Rafiki yangu alimrusha mtu mwaka 2017/2018: Anamtafuta amwombe msamaha na kumlipa akikubali

Rafiki yangu alimrusha mtu mwaka 2017/2018: Anamtafuta amwombe msamaha na kumlipa akikubali

Peace of mind sometimes can't be bought with vipande thelathini vya fedha .. ikiwezekana aende huduma center ya mtandao husika Ili ku sort out hili swala kama Huku asipopatikana
What if mwenye hiyo namba amekufa/amepoteza line namba kapewa mtu mwingine?
 
Hivi unadhani hilo swala limetokea mwaka huu au mwaka jana? Hiyo ilikuwa 2008 mkuu, kipindi hiko ukikosea wee ongea vizuri tu uliyemtumia akurudishie fedha zako. Mambo ya kurudisha muamala uliokosewa imeaanza miaka ya karibu ru
Ungeandika mwaka sasa
 
mie kuna jamaa wengine marafiki wa karibu wamenirusha ngoja nisubirie endapo wakiingia JF na kusoma hizi comments watajirudi na kunirejeshea
 
Wanadamu tunatofautiana pakubwa sana
Wengine sijui tunaishi maisha gani

Watu wamekua watu wa hovyo hovyo tu
Imani 0
Utu 0
Upendo 0
Yaani tunaishi kama wanyama

Juzi tupo ofsin secretary wetu (mdada) anajisifia alivyo kimbia na laki ya watu kweli?

Ilikua hivi alikua na shida na hela kiasi cha laki moja hivi
Akaenda kwa wakala kuitoa wakala alidai hakuna mtandao hivyo aje wakati mwingine
Kwakua alikua na shida ya haraka basi akaomba apewe laki moja ili aitumie
Yule dada ki uungwana akampa kwakua anafahamika
After siku chache akaenda kutoa 200000 ili arudishe deni na abaki na 100,000
Yule dada akampa yote 200000 dada akageuka akaondoka
Hadi leo Yule sister hajakumbuka kitu
Na yapata muda mrefu sana


Watu hawana maana
Hovyo kabisa
Hapana huyo dada yuko sahihi sana uzembe ni wa huyo wakala kila siku tunakumbushana somo la umakini
 
Hii dhambi 2015 niliikataa baada ya ndugu mmoja kutuma kimakosa kwenye line yangu ya airtel laki nane na hamsini elfu (850,000/=) kwa kumrudishia yote, japo nilikuwa juu ya mawe.
Hata Mimi hua narudisha sikai na pesà ya mtu tena siitoi kabisa aitoe mwenyewe
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Rafiki yangu alitumiwa pesa kimakosa kwenye no. yake ya mpesa inayoishia na 8650. Baada ya kutumiwa hiyo hela huyo rafiki yangu aliitoa yote.

Alipigiwa na aliyekosea mwamala akamrudishia elf 50 Kwa ahadi ya kulipa kilichobaki ila aliposhindwa aliacha kutumia hiyo no yake inayoishia na 8650.

Kama unaijua story hii jamaa anakutafuta aombe msamaha na kukulipa ukikubaliana maana anasema jambo hili linamtesa sana.

NB: Jamaa alikua anamtumia pesa wife wake. Ataje kiasi na mkoa aliotoka maana ni vitu anavikumbuka. Asanteni.
Mlete wete huku apate matibabu
 
Kuna mtu alikoseaga kutuma pesa kwangu,ilikuwa kama 25,000 nikampigia nikamwambia arudishe pesa yake kakosea kutuma, nikamwambia mie lain yangu imefungiwa upande wa mihamala

Aisee alinitukana yule mbaba,akaniambia nirudishe pesa yake,mimi ni mwizi,nikamuuliza ningekuwa mwizi nisingekujulisha kama umekosea kutuma pesa? nikamwambia sina shida ya pesa na naomba ufanye uirejeshe kwako,

Akairejesha, siku ya pili akanitafuta na kuniomba msamaha,
Mwehuu huyoo
 
Mungu anisamehe sana inawezakana ndo mana ridhiki zangu haziji

Watu walishawahi kosea kwangu =
150,000
95,000
80,000
Hizi 50,000 na zaidi ya mara 4

Sikuwahi kurudisha hata mia nliishia kuwablock

daah kuna mtu nakumbuka nilkosea kutuma hela kwakwe sh 52,000 ilikuwa namtumia mchepuko, nikapiga huduma kwa wateja kwasababu ile no ilikuwa Mtandao tofaut na mm.

niliambiwa nisubili masaa 72, ilikuwa jmos basi nikampigia yule jamaa nikamwambia nikosea kutuma hela kwakwe aniludishie walau 30,000 tuh, jamaa kweli akarudisha 30,000 nikamshukuru.

Nimekaa j3 sina mpango wowote naona messag ya muhamala unaiangia kwenye simu yangu hela imerudishwa, walah sikulemba nikaihamisha ile hela jamaa alipiga mara 3 sikupokea ila hakupiga tena
ILAA KUNA WATU MNA ROHOO ZA WANYAMAA..HAMSTAHILI KUISHI!
 
mwaka 2021 mwezi wa 5 niliwekewa mil 4 kwenye acc yangu ya bank...nilikaa siku 3 sikupigiwa simu wala acc kufungiwaa na nilikuwa na hela yangu nyingine kidogo ikawa nikitoa kiasi inatoka..!! siku ya 5 ndo naona acc imezuiwaaa mimi hata sikushughulika nayoo ilaa baadae wakarudisha ile hela nikaendelea na acc yangu.
 
Back
Top Bottom