Rafiki yangu alimrusha mtu mwaka 2017/2018: Anamtafuta amwombe msamaha na kumlipa akikubali

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23] kmmqe
 
Mwaka 2014 kuna jamaa alituma kwangu laki tisa na 80 kimakosa. Baada ya kama dakika kumi akapiga nikamrudishia laki tisa na 50 nilimwambia nilikuwa na deni la elfu kumi na tano songesha wamekata halafu na Mimi ninakukata sh elfu kumi na tano ili next time usiwe mzembe tena jamaa alicheka hatari anyway nilimkata.
 
Hadithi njoo uongo njoo utamu kolea
 
Hadithi njoo uongo njoo utamu kolea
 
Hadithi njoo uongo njoo utamu kolea
 
Kuna watu ambao hawadhulumiwi/ibiwi
 
mtu mweusi kaumbwa na roho mbaya sana tena sana. sijui ndo laana. yani haaminiki kamwe!

hata hawa wanaodai wamerudishia watu ela izo ni porojo tu. na huyu anayetafuta mtu ampe ela unaeza kuta keshaona mambo yake yote yanagota kaamua ajisalimishe. nyambaff mkubwa.
 
Mimi ukikosea kutuma kwangu hata sikurudishii kwanza ikiingia tu nanunua bando la 2000 tu hapo hata iweje watu wa mtandao hawawezi kuizuia tena
 
Mimi niwe mkweli ukikosea tu imekula kwako
 
Nilikoseaga kutuma laki 8, bahati alipokea mstaafu wa Jeshi la magereza ni mtu mzito sana, kesho yake alinipa yoote pale kibo complex, imagine alitoka Gongo la mboto kwaajili yangu.
Huyo muhuri tu,kwa nini asingekurushia kwa simu?
 
Kuna siku ilinitokea mm nikatuma hela kimakosa ikaenda kwa jamaa yupo ukerewe,na ilikua laki nane ila jamaa alikua mwema akaludisha nilimshukuru sana nilitaka nimlipe kidogo aka kataa kabisa Mungu ampe maisha malefu huko aliko.
 
Tayari watu washafanya yao, unapigwa udizungwa moja mashetani yanakufukuzia km inzi wameona kinyesi
 
Ni mm ila nlikuwa namtumia ya alikuwa mjamzito wa mapacha .mimba ilitoka na akafariki nikafukuzwa kazi kwa kuwa watoto 3 walipaswa niwalee .ila sikusamehi we jiendee motoni kaenjoy na kina hitler
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…