Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Ulimwengu wa SAsa ni mbaya Sana watu hawaheshimu ndoa, na hata awajui nini maana ya ndoa. Hili janga ni kumuomba Mungu tu azidi kukufunika pazia usiyone ya mwenza wako. Ndoa imekua kama ni kituo tu cha makutano. Na kwa hali ya sasa kujiandaa kisaikolojia ni muhimu Ili upatapo taarifa yeyeto mbaya isiathiri maisha yako, maana kuna wenza mshipa wa aibu ulishakata kitambo.