To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Mbwai mbwai....dadeki🤒Me nimemwaga ugali sasa🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbwai mbwai....dadeki🤒Me nimemwaga ugali sasa🤣🤣
Mimi ni mstaafu wa jeshi moja hapa nchini, niliwahi mrudishia mtu mmoja hela yake yote laki nane pamoja na ya kutolea niliongezea pale kibo complexNilikoseaga kutuma laki 8,bahati alipokea mstaafu wa jeshi la magereza ni mtu mzito sana ,keaho yake alinipa yoote pale kibo complex,emagin alitoka gongolamboto kwaajili yangu
Hujaelewa comment yangu mkuu...Dah this is serious story kama mwenyewe atakua hapa . Ulirudishiwa elf 50 zingine zilipotea. Taja kiasi ulichotuma na mkoa uliokuwepo wakati huo. ...
Hadi kieleweke😂😂😂Mbwai mbwai....dadeki🤒
Mkisharogwa ndo mnakuja hapa kupapatika qumaninar, sasa omba mungu mganga aliekuroga awe hai maana kama kafa utapapatika hadi kifo, na hapo ndo mjue jasho la mtu haliliwi kizembe.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Rafiki yangu alitumiwa pesa kimakosa kwenye no. yake ya mpesa inayoishia na 8650. Baada ya kutumiwa hiyo hela huyo rafiki yangu aliitoa yote. Alipigiwa na aliyekosea mwamala akamrudishia elf 50 Kwa ahadi ya kulipa kilichobaki ila aliposhindwa aliacha kutumia hiyo no yake inayoishia na 8650. Kama unaijua story hii jamaa anakutafuta aombe msamaha na kukulipa ukikubaliana maana anasema jambo hili linamtesa sana.
N.b. Jamaa alikua anamtumia pesa wife wake. Ataje kiasi na mkoa aliotoka maana ni vitu anavikumbuka. Asanteni.
Roho iliniuma nilipata hela Kwa tabu aisee nilikuwa sina kazi nauza juisi tu home ila watuPole sana
Huo ndiyo utu kitu hujakitolea jasho hakuna hasara kumrudishia muhusika rudisha utapewa kwa njia nyengineHii dhambi 2015 niliikataa baada ya ndugu mmoja kutuma kimakosa kwenye line yangu ya airtel laki nane na hamsini elfu (850,000/=) kwa kumrudishia yote, japo nilikuwa juu ya mawe.
Uaminifu ni kitu muhimu na una baraka zake.Roho iliniuma nilipata ela Kwa tabu aisee