Rafiki yako akimtongoza mke wako umfanye nini?

Rafiki yako akimtongoza mke wako umfanye nini?

Nimeoa naishi na mke wangu vizuri tu japo changamoto hazikosekani. Nilikuwa nafanya kazi ofisi moja na rafiki yangu ambaye tulikutana kwenye interview na kuajiriwa pamoja.
Nilioa kabla yeye hajaoa, akawa amezoea sana kuja kwangu na shemeji nyingi hata akikuta msosi umeisha atapikiwa.
Miezi miwili iliyopita nilipata uhamisho kwenda mkoa mwingine nikamuacha mke wangu kwani nae ana biashara zake.
Juzi kaniambia rafiki yangu anamtongoza, anasema amejitahidi kuvumilia lakini ameshindwa usumbufu umezidi ameona bora aniambie.
Mpaka sasa rafiki yangu sijamwambia chochote na ananipiga simu tunaongea vizuri tu.
Nimfanye nini huyu rafiki? Nimwambie ukweli au nimtege nimkamate au nimwache nianze kumuepuka kimya kimya.
Mkuu mbona jibu ni rahisi mpigie simu au kutana nae umwambie laivu kabisa masuala ya kumtongoza mke wangu uache.
 
Nimeoa naishi na mke wangu vizuri tu japo changamoto hazikosekani. Nilikuwa nafanya kazi ofisi moja na rafiki yangu ambaye tulikutana kwenye interview na kuajiriwa pamoja.
Nilioa kabla yeye hajaoa, akawa amezoea sana kuja kwangu na shemeji nyingi hata akikuta msosi umeisha atapikiwa.
Miezi miwili iliyopita nilipata uhamisho kwenda mkoa mwingine nikamuacha mke wangu kwani nae ana biashara zake.
Juzi kaniambia rafiki yangu anamtongoza, anasema amejitahidi kuvumilia lakini ameshindwa usumbufu umezidi ameona bora aniambie.
Mpaka sasa rafiki yangu sijamwambia chochote na ananipiga simu tunaongea vizuri tu.
Nimfanye nini huyu rafiki? Nimwambie ukweli au nimtege nimkamate au nimwache nianze kumuepuka kimya kimya.

Very simple, akipiga pokea ongea kwa bashasha..
Mwishoni muulize..

Vipi shemeji yako bado anabana au amelegea?.
.
Kata simu akipiga usipokee
 
Nimeoa naishi na mke wangu vizuri tu japo changamoto hazikosekani. Nilikuwa nafanya kazi ofisi moja na rafiki yangu ambaye tulikutana kwenye interview na kuajiriwa pamoja.
Nilioa kabla yeye hajaoa, akawa amezoea sana kuja kwangu na shemeji nyingi hata akikuta msosi umeisha atapikiwa.
Miezi miwili iliyopita nilipata uhamisho kwenda mkoa mwingine nikamuacha mke wangu kwani nae ana biashara zake.
Juzi kaniambia rafiki yangu anamtongoza, anasema amejitahidi kuvumilia lakini ameshindwa usumbufu umezidi ameona bora aniambie.
Mpaka sasa rafiki yangu sijamwambia chochote na ananipiga simu tunaongea vizuri tu.
Nimfanye nini huyu rafiki? Nimwambie ukweli au nimtege nimkamate au nimwache nianze kumuepuka kimya kimya.
Mpuuze tu, wanawake ukiwaendekeza utagombana na kila mtu,na pia sisi wanaume tuna tamaa Sana, ni hulka yetu, labda Kama wewe Ni mtakatifu
 
Kaamua kusema labda kwa sababu ni rafiki yangu, hawezi kuniambia kila mtu wengine siwajui
Aisee uwe makini saaana katika hili kijana

Yawezekana mkeo luna mishe zake za kidwanzi kafanya na rafiko yako kazijua, ili kuepusha hilo kwani kama mnashibana akaona inshu ni kuwagombanisha na njia nzuri ni kusema anatongozwa.

Unaweza kuta jamaa anakukusanyia data nyingi ili ukija mkae kiume mzungumze na hataki kukupanikisha sasa mkeo kajua na anatafuta namna ya kumkwamisha jamaaa

Note:
Mwanamke wa busara anajua kutongozwa ndio maisha yake ya kila siku, kuanza kuchagua kukueleza ni kutaka kukua au kua ndoa kisaikolojia
 
Ogopa sanaa mkeo kukwambia anatongozwa na fulani hivi huyo mkeo muulize tu ni wanaume wangapi wanakutongoza kila siku je huwa unakuja kuniambia umetongozwa? Achana na huo ujinga mwambie alimalize mwenyewe mbonaakitongozwa na wengine haji kukwambia. Potezea huo upumbavu fanya ya msingi

Ndio uzuri wa JF,wazo zuri.
 
Aisee uwe makini saaana katika hili kijana

Yawezekana mkeo luna mishe zake za kidwanzi kafanya na rafiko yako kazijua, ili kuepusha hilo kwani kama mnashibana akaona inshu ni kuwagombanisha na njia nzuri ni kusema anatongozwa.

Unaweza kuta jamaa anakukusanyia data nyingi ili ukija mkae kiume mzungumze na hataki kukupanikisha sasa mkeo kajua na anatafuta namna ya kumkwamisha jamaaa

Note:
Mwanamke wa busara anajua kutongozwa ndio maisha yake ya kila siku, kuanza kuchagua kukueleza ni kutaka kukua au kua ndoa kisaikolojia

Mtaalam wazo zuri Sana.
 
Asante kwa ushauri nategemea kurudi mwezi ujao, nitaendelea kufikiria ushauri wako na wengine wanaoendelea kushauri
Hili suala si la kuomha ushauri, wewe mtu mzima n si kila jambo la kuombaomba ushauri, mkeo ndo kaomba ushauri kwako nawe badlands ya kutatua tatizo unaanza tabia za mkeo kavumilia kaamua kuomba ushauri, sasa subiri atongozwe siku ana nyege kama atakwambia Tena.
 
Mkuu Fanya hivi....

Muite rafiki yako nyumbani mwambie umepata taarifa amemtongoza mkeo.

mwambie akae mbali na Familia yako kama anataka kuishi. Usiendelee mbali ishia hapo.

ukimaliza mwambie umemaliza aondoke haraka nyumbani kwako maana hautaki kumwona mtu asiye na heshima ndani kwako.

kumbuka mkeo amekuambia ili uchukue hatua usipochukua hatua kijamaa kitaendelea kumtongoza na lolote linaweza kutokea.
 
Hiyu rafiki kaa naye mbali na mwambie ukweli taarifa zake unazo na asikanyage kwako kwa kifupi chimba mkwara mzito sana hamna rafiki hapo.
 
Ukiona mkeo amekwambia kuwa kuna mtu Fulani anamtongoza wewe lala usingizi mzuri tu coz nachojua mke akitongozwa na akampenda huyo mtu hawezi kukuhadithia. Kunasiku nilishampa wife makavu live baada ya kuniambia kunamtu Fulani anamtongoza, nikamjibu inamaana miaka yote miliwi tunaishi pamoja inamaana huyo tu ndio kakutongoza? Unaowapenda wakikutongoza mbona huniambii? Nikamwambia acha hizo swaga.
 
Tangaza kiama kwani kuua tsh ngapi....huyo sio rafiki tena
Ni adui yako namba moja, ingekuwa sio rafiki yako ungefanyaje. Kill him immediately kabla hajageuka mwiba kwako.
 
Back
Top Bottom