rafiki yangu msabato akiri yapo mafundisho kinyume na Biblia yaliyoingizwa kanisani mwao analaumu kanisa katoliki lengo lao kuwavuruga kiimani

Unafahamu dini ilienezwa kwa mkono wa chuma na damu
Nimekuuliza kuhusu spirituality. Hata bila ya uenezwaji wa dini, kila jamii ilionekana kuwa na spiritual system au uungu wanaoubadu ikiwemo mizimu na priests..

Kabla ya waarabu na wazungu kuingia Africa, mababu zetu walikuwa na system zao za kuabudu na ukiangalia kuna sehemu kama India na China ambapo nao dini mpya ziliingia lakini bado walishikilia miungu yao.

Swali langu la msingi ni kuwa, wengi huongelea dini za kigeni kama instruments za brainwashing lakini mimi naongelea uwepo wa spiritual systems kwenye jamii nyingi duniani hata bila external influence. Je, hii ina maana gani kwenye uwepo ama kutokuwepo kwa spiritual world kama ambavyo atheists huamini
 
Kama huko kote hakuna uthibitisho haina maana tu.
 
Nauliza papa anaendeleaje huko ?

Vipi mtaguso wa pili wa Vatican unasemaje kuhusu hili?
 
Kama huko kote hakuna uthibitisho haina maana tu.
Umetafuta uthibitisho au umesoma scientific conclusions za sasa na kuamini kuwa ndio final.. Kumbuka kuna kipindi wanasayansi waliamini dunia ni tambalale hadi pale ilipojulikana kuwa tofauti

Pia kipindi wanasayansi hawakujua kuwa kuna molecules lakini leo hakuna anaetilishia shaka. Vipi kama sayansi ikija kugundua namna ya kuingia katika spiritual world

Je utaamini
 
Msabato mkatoliki mprotestanti muanglikana ...m TAG ....muislamu mfreemason wote nyinyi ni watumishi wa ibilisi dini yenu ni moja ....hakuna mtu mwenye madhehebu aliye na dini ya kweli na ya haki hata siku moja ...madhehemu maana yake ni hekalu la shetani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…