Rafiki yangu wa ukubwani kafariki kisa ndoa

Rafiki yangu wa ukubwani kafariki kisa ndoa

Mkewe alipeleka kesi mahakamani kuomba talaka.
6. Huko nako Dav alichosikia, mkewe alitembeza mbunye na pesa mpaka talaka ikatolewa.
7. Ilibidi gari na mashamba yauzwe iliwagawane na ndoa ivunjwe..!!!

Nikashangaa....

""Mbona hizi Mali ulizipata kabla ya ndoa??""

Alinijibu "hata sijui nini kilifanyika, na vile kuokoa watoto wangu (wawili) ilibidi nikubali liuzwe gari na mashamba ndio tugawane halafu nyumba abaki nayo akae na watoto"


poleni ila najiuliza huyo mke wa marehemu aliwezaje kuhonga the so called mbunye mahakama zote?

Kuna kitu hakiko sawa hakuna mahakama ya ajabu igawe kijinga hizo mali wakati sheria iko wazi.
Unapofika wakati wa kupelekana mahakama inabidi kutuliza akili, kuomba ushauri kwa wataalamu wa sheria.

Mtu ana hizo mali zote anashindwa kumuweka hata wakili, hata kama wanaachana wagawe fair?
Kama mahakama husika haikutenda haki alishindwa nini kukata rufaa?

Kuachana na mke ajiwekee stress hadi afe? Hiyo ndo kuokoa watoto wake?Kwani yeye wa kwanza kuachwa? Wanawake wote hawa si angepata mwingine?

Ifike mahala watu mjitambue jambo kama hilo likitokea ongea na watu anza upya maisha sahau ya zamani magari na nyumba vinatafutwa.
Labda alikuww anampa mzigo wakili alafu wengine hela
 
Ipo siku Tutasoma story za maisha yenu magumu mtakayopitia kwenye hizo NDOA ZENU.

Mi niwatakie tu MATESO YALIYOPUNGUA MAKALI.

Kuingia kwenye ndoa ni kuingia kwenye mateso MAKUU.

Niwatakie VIFO VYA KUJITAKIA VYEMA.

#RIP TZ CITIZEN IN ADVANCE.

#YNWA
Hahahahaha ndio maana wanafuta thread zako Mpwa. Ndoa yangu INA miaka unaeda mwaka wa 17 sasa.
 
Sasa ndy heshima nzr kwa mtu mzima,
Kila mwanamke amuone uchi wake?

Ndoa ni sitara mkuu.
Mwanaume/mwanamke asiyeolewa ni kama hana nguo.

Muhimu ni kupata mwanamke sahihi usihadaike na muonekano wa nje wa mwanamke.

Kwakweli kuna umri usipooa huna heshima yeyote.
Heshima ni Pesa na Cheo.
Na ukiangalia kiundani Cheo ni Pesa..!!

Dav hajapata stara ila kapata KIFO.

Kutomb* si lazima utomb* malaya.

Wapo kibaoo wasiotaka kuoelewa pia.

#YNWA
 
Na wangu alitaka kujiua kwa bahati nzuri maziwa na majirani walikuwa karibu.Nilimchana live,usilete nuksi mjini,ufe kwa ajili yangu,mimi nisiyenduguyo,huwez fikiria tabu alizopata mother wako mpaka umefika hapa?

Huwez waza maumivu atakayopata mama ako ukifa? Embu itazame sura yangu vizuri je hujutii kutaka kujiua sababu yangu ambaye siingii hata mara moja kwa warembo utakaowaacha duniani na wenye kiu kweli ya ndoa?

NAONA ALINIELEWA MAANA NAONA HATA KUPIGAPIGA SIMU KUWAJULIA HALI WATOTO KAPUNGUZA.Ndo nitajua sijui safari hii,sijui nilianzajeanzaje kumsanua...nadhani kabla ya kumchana alikuwa ananiona mimi tu dunian sasa sijui huko anafanyaje eti?
wangemuacha afe mungu akam binye makende yanayomuongoza kuliko akili pumbaf kabisa!, kisa mwanamke??, hii ni tabia ya kike kabisa wanaume tumekuwaje lakini, wana tunakikao serena hatuwezi kwenda kwa mwendo huu!!. Duh jinga kabisa, dada ungeenda na petrol
 
Watu wanaingia kwenye ndoa kwa sababu tofauti, bahati mbaya wapo wanaoingia huko kwa sababu wanataka financial relief toka kwa wenza wao, na ikitokea huyo mtoa relief akapigika basi stress atakazopitia hata shetani atashangaa.

..unakuta mdada anataka ndoa coz amepigika, anataka ganda ateleze kimaisha, that's not fair!
 
Hahahahaha ndio maana wanafuta thread zako Mpwa. Ndoa yangu INA miaka unaeda mwaka wa 17 sasa.
Nikiwa Bachelor 2014 (Nilisoma nikiwa service) nilikuwa natomb* mke wa mtu ambae ndoa yake ina miaka 12.

Mara ya kwanza nilimtongoza na sikujua kama mke wa mtu, ila baada ya miezi kupita ndio alinichana kuwa ye ni mke wa mtu.

Ila niliendelea kunyandua mpaka chuo kikaisha na kila mtu kwao.

Na trust me, wake zenu ni noma, maana akiwa home alikua ananitafuta kwa muda anaoona yeye unafaa, na likizo (akiwa kwake) sikuwa namtafuta.

Ila mapenzi yaliisha alivyorudi kwake nikamchana "ME AND YOU NO MORE, MPENDE MUMEO"
Hii ilikua 2018.

Ila huwezi amini, mwaka huu anataka kusoma course fulani hivi na kanibembeleza aje kusomea chuo mkoa nakoishi ili tu niwe karibu kumnyandua siku akijisikia hamu..!!!

Dah huwa nashangaa tu Mimi na ndoa ZENU.

HAWA NDIO WAKE ZENU NA KWENYE NDOA ZENU ZA MIAKA KIBAO.

#YNWA
 
Back
Top Bottom