Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mlie timing tuu, weka mtego. Mwambie wife aanze kuonyesha ishara za kumkubalia...then mnamsetia ambush matata.Nimeoa naishi na mke wangu vizuri tu japo changamoto hazikosekani. Nilikuwa nafanya kazi ofisi moja na rafiki yangu ambaye tulikutana kwenye interview na kuajiriwa pamoja.
Nilioa kabla yeye hajaoa, akawa amezoea sana kuja kwangu na shemeji nyingi hata akikuta msosi umeisha atapikiwa.
Miezi miwili iliyopita nilipata uhamisho kwenda mkoa mwingine nikamuacha mke wangu kwani nae ana biashara zake.
Juzi kaniambia rafiki yangu anamtongoza, anasema amejitahidi kuvumilia lakini ameshindwa usumbufu umezidi ameona bora aniambie.
Mpaka sasa rafiki yangu sijamwambia chochote na ananipiga simu tunaongea vizuri tu.
Nimfanye nini huyu rafiki? Nimwambie ukweli au nimtege nimkamate au nimwache nianze kumuepuka kimya kimya.
Hayo ndo yalikua Mawazo Yangu pia!Ogopa sanaa mkeo kukwambia anatongozwa na fulani hivi huyo mkeo muulize tu ni wanaume wangapi wanakutongoza kila siku je huwa unakuja kuniambia umetongozwa? Achana na huo ujinga mwambie alimalize mwenyewe mbonaakitongozwa na wengine haji kukwambia. Potezea huo upumbavu fanya ya msingi
😂😂😂Ukiona mkeo amekwambia kuwa kuna mtu Fulani anamtongoza wewe lala usingizi mzuri tu coz nachojua mke akitongozwa na akampenda huyo mtu hawezi kukuhadithia. Kunasiku nilishampa wife makavu live baada ya kuniambia kunamtu Fulani anamtongoza, nikamjibu inamaana miaka yote miliwi tunaishi pamoja inamaana huyo tu ndio kakutongoza? Unaowapenda wakikutongoza mbona huniambii? Nikamwambia acha hizo swaga.
Nimelipokea mkuuAisee uwe makini saaana katika hili kijana
Yawezekana mkeo luna mishe zake za kidwanzi kafanya na rafiko yako kazijua, ili kuepusha hilo kwani kama mnashibana akaona inshu ni kuwagombanisha na njia nzuri ni kusema anatongozwa.
Unaweza kuta jamaa anakukusanyia data nyingi ili ukija mkae kiume mzungumze na hataki kukupanikisha sasa mkeo kajua na anatafuta namna ya kumkwamisha jamaaa
Note:
Mwanamke wa busara anajua kutongozwa ndio maisha yake ya kila siku, kuanza kuchagua kukueleza ni kutaka kukua au kua ndoa kisaikolojia
Nimeoa naishi na mke wangu vizuri tu japo changamoto hazikosekani. Nilikuwa nafanya kazi ofisi moja na rafiki yangu ambaye tulikutana kwenye interview na kuajiriwa pamoja.
Nilioa kabla yeye hajaoa, akawa amezoea sana kuja kwangu na shemeji nyingi hata akikuta msosi umeisha atapikiwa.
Miezi miwili iliyopita nilipata uhamisho kwenda mkoa mwingine nikamuacha mke wangu kwani nae ana biashara zake.
Juzi kaniambia rafiki yangu anamtongoza, anasema amejitahidi kuvumilia lakini ameshindwa usumbufu umezidi ameona bora aniambie.
Mpaka sasa rafiki yangu sijamwambia chochote na ananipiga simu tunaongea vizuri tu.
Nimfanye nini huyu rafiki? Nimwambie ukweli au nimtege nimkamate au nimwache nianze kumuepuka kimya kimya.
Mwambie tu ''Aache tabia aliyo nayo kwenye familia yako''Mwambie unajua
atanywea awe mtu wa kutia huruma sana akikitana na mkewe,siku jamaa sasa akimzingua mkewe.mke anaenda kumpa mshikaji mpaka nyuma.Mkuu mbona jibu ni rahisi mpigie simu au kutana nae umwambie laivu kabisa masuala ya kumtongoza mke wangu uache.
Mi naona umenena vema,tusitawaliwe na hasira.Ogopa sanaa mkeo kukwambia anatongozwa na fulani hivi huyo mkeo muulize tu ni wanaume wangapi wanakutongoza kila siku je huwa unakuja kuniambia umetongozwa? Achana na huo ujinga mwambie alimalize mwenyewe mbonaakitongozwa na wengine haji kukwambia. Potezea huo upumbavu fanya ya msingi
Mwambie shemeji akipiga tena amwambie yupo sehemu ambaya kiasi kwamba hawezi kuonge kwa hiyo basi wawe wanawasiliana kwa arafa (message) kwa muda huo, ili uwe ushaidi wako.Jamaa huwa hatumi meseji yeye ni kupiga simu na kuongea live. Nitamwambia aanze kumrekodi
Kama amekusoma na kujua weakness yako atakusumbua sana, njia ya kwanza hapa ni kumtega ajitumbukize kisha muanike atahama kijijiMpaka sasa rafiki yangu sijamwambia chochote na ananipiga simu tunaongea vizuri tu.
Nimfanye nini huyu rafiki? Nimwambie ukweli au nimtege nimkamate au nimwache nianze kumuepuka kimya kimya.
Uswahili wa kijinga sana huu. Eti unaenda hata kama chakula kimeisha unapikiwa.Ila wanaume wa kibongo unaendaje kwa mwanamke aloolewa mmewe hayupo unatafuta nin?
Na nyie wanaume kwanin mnazoesha marafiki zenu nyumbani kwa wake zenu onaneni bar inatosha kila mtu arudi kwake,mtu keshoa unaenda kwake kufanya nin
Nimeoa naishi na mke wangu vizuri tu japo changamoto hazikosekani. Nilikuwa nafanya kazi ofisi moja na rafiki yangu ambaye tulikutana kwenye interview na kuajiriwa pamoja.
Nilioa kabla yeye hajaoa, akawa amezoea sana kuja kwangu na shemeji nyingi hata akikuta msosi umeisha atapikiwa.
Miezi miwili iliyopita nilipata uhamisho kwenda mkoa mwingine nikamuacha mke wangu kwani nae ana biashara zake.
Juzi kaniambia rafiki yangu anamtongoza, anasema amejitahidi kuvumilia lakini ameshindwa usumbufu umezidi ameona bora aniambie.
Mpaka sasa rafiki yangu sijamwambia chochote na ananipiga simu tunaongea vizuri tu.
Nimfanye nini huyu rafiki? Nimwambie ukweli au nimtege nimkamate au nimwache nianze kumuepuka kimya kimya.