Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
- Thread starter
-
- #381
Na USHUHUDA wotee huu RAIA bado WABISHI..!!Nyie oeni tu.
Jana nikiwa ofisini, alikuja jamaa ni fundi ofisi ya jirani hapa kwetu. Karudi kutoka shamba alikohamia baada ya kuona maisha ya mjini hayakai sawa, akaamua yeye na mkewe warudi zao shamba kama miaka miwili sasa na kule shamba wana mashamba ya familia hivyo ni uwezo wako tu wa kuyahudumia.
How? Tupe elimu.Unajisifia au sio? Utalipa mark my word utalipa kwa gharama kubwa sana
[emoji23][emoji23][emoji23]Nimesoma kisha nimetafakari sana. Pengine kuna mwanamke aliyekuwa anampenda Dev lakini Dev akamuona hamfai akaamua kuoa huyu aliyepelekea mauti yake.(yan inawezekana alishautenda moyo wa mtu)
Mimi nitawafundisha vijana wangu mapenzi yasikupelekeshe kupenda sana waachie movie za kihindi sitaki ujinga kwenye familia yangu, mpende sana Mungu Sali sana. Tuombee wazazi wenu maisha marefu
Hujaeleweka broo...Je vitu vyako vilienda wapi? Uliuza ili uhonge mahakamani au alichukua mkeo? Be specific wewe ni mtu mzima. Andika vitu vinavyoeleweka.
Amen.Nimesoma kisha nimetafakari sana. Pengine kuna mwanamke aliyekuwa anampenda Dev lakini Dev akamuona hamfai akaamua kuoa huyu aliyepelekea mauti yake.(yan inawezekana alishautenda moyo wa mtu)
Mimi nitawafundisha vijana wangu mapenzi yasikupelekeshe kupenda sana waachie movie za kihindi sitaki ujinga kwenye familia yangu, mpende sana Mungu Sali sana. Tuombee wazazi wenu maisha marefu
Mwenye vitu vyake ni "Marehemu"Je vitu vyako vilienda wapi? Uliuza ili uhonge mahakamani au alichukua mkeo? Be specific wewe ni mtu mzima. Andika vitu vinavyoeleweka.
Tukiwaambia WASIOE HAWASIKII.Ndoa Ndoano....
R. I. P dav
Kwani huyo atakae chaguliwa na wazazi ndio atakua sahihi.Mda mwingine tuwe tunawasikiliza wazazi wetu kabla ya kuoa haya mambo ya mwanaume hachaguliwi mke kwa kipindi hiki ndo yanafanya ndoa nyingi zinakuwa kaa la moto.
Umeelewa hii paragraph........Endelea kufurahia wake za watu siku yako inakuja
Hapa hapa kwenye POST inatoshaNjoo pm nikwambie jins ya kujua upendo wa kweli
Kwahiyo mnaoa kwasababu ya matatizo.Utawapataje bila kusex?
Kwahyo utasex kavu na kila mwanamke unayemuona ili upate watoto?
Na nyumbani nani atakuwa msaidizi wako ktk hali na Mali
Ndugu yangu usijidanganye ukajiona ni mzima wa afya.
Unaweza ukabanwa usiku ukakosa hata mtu wa kuomba maji.
Ukajifia week nzima ndani ,,
watu wanapata taarifa kwa harufu unayotoa chumbani kwako.
Usidhani watu wanaoa kwa lengo la kusex pekee.
Mke ni zaidi ya sex .
Kuna tatizo,,linaweza kukukuta ghafla ukakosa hata wa kutoa taarifa haraka usaidiwe.
Mtu akishakuwa over 50 bila mke au kuishi na family ni tatizo kubwa sn.
Let's wait for THE TIME.Time will come,, millennials watajutia maamuzi ya kufanya mapenzi kama video games,,
The time will come ambapo men will turn from Dogs to wolf and trust me,, they will terrorize the society
The time will come when Eve's gender will be desperate to have a family and Adam's gender will be in a defensive position,,,
Currently what wanafanya is pulling up the tail of the monster within us and they exactly know kuwa they can't tame it,,