Rafiki yangu kanipa kesi, kisa nimemsaidia mtoto wake mwenyewe

Mpaka nakuwa mkubwa na umri wangu huu sijawai shuhudia mama wa kambo mzuri kwa mtoto wa mwanaume pindi wanapo ishi nyumba moja.
Mimi nimeshuhudia mmoja bongo, alikuwa mpangaji wetu. Alimpenda binti yake wa kambo kama ampendavyo mwanae, hadi ilikuwa ngumu kujua kama yule binti sio mwanae. Japo sina uhakika kama wema huo uliendelea mpaka ukubwani, au alikuja kumbadilikia.

Maana walihamaga home wakahamia maeneo ya kigogo barafu.
 
Kosa lako ni kununua nguo na kumpa mke wake badala ya kumpa muwe wake basi.

Mengine ulikua sahihi kabisa
 
Wewe nimuokozi unacho fanya najua huwezi kukiacha kwakua by nature upo kwaajiri ya jambo hilo kamwe usiache hata kidogo👈
Siwezi kuacha mkuu, halafu uzuri nina backup ya mke pamoja na watu wengine wanaoona mateso ya yule mtoto. Ikishindikana nitachukua hatua zaidi mkuu.
 
Minadhani ulikosea mapema kutomweleza ukweli
 
Kwa jinsi tulivyokuwa tunaishi na mumewe, sikutegemea kama tungefikia huku aisee.
Ni kweli bimadamu hubadirika,ila kununua nguo za mtoto na kumpa ni kosa pia.

Ungemchana live tu oya mbona dogo nguo zake zimechakaa hivi.Afu dogo mbina anakosa raha hebu fuatilia kitu juu ya dogo kama kipo sawa.
 
Pole sana kwa changamoto, Mungu anaona nia yako. Mshauri aweke cctv ndani kwake kwa siri ajionee mwenyewe, siku hizi si jambo geni kuwa na camera nyumbani kwako
 
Shukran mkuu kwa ushauri wako 🙏
 
Inawezekana ulichoandika kina ukweli ndani yake mkuu.
 
Kwa sasa nasoma upepo mkuu, nikiona mpaka home boy na yeye haeleweki basi nalifikisha swala hili mahali husika. Potelea mbali liwalo na liwe.
 
Huko unapoishi hakuna social welfare departments?

Nenda karipoti anonymously
Zipo tena huku ndio balaa mkuu. Nafikiri muda wowote kuanzia sasa nitalifikisha swala hili mahali husika, ili hatua za kisheria zichukuliwe dhidi ya muhusika.
 
We mushangazi huwa nakuamini sana kwa ushauri wako,i love yuo mshangazi
Ni juma hili walikuja watu wa wizara job ,Sasa nilikuwa kwenye kamati ya mapokezi hivyo hata vyumba vya kulala nilihusika Mimi ,si wamekuja na gumama guzuri ,gunene ,gweupe alafu ni gushangazi gwa kwenda huku na huku katika harakati zangu gukanipa namba .

Usiku wa pili baada ya vikao uchwara vya serikali visivyo na kichwa Wala minyoo si nikamtumia meseji Mimi nakupenda sana since day one nilipokuona Kama hutajali naomba tupate sehemu nzuri tuzungumze kwa kina . Hapo ilikuwa saa nne usiku ,meseji nilituma WhatsApp ,aliona na alisoma meseji kabisa .

Ila masikitiko yangu ni kuwa hakujibu chochote ,kazini kwangu nilikuwa mgeni naingia nanyata ,kwenye vikao siwezi kutizama watu sura ,gushangazi gunapendelea kunihoji Mimi maswali ,najibu huku nimeangalia chini ,yaani itoshe kusema nateswa kisaikolojia ,naiona ijumaa kuwa mbali huyu mama aondoke ,mwenzenu nitakufa kwa presha na aibu .

Sasa kuwa makini na mishangazi haifai
 
D

Dudumizi mwambie akupe weye umlee dogo akikataa ndio mpatie kichambo chake kama anateswa sana.
Katika watu walionishauri vizuri, na wewe pia ni mmoja wapo. Huu ushauri wako siwezi kuuacha. Lazima niiufanyie kazi kama ulivyoshauri 🙏
 
Huyu alijua akifanya hivi atanikomoa mimi katika ndoa yangu, na atatufitinisha na mumewe. Kwa bahati mbaya au nzuri katika ndoa yangu hajafanikiwa hata robo.

Na kwa mumewe nina hakika siku akija gundua kama ulivyosema, atapata aibu na hatoaminika tena katika ndoa yake.
 
Ustawi wa jamii ndio mwisho wa Hilo tatizo ila usiende wewe aende hata uyo rafiki yenu, ww na huyo unae mwita "homeboy"
Home boy ndio baba mtoto mwenyewe aliekuja nyumban kunishambulia kuwa namhonga mkewe nguo ili nimtafune. Sasa ataendaje kujishtaki.

Mimi mwenyewe naweza kwenda kukilipua muda wowote. Yeye si amemwaga mboga, na mimi nitamwaga ugali tuone nani atapotea uraiani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…