Aloo! 🤝Siku hizi upo free!! Niliona uko banned nikajiuliza huyu nae kafanyaje tena??!Ukiona mwana kaoa alafu kawakataa wahuni jua huyo si mwana alafu ni ndezi maana wana wa ukweli ni pesa , ni madini ni almasi .
Take it positively,Jamal ni mwanangu sana,
Tulikua tunapanga mipango mingi. Tangu ameowa amekuwa mtu mkimya sana.
One thing I noticed, mkewe huwa hanikubali mimi as a friend to her husband. Namuona fala, kwa sababu mimi nafunika mashimo mengi ya Jamal. Jamal hakuwa eligible kukopa sehemú fulani. Nikasaini makaratasi kwa jina langu nikakopa milion 4 akachukua yeye. Mi shida yangu ilikua laki 5 tu. Mi napigiwa simu na ofisi unadaiwa huleti marejesho........
Lakini Jamal huwa ananikubali mno hasa kwenye deals za pesa.
Jamal baada ya kubadili kampuni ya kazi, amepata marafiki wapya. Mara nyingi nikipanga kukutana naye namkuta nao. Wana mipango yao. Ila akikwama huko hunitafuta. Jamal ni kweli familia inamshughulisha mno. Kuna saa namuonea huruma. Unaweza sema yuko kimya ana enjoy, kumbe ana bills kibao zinataka kulipwa.
Jamal alijenga nyumba ikaishia kati. Nyumba ya kisasa kweli, lakini kwa mpunga aliovuta angeweza kujenga simple house kwanza. Ya milion 30 hivi au 40 ingetosha. Dah sasa bado ana panga na nyumba ile sijui inaisha lini?
Jamal sio jina lake halisi na baadhi ya vitu nimetwist kuficha uhalisia.
Asante.
Ya leo siyo ya jana.Nawe oa utaona mambo yanabadilika
Kuna kipindi nilipata majanga nikawa sipatikani hewani week nzima. Hapo nimeaga geto naenda Moro mara 1.Ulivyomtetea sasa😓
😂😂😂 ni kweliii kiasiKwamba wasioolewa hawana la kuongea nao??! hahah maisha bhana
Umepata uhakika gani kwamba mkewe sio?Kuna kipindi nilipata majanga nikawa sipatikani hewani week nzima. Hapo nimeaga geto naenda Moro mara 1.
Baada ya mwamba kunikosa, hana namba ya mtu mwingine yoyote wa familia wala mchumba wangu.
Alipambana akapata namba ya mama yangu after 10 days.
Mama akampa namba ya mkwewe (mchumba wangu) ndio juhudi ikafanyika akanipata.
Nnavyosema hivyo namaanisha. Jamal sio mtu mbaya. Ila mkewe yule siyo.
Ilikuwa nzuri hadi uliposema maamuzi magumu…Mtu akishaoa ni kwamba kashavuka step moja mbele yako maana anakuwa busy na ndoa pia anakuwa amempata rafiki mwingine anaye lala naye kitanda kimoja na shuka moja. Baki na wahuni wenzako mkuu hadi na wewe utakapofanya maamuzi magumu kama yeye.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Ukichelewa ndoani probably na watoto watachelewa kuja duniani… mwishowe unakuja kuwasomesha na pesa za mafaoAkimaanisha kwamba uolewe uzae, upeleke watoto shule mapema?!🤣
au sijaelewa
Hapo nimekusoma basi mke wa Jamal anakusnitch kwa mwanao kuwa wewe hufaiHapana. Jamal sio mhuni. Kuna wakati mi sikuwa na kazi, nilikua na deal chache tu za pesa afu nimetoka mkoa kuhustle alinifadhili kuishi ghetto kwake karibia mwaka mzima.
Maana nilikaa July mpaka June mwaka unaofata.
Ni mwana hasa. Akiwa nacho mtakula na hata pocket money anakupa.
Ni mwana sana sana. Na tulikutana tu katika mazingira ya kazi, sikusoma naye na wala hatujakuwa wote utotoni.
Jama ni mwana, sema kule kuowa kumemtoa kwenye reli.