Candlestick
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 230
- 446
Hahah, ni mfumo tu sema kwenye jamii yetu haujazoeleka sana. Ni makubaliano ambayo yanakua legal kabisa.Mmmmh kwanini Mimi nisiamini huyo mtu anatafuta kitonga cha maisha sa ameamua kuztafuta mtu WA kumuhudumia kijanja Tu.
je akiwa ni Malaya WA kutupwa yaani mwanangu awe na mama Malaya.
pia kwanini Mimi nisiamini ni mtindo mpya WA kujiuza kijanja Ila mtu anakuwa Tyr kubeba mimba.
iweNI makini wanaume si kila mwanamke ni WA kumlala upate mtoto utapata magundu mikosi ya kufa mtu mi yangu ni hayo Tu.
Kwa kawaida nchi zilizoendelea zimeweka sheria mahususi za surrogacy, maana akina mama wengine wakishajifungua huwa wagumu kutoa wale watoto.Samahani mkuu, unajua maana ya surrogacy?
Mtoto akishazaliwa hakuhusu, unampatia mhusika..But kwa case hiyo uliyoelezea huyo mama anaweza rudi kumdai mwanae.
Pia, ndiyo ana her personal reasons.
HahahahaMamaaaa weee ndo uhitaji wake?.
Kama niivo bora nikamatie mtoto wamtu, nimvute ndani , tushee kila kitu.
Sahihi kabisa, yaani anatumia tumbo lake kukuza kile kiumbe lakini hakuchangia DNA. Kwa hivyo mtoto atafanana na baba na mama.Surrogate huwa mara nyingi ni mwanamke..... Yaani wewe mwanaume na mke wako kama hamna uwezo wa kubeba ujauzito, yeye anajitilea tumbo lake kubeba kijusi chenu ambacho atapandikizwa maabara bila sexual intercourse.
Sahihi kabisa, yaani anatumia tumbo lake kukuza kile kiumbe lakini hakuchangia DNA. Kwa hivyo mtoto atafanana na baba na mama.Surrogate huwa mara nyingi ni mwanamke..... Yaani wewe mwanaume na mke wako kama hamna uwezo wa kubeba ujauzito, yeye anajitilea tumbo lake kubeba kijusi chenu ambacho atapandikizwa maabara bila sexual intercourse.
Hakuna another mouth to feed, huyo mtoto akizaliwa tu wenyewe wanamdaka na kuondoka naye kabla hujamzoea.Yaani wale starehe wao mimi wanipe another mouth to feed!!!
Mkuu naona una knowledge emu waelimishe mi nachoka kuandika essaySasa we nae mtoto hapo si atakuwa wa huyo mwanaume na mwanamke anae lala nae au basi umeamua kutokuelewa mkuu?!
Hawezi kuwa biological child wako kwani hukuchangia DNA kwa mtoto. Wewe utakuwa umejitolea kutumia mfuko wako wa uzazi kukuza kiumbe 'kilichotengenezwa' na wengine.Mmh heri kama wanamuingiza mbegu tu, yani nimpe mtu biological child wa kwangu uwii siku tumbo litaniuma ntamfata
Labda mimi sijaelewa, Kuna mahali mchangiaji/mtoa mada kasema sijui mke anamruhusu mume ashiriki tendo na huyo dada ndio wapate mtoto. Hapo ndiyo naiona ngumuHawezi kuwa biological child wako kwani hukuchangia DNA kwa mtoto. Wewe utakuwa umejitolea kutumia mfuko wako wa uzazi kukuza kiumbe 'kilichotengenezwa' na wengine.
Labda mkuu wapo,lakini kwa jinsi watu wanakufa na matatizo yao kama ingekuwa gharama za kawaida nadhani wengi wangefanya ila kwa bongo tutaishia kuisoma kwenye vitabu vya bsNdio naelewa.
Wee unadhan kibongo bongo, kuna mwanaume wa ivo??
Gharama za kufanya IVF + alafu bado umnunulie Gari na nyumba?
Kisa mtoto
Lazima apo Mtu Achague kula papuchi tu.
Muwe mnasoma vizuri neno "surrogate mother"kuna ukakasi kwenye maelezo yako, una rafiki yako anatafuta mwanamke au mwanaume awazalie mtoto?
uyo rafiki yako akipata mwanaume atamzalia na pia akipata mwanamke atamzalia sijawai kuona jinsia ya ivyo uyo rafiki yako njinsia yake ya maajabu au mi ndio sielewi
Alafu wanaume wa kwetu mapenzi ya hivo hayapo labda yeye ndo awe na tatizo ila ikiwa mke ndo anatatizo mzee atachukua kitu kipya mambo ya IVF,Sijui Artificial insermination sahau kabisaNdio naelewa.
Wee unadhan kibongo bongo, kuna mwanaume wa ivo??
Gharama za kufanya IVF + alafu bado umnunulie Gari na nyumba?
Kisa mtoto
Lazima apo Mtu Achague kula papuchi tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anahitahi nyumba na gariYes unamlipa vizuri na pia una haki kufuatilia mwenendo wa mimba.
Anahitaji nyumba na gari.
Ni kama kina kim na kanye kwa watoto wao wawili wa mwisho wamefanya hii piaAnapandikizwa embryo yaani kijusi baada ya mbegu ya mwanaume na yai la mwanamke kuunganishwa kwenye zile tubes za maabara kisha kijusi kutokea ndio wanachukua kifaa maalumu anaingizwa ukeni kisha kupandikizwa kile kijusi kwenye mji wa uzazi na mimba inatunga kama kawa.
Mtoto akitoka anakuwa na DNA za baba na mama yake wa asili huyu mwanamke anakuwa hafananii DNA hata chembe na mtoto. Na sharti ni moja mtoto akizaliwa anachukuliwa pale pale , haruhusiwi hata kumuona maana wengine huwa wanajikuta wanaumia kumuacha tena mtoto alietoka tumboni kwake ingawa si wake tena.
So huwa wanaamka tu na kukuta mtoto hayupo na hawaruhusiwi kumuona.
Ni maamuzi magumu sana mtu kuchukua.
Ukitaka kujua zaidi ingia online tafuta '"''Surrogacyc"''"
Nadhani wengi hawajaelewa hasa hii surrogacy ndiyo maana wamechanganya. Hapa mtoto 'anatengenezwa' maabara (kwa maana ya mbegu za mume na yai la mke vinakuwa fertilized maabara') na baadae ndiyo hicho kiumbe kinapandikizwa kwenye mfuko wa uzazi wa huyo surrogate mother. Hakuna hata kugusana baina ya mume na surrogate mother.Labda mimi sijaelewa, Kuna mahali mchangiaji/mtoa mada kasema sijui mke anamruhusu mume ashiriki tendo na huyo dada ndio wapate mtoto. Hapo ndiyo naiona ngumu