Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Nilikuwa naongea na Msabato mmoja rafiki yangu kuhusu Kanisa kuruhusu baadhi ya mafundisho au Imani zinazoenda kinyume na Biblia
Katika mazungumzo yetu nilimtajia mambo mawili tu ambayo yameruhusiwa Kanisani karibuni kuwa ni kuruhusu wachungaji wanawake , idara ya wanawake pamoja na fundisho la holly trinity doctrine
Nilimwambia na kumpa ushahidi kuwa hayo hayakuwepo kabla na yameingizwa kimakosa kwenye Kanuni za Kanisa
Ndugu yangu Wala hakunibishia baada ya kumpa ushahidi ila Cha ajabu akidai kuwa hizo ni njama za wakatoliki kuharibu Kanisa lao.
Nilijaribu kumuomba anipe ushahidi alishindwa na aliendelea kutupa lawama kwa Kanisa hilo kuwa limeweka mapandikizi kuvuruga Kanisa
Sijaona logic kwenye madai yake kwani kwa mfano Kanisa Katoliki hawana huduma ya wachungaji wanawake
Naombeni mnishauri
Niwatakie Dominika njema
Nilikuwa naongea na Msabato mmoja rafiki yangu kuhusu Kanisa kuruhusu baadhi ya mafundisho au Imani zinazoenda kinyume na Biblia
Katika mazungumzo yetu nilimtajia mambo mawili tu ambayo yameruhusiwa Kanisani karibuni kuwa ni kuruhusu wachungaji wanawake , idara ya wanawake pamoja na fundisho la holly trinity doctrine
Nilimwambia na kumpa ushahidi kuwa hayo hayakuwepo kabla na yameingizwa kimakosa kwenye Kanuni za Kanisa
Ndugu yangu Wala hakunibishia baada ya kumpa ushahidi ila Cha ajabu akidai kuwa hizo ni njama za wakatoliki kuharibu Kanisa lao.
Nilijaribu kumuomba anipe ushahidi alishindwa na aliendelea kutupa lawama kwa Kanisa hilo kuwa limeweka mapandikizi kuvuruga Kanisa
Sijaona logic kwenye madai yake kwani kwa mfano Kanisa Katoliki hawana huduma ya wachungaji wanawake
Naombeni mnishauri
Niwatakie Dominika njema