Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Mke tena😃😃Kwamba wewe una mke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mke tena😃😃Kwamba wewe una mke
Soma hadi mwisho pale penye NBMke tena😃😃
Sawa ngoja nirudi nisome, maana hadi nilishausahau huu uziSoma hadi mwisho pale penye NB
PoleeSawa ngoja nirudi nisome, maana hadi nilishausahau huu uzi
Umeeditiwa bhana😃😃🙌Polee
Najulia wapi, mimi evidence yangu ni nilipo ku quoteUmeeditiwa bhana😃😃🙌
Toa hata sadaka mkuuNami kuna mtu namsaka mpaka kesho nimrejeshee pesa yake sijawahi kumpata, nilianzisha uzi humu hajatokea.
Mwanzo hakuweka hiyo NB... i was kidding hata hivyo 😂😂ðŸ¤Najulia wapi, mimi evidence yangu ni nilipo ku quote
HahahaMwanzo hakuweka hiyo NB... i was kidding hata hivyo 😂😂ðŸ¤
Wewe ni tajiri. Utajiri unaanzia rohoni baadae unakuja kwenye Vitu na umaskini nao ni hivyo hivyo.Hii dhambi 2015 niliikataa baada ya ndugu mmoja kutuma kimakosa kwenye line yangu ya airtel laki nane na hamsini elfu (850,000/=) kwa kumrudishia yote, japo nilikuwa juu ya mawe.
Hongera sana wengi wanatamani wawe Kama wewe na wengi hawawezi generation hii Ina baadhi ya watu Wana tamaa sanaMimi ni mstaafu wa jeshi moja hapa nchini, niliwahi mrudishia mtu mmoja hela yake yote laki nane pamoja na ya kutolea niliongezea pale kibo complex
Sipendi dhuluma kabisa
Nipe namba yake nimchezee mchezo wa kumtimia pesa. Akigoma kurudisha anakwenda kunyea debeRoho iliniuma nilipata hela Kwa tabu aisee nilikuwa sina kazi nauza juisi tu home ila watu
UtuKama kichwa cha habari kinavyojieleza. Rafiki yangu alitumiwa pesa kimakosa kwenye no. yake ya mpesa inayoishia na 8650. Baada ya kutumiwa hiyo hela huyo rafiki yangu aliitoa yote.
Alipigiwa na aliyekosea mwamala akamrudishia elf 50 Kwa ahadi ya kulipa kilichobaki ila aliposhindwa aliacha kutumia hiyo no yake inayoishia na 8650.
Kama unaijua story hii jamaa anakutafuta aombe msamaha na kukulipa ukikubaliana maana anasema jambo hili linamtesa sana.
NB: Jamaa alikua anamtumia pesa wife wake. Ataje kiasi na mkoa aliotoka maana ni vitu anavikumbuka. Asanteni.
Aisee huyo mtu daahNiliwahi kutuma hela kimakosa, hela dogo sana kimuonekano (16,000) lkn kubwa sana kimajukumu, ikapokelewa na hawa ndg zenu wa Kaskazini, nilimnasihi sana na kumweleza mazingira ya hela yenyewe huwezi amini akaniambia " unayo nyengine uniongezee aisee"
Nilichoka nikalazimika kutafuta nyengine.
Unaweza kutuambia ilikuwa mwaka gani!?Mimi ni mstaafu wa jeshi moja hapa nchini, niliwahi mrudishia mtu mmoja hela yake yote laki nane pamoja na ya kutolea niliongezea pale kibo complex
Sipendi dhuluma kabisa
[emoji3] poleRoho iliniuma nilipata hela Kwa tabu aisee nilikuwa sina kazi nauza juisi tu home ila watu
[emoji3] duhKuna jamaa niliwahi kumtumia hela ya Michango ya msiba kimakosa,jamaa baada ya kuzungumza akaniambia anaishi Manzese Dar es salaam na akasema atanirejeshea.
Kuepusha lawama msibani wasidhani pesa nimetumia ikabidi nikope niitume halafu mimi nibaki kupambania deni,yule jamaa hela hakuirudisha na nikawa nampigia simu ananiambia nisimsumbue,aiseee ile haikuwa kubwa sana lakini nilisema lazima nimshikishe jamaa adabu.
Unajua kuna watu huwa hawajali pesa wanayopoteza,tatizo huwa linakuja kwa wapokea pesa,huwa wanakera na kuudhi sana hata kama hujafikiria kufanya jambo baya inakubidi ufanye jambo ili heshima iwepo.
Yule jamaa mwanzo nilimwambia asiponirudishia hiyo hela kwenye akaunti yangu atajuta kuzaliwa akadhani utani,safari hii sikutaka kutumia nguvu za Kikurya,nilipanga nitumie nguvu za wenye uwezo mbadala.
Kufupisha,Jamaa alikuwa ananitafuta baada ya kumkarabati analia nikamwambia sina muda yeye aendelee kula matanuzi!.
Aiseee baada ya kubembelezwa sana ndugu zake na hii ni baada ya miezi 7 ndipo tukaonana pale Rombo Green View wakanirudishia hela yangu nikachafua zangu,ingawa walidai wanilipe fidia mimi nikakataa nikawaambia sihitaji dhuruma nahitaji pesa nilikosea kutuma!.
Jamaa hata kaa anisahau hadi anaingia kaburini na hiyo pia itakuwa imempa funzo!.
MIMI SEHEMU YA NGUVU HUWA NATUMIA NGUVU ILA SEHEMU YA WAJUBA HUWA NAWAACHA WAJUBA WAFANYE KAZI YAO!.