Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya wazazi wake kumkataa binti ambaye alikuwa ana mipango ya kumuoa kwa sababu wazazi wanazozijua wenyewe
Jamaa yangu sasa anakaribia kuoa kimya kimya bila wazazi na wala ndugu zake kuwashirikisha wala hawajui chochote kama anaowa na amefanya hivi sababu wazazi wake wamekuwa kikwazo kikubwa sana kwake
Je hii imekaaje wakuuu
Sio tatizo bali ni mila za watu weusi na jamii nyingi pia duniani hasa Asia.Hapa ndipo watu weusi tunakwama sana.
Swala la kuoa ni swala mtambuka, na unapo oa haumuolei ndugu wala mzazi. Pia kukosea kuoa kupo tu hata ukiletewa mke na wazazi hii haijalishi kwamba huyo ndie mke bora. Minadhani swala la mke bora ni kumuomba Mungu kwa imani yako ili akuonyeshe yule alie bora.
Changamoto unaweza ukampenda mtu lakini akawa sio mwanamke wa kuoa sio kila mwanamke anafaa kuolewa,wengine wa kupiga na kusepaNi muhimu kuoa unayempenda na kumchagua kuliko kuoa yule unayesukumiwa.
Ingawa ndoa inaingiliwa kwa kushauriwa pia sio kichwakichwa tu
Daah eeer bn huu ndio ukweli, maana kuna wanawake unawezapenda kwelikweli ila unajua kabisa nikiweka ndani hii mtu nitakua nimenunua ng'ombe moja kwa kutoa ng'ombe tano.Changamoto unaweza ukampenda mtu lakini akawa sio mwanamke wa kuoa sio kila mwanamke anafaa kuolewa,wengine wa kupiga na kusepa
Yeye ndo kampenda muache amuoe...... Hao Wazazi awataenda kuish na huyo mke bali ni yeye muoajiKuoa unatumia akili sio MOYO. Moyo unaweza kumuonea huruma mtu malaya, mfujaji wa mali, kiburi, asiye na heshia kwako nk. Lkn AKILI haiwezi kubeba huo ujinga. Hivyo fikiria hoja za wazazi kwa makini utagundua wako sahihi.
Wakati mwingine unalazimisha kuona Familia ambayo msingi wake una WACHAWI wengi hivyo kukupelekea ww na familia yako kujiingiza kwenye uchawi nk.
Ubishi wa kijinga haufai.
Ndoa ina mengi zaidi ya kupenda, kumbuka ni ndoa sio kupiga na kusepa.Yeye ndo kampenda muache amuoe...... Hao Wazazi awataenda kuish na huyo mke bali ni yeye muoaji
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Ndio ni ndoa ndo mana nkasema muache aoe atakae mpenda yeye sio watakao penda Wazazi....Ndoa ina mengi zaidi ya kupenda, kumbuka ni ndoa sio kupiga na kusepa.
Halafu kila mtu ana haki ya kufanya makosa na kujifunza kutokana na makosa.Hapa ndipo watu weusi tunakwama sana.
Swala la kuoa ni swala mtambuka, na unapo oa haumuolei ndugu wala mzazi. Pia kukosea kuoa kupo tu hata ukiletewa mke na wazazi hii haijalishi kwamba huyo ndie mke bora. Minadhani swala la mke bora ni kumuomba Mungu kwa imani yako ili akuonyeshe yule alie bora.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Daah eeer bn huu ndio ukweli, maana kuna wanawake unawezapenda kwelikweli ila unajua kabisa nikiweka ndani hii mtu nitakua nimenunua ng'ombe moja kwa kutoa ng'ombe tano.
Ila na ww si ni mwanamke ndugu au ni avatar tu???
Kuna vitu ni ruhusa kukosea, ila sio kwenye swala la mwenzi (mke/mme)Wèeeeeee
Kibongo bongo mke ni wa wazazi wako...dada zako....kaka zako...wajomba zako na ukoo wako
As if wataishi nae vile
Khaaa!!!!Halafu kila mtu ana haki ya kufanya makosa na kujifunza kutokana na makosa.
Wasipoendana kuna mahakama watatalikiana.
Kuna wengine wanakubalika na wazazi lakini kumbe ni vijinga vya moto!!!!