inatosha kila mtu arudi kwake,mtu keshoa unaenda kwake kufanya nin
 
Back
Top Bottom