Rafiki yangu wa ukubwani kafariki kisa ndoa

Rafiki yangu wa ukubwani kafariki kisa ndoa

Kama mke anakupa stress na huwezi handle emotion za mama watoto wako utakufa tu hata usipooa ukazaa na malaya wa mtaani. Tena wale wanakuua hawapitii mahakamani.
Siku hizi wapo wanawake wasiotaka kuolewa ila WANATAKA watoto.

Ni kuzaa wawili au watatu then live your life man.

Uzee bora unajengwa na leo.

Wapo wenye wake zao na watoto kibaoo ila wanamaisha magumu sanaa ya uzee.

Andaa kesho yako.

#YNWA
 
Usioe uishi milele.

Matukio ya vifo sababu ya ndoa miaka ya nyuma labda usikie mke kamchukua mume msukule au kapewa sumu. Wanaume walikuwa majasiri.

Sasa hivi wanaume wanaendesha ndoa zao kwa kutumia Moyo kama wanawake. Hofu ya kugongewa kila kona.
Vijana wa sikuhizi wanatetemekea sana wanawake wao kiasi kwamba wanaonekana maboya tu, eti unakuta mke nae ana kauli ambazo mwanaume anazifata bila kuhoji😂.

Najua ntaonekana natumia mfumo beberu, ila mwanamke ameumbwa kutawaliwa.Mwanaume mtawale mke wako ipasavyo, ukisema umesema akileta dharau na makofi ale.

Lisa jingine kubwa watu wanafanya ni kuruhusu wanawake wao wawe watafutaji, Sasa kama mwanamke ataweza kupata kila kitu kwa kujitegemea kutakuwa na ndoa hapo? Haiwezi kuwepo kwasababu kitu pekee atakachotaka kwako kitabaki kuwa mboo tu,kwahiyo akipata wakumsugua vizuri kuliko wewe,ndo imeisha hivyo.

Vijana kuwenu shupavu kwenye maisha yenu.
 
Vijana wa sikuhizi wanatetemekea sana wanawake wao kiasi kwamba wanaonekana maboya tu, eti unakuta mke nae ana kauli ambazo mwanaume anazifata bila kuhoji😂.

Najua ntaonekana natumia mfumo beberu, ila mwanamke ameumbwa kutawaliwa.Mwanaume mtawale mke wako ipasavyo, ukisema umesema akileta dharau na makofi ale.

Lisa jingine kubwa watu wanafanya ni kuruhusu wanawake wao wawe watafutaji, Sasa kama mwanamke ataweza kupata kila kitu kwa kujitegemea kutakuwa na ndoa hapo? Haiwezi kuwepo kwasababu kitu pekee atakachotaka kwako kitabaki kuwa mboo tu,kwahiyo akipata wakumsugua vizuri kuliko wewe,ndo imeisha hivyo.

Vijana kuwenu shupavu kwenye maisha yenu.
Wawe shupavu. Hiyo ni hoja ya msingi sana.
 
Nikiwa Bachelor 2014 (Nilisoma nikiwa service) nilikuwa natomb* mke wa mtu ambae ndoa yake ina miaka 12.

Mara ya kwanza nilimtongoza na sikujua kama mke wa mtu, ila baada ya miezi kupita ndio alinichana kuwa ye ni mke wa mtu.

Ila niliendelea kunyandua mpaka chuo kikaisha na kila mtu kwao.

Na trust me, wake zenu ni noma, maana akiwa home alikua ananitafuta kwa muda anaoona yeye unafaa, na likizo (akiwa kwake) sikuwa namtafuta.

Ila mapenzi yaliisha alivyorudi kwake nikamchana "ME AND YOU NO MORE, MPENDE MUMEO"
Hii ilikua 2018.

Ila huwezi amini, mwaka huu anataka kusoma course fulani hivi na kanibembeleza aje kusomea chuo mkoa nakoishi ili tu niwe karibu kumnyandua siku akijisikia hamu..!!!

Dah huwa nashangaa tu Mimi na ndoa ZENU.

HAWA NDIO WAKE ZENU NA KWENYE NDOA ZENU ZA MIAKA KIBAO.

#YNWA
Ukapime na ngoma
 
Vijana wanapaswa kutambua Kuna wanawake wa kuwa "mke" wengine wapo kwa ajili ya starehe tu ni rahisi Sana kuwatambua ukitumia akili kuliko hisia.
Toa hint mkuu. Kuna kundi kubwa la wanaume wanaangamia.
 
Na hapendi kuchangamana na watu,akija home toka huko anakoishi anaweza lala kuanzia asubuhi mpaka jioni...yeye mwamshe kuoga,chakula basss
mh ila mbona kama kawa kichaa mkuu, ila litakukuta jambo. Mungu ibariki tanzania tubariki wanaume, maana dada unamoyo wa kiume mwamba moyo wa kike? Ila ungekuwa wangu kwa moyo huo nishataambaa kitambo najua nisipokaa kwa kutulia utanitia petrol
 
Wewe usioe tu na sio kutisha watu hata usipooa utakufa tu mzee, so acha kueneza sumu zako kwa wengine ka hupendi ndoa. Maisha huwa hayaishi changamoto wether single or not.
 
Wajumbeeeeeee...

SIKIA hiiii......

Mwaka 2012 nilikutana na Dav (sio jina lake halisi) akiwa mkuu wa kitengo fulani ofisi kubwaa Morogoro.

Kipindi hicho mi nilienda ofisini kwao kufanya field.
Kwasababu yeye alikua mkuu wa kitengo nilichopangiwa field then nilimkubali sanaa mwana.

Alikua mchapa kazi balaaa na mtafuta hela hasaaa.

Kitengo kiling'ara kwasababu yake.

Maisha yake binafsi yalikua mazuri huku akimiliki nyumba na gari (simply kijana mwenye chenji zake).

Field ikaisha na Mimi nikasepa.

Ila urafiki uliendeleaa then ukapotea ghafla.

Baada ya muda bila kuwasiliana siku moja (mwaka jana) ghafla nikamkuta njiani.

Alikua kachoka balaaa, halafu ANATAFUTA KAZI..!!!

Dah ikabidi nisimamishe tukituki yangu ya miguu 4 apande kwenda sehemu kuongea.

Alikua kama kachanganyikiwa.

Nikampa lunch then nikampeleka gheto.

Alikaa gheto kama wiki hivi, then akasepa Dar.

Alichonihadithia....
1. Mwaka ule wa field yangu (2012) alioa.
2. Mkewe alimkuta Dav ana nyumba, gari, mashamba na Mali kibaoo.
3. Baada ya ndoa, miaka iliyofata maisha nyumbani yalianza kuwa magumu, kampuni ilikua ya wazungu. Then mkataba uliisha, wazungu wakarudi kwao, Dav akakosa permanent income.
4. Mkewe akachepuka na kuhamia kwa jamaa mpya mazima.
5. Mkewe alipeleka kesi mahakamani kuomba talaka.
6. Huko nako Dav alichosikia, mkewe alitembeza mbunye na pesa mpaka talaka ikatolewa.
7. Ilibidi gari na mashamba yauzwe iliwagawane na ndoa ivunjwe..!!!

Nikashangaa....

""Mbona hizi Mali ulizipata kabla ya ndoa??""

Alinijibu "hata sijui nini kilifanyika, na vile kuokoa watoto wangu (wawili) ilibidi nikubali liuzwe gari na mashamba ndio tugawane halafu nyumba abaki nayo akae na watoto"

Mwana alikua kama kachanganyikiwa.

Tuliongee akasema anaenda Dar kutafuta ajira na anashukia kwa Steve (sio jina lake halisi).

By accident Steve namjua sanaa (classmate).

Then siku ilivyofika nikampeleka stend akapanda ndinga huyoo Dar.

Yote haya yalitokea February/2021.

Leo yaani alifajiri hii napata taarifa kuwa "Davi kafariki kwasababu ya ugonjwa wa akili"

Steve anasema......
1. Dav alikuwa mwana Sana, tulicheza na kukua wotee kitaa
2. Kwasababu tupo field moja ya Kazi then tuliunda kama team ya kusaidiana kimawazo ya fani yenu.
3. Kila jambo, liwe jipya au gumu tunashirikishana.
4. Ila tokea aoe na kuanza matatizo ya ndoa performance ilishuka.
5. Kazi zikaisha
6. Mali zake zikauzwa
7. Alivyofika Dar alikua kama chizi, kutwa kuwataja wanae, mara aropoke majina ya mkewe kwa hasira na vitu kama hivyo.
8. Tarehe 01/08 hali ilikua mbaya hasa, akakimbizwa hospital.
9. Na leo 07/08/2021 Dav KAFARIKI kwasababu ya matatizo ya akili.

Dah....
1. Watoto wawili hawana baba Tena.
2. Kuna wazazi wamepoteza mpendwa wao mtoto wa kiume PEKEE.
3. Kuna sisi tumepoteza role model wa Kazi na rafiki.
4. Tasinia yetu ya science imepoteza MTALAAMU.
5. Tanzania imepungukiwa na GDP

Yoteee haya eti kisa mbunye..!!!
1. We unadhani angeamua kuwa single kama Mimi ANGEKUFA na NDOA?
2. We unadhani angeamua kum-HIT AND RUN huyo mkewe YANGETOKEA HAYA?
3. We unadhani ...........

Alidhani kuoa ni kuzuri KUMBE KUMEMTAFUTIA KIFO MAPEMA AKIWA NA MIAKA 39 tuuu.

Tafuta hela kijana kuoa ni upuuzi kwa dunia ya sasa.

Hawataki penzi lako ila WANATAKA HIZO MALI ZAKO.

They are GOLD DIGGERS, they need kuchimba dhahabu yotee kutoka kwenye huo mgodi wako then wauache empty.

Leo nipo gheto kusikiliza nyimbo alizozipenda Dav tuu...

RIP BROTHER.

""If you think money can't buy happiness, nenda kaulize ajira mpya walimu wiki hii walivyolipwa HELA ZAO KUJIKIMU na Halmashauri zao WALIJISIKIAJE""

View attachment 1883485

View attachment 1883489

Tafuta HELA kijana.

#YNWA
Kwa hiyo unashauri vijana wasioe? Unatafuta maisha ili mwisho iweje?

Vv
 
Kuna mwanangu nae juzi Kati mke ndo kajifungua then job likakata ghafla. Pesa ikawa ya kutafuta kwa tochi... Akirudi home badala ya kupata pumziko a nakutana na MATUSI si ya nchi hii. "we nae baba" nawe utajiita mwanaume na mambo kama hayo. Jamaa kitambi kikaisha... Uzuri hakuwa amejenga na hakuwa na mimali mingi so ili kuokoa uhai wake kimwili na kiakili... A kamwambia mama mi na wewe basi nenda kwenu mtoto mdogo nenda nae matumizi yatakuja huko huko. Now jamaa though pesa haiji nyingi kama mwanzo lakini Ana Afya ya Akili safi tu na bado Ana ndoto za kutosha ila kuoa kasemA huo UPUMBAVU hatakaa afanye tena. Atakula malaya kila akipata NGALE.. [emoji23]
 
Na
Na wangu alitaka kujiua kwa bahati nzuri maziwa na majirani walikuwa karibu.Nilimchana live,usilete nuksi mjini,ufe kwa ajili yangu,mimi nisiyenduguyo,huwez fikiria tabu alizopata mother wako mpaka umefika hapa?

Huwez waza maumivu atakayopata mama ako ukifa? Embu itazame sura yangu vizuri je hujutii kutaka kujiua sababu yangu ambaye siingii hata mara moja kwa warembo utakaowaacha duniani na wenye kiu kweli ya ndoa?

NAONA ALINIELEWA MAANA NAONA HATA KUPIGAPIGA SIMU KUWAJULIA HALI WATOTO KAPUNGUZA.Ndo nitajua sijui safari hii,sijui nilianzajeanzaje kumsanua...nadhani kabla ya kumchana alikuwa ananiona mimi tu dunian sasa sijui huko anafanyaje eti?
Nasubiria huu uzi kwa hamu nijue ilivyokuwa
 
Back
Top Bottom