Kumbe Ni wewe mwenyewe!Vipimo vyote nimefanya, lakn watu wananiambia changamoto itakuwa ni maji, maana n mgeni sehem hyo
Yaani mwanzo wa story umesema rafiki yako, hapa unajibu kama wewe. Njia ya muongo ni fupi. Kwa nini mtu ukiwa na shida yako mwenyewe unasingizia rafiki yako?Vipimo vyote nimefanya, lakn watu wananiambia changamoto itakuwa ni maji, maana n mgeni sehem hyo
Acha kusingiziaWakuu naombeni ushauri,
Kuna rafiki yangu anatokwa na vipele kama hivi, shidah ni nn , maana anasema vilianza kumuwasha mapajani vikafika mpaka uumeni na nyuma kwenye makalio vimemtokea, shidah ni nini?, na amesha enda hospital amepewa dawa za fungus na sindano ya aleji lakin wapi?
Msaada please
View attachment 3005801View attachment 3005803
Kumbe ni wewe mwenyewe, mbona kumsingizia rafiki?Vipimo vyote nimefanya, lakn watu wananiambia changamoto itakuwa ni maji, maana n mgeni sehem hyo
Sio rafiki yako kumbe ni weweVipimo vyote nimefanya, lakn watu wananiambia changamoto itakuwa ni maji, maana n mgeni sehem hyo
Mbona umesema ni rafiki yako alafu unasema umefanya vipimo vyoteVipimo vyote nimefanya, lakn watu wananiambia changamoto itakuwa ni maji, maana n mgeni sehem hyo
Wewe si umesema rafiki yako ndiye anaumwa? 🤣Vipimo vyote nimefanya, lakn watu wananiambia changamoto itakuwa ni maji, maana n mgeni sehem hyo
Hebu soma post namba tano kwa tafakuri.Asante, ntamfikishia
🤣🤣🤣Kwamba Rafiki yako akuonyeshe uume wake wewe umekuwa mkewe au daktari?
Kwanini kama unaumwa wewe usiseme ni wewe ili members hapa wenye utaalamu waone namna ya kukusaidia?,Jina na I'd yako yenyewe unatumia FAKE,Why uogope?
Any way
Hizo ni dalili za Upungufu wa Kinga Mwilini (UKIMWI)
Acha kutuigizia, utamfikishia nani!? Mficha maradhi kifo humuumbua.Asante, ntamfikishia
Magongwa mengine adabu. Inabidi kusema ni rafiki yako kumbe ni wewe mwenyeweVipimo vyote amefanya, lakn watu wanamwambia changamoto itakuwa ni maji, maana n mgeni sehem hyo
Marehemu hana aibu.tuwe na utaratibu wa kunyoa mavuzi
coz ukiachana na ugonjwa kuna kufa ghafla sasa duhhh