Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Hao wamekutana pipa na mfuniko.Mkuu unapoengea nalo kihusu hii ishue anakuwa anasikiliza kwa makini lakin vitendo sasa ndio hamna kitu, kuna siku hivyo hivyo tumepiga ishue ambayo yeye ndio alikuwa front, tukapata M3 , bila aibu likanipa la mbili, laki nane kaenda kumtunza yule mwanamke wake kwenye birthday yan huku mimi naona, mtu kama huyu mbona ugonjwa wake hawez pona mkuu, mwanamke mimi hanibadilish msimamo wangu hata iweje…
Halafu cha kushangaza, hao mashosti ambao wameolewa ndio wanaotokaga na waume wa mashosti zaoKwa wanawake thats a big yes to me. Wanawake wengi maadui ni wanawake wenzenu tena wanaopenda kujifanya mashosti zenu wa kupika na kupakua. Hutaamini siku huyo rafiki yako asiyeolewa akianza kutembea na mume wako yani lazma roho ikutoke. Ila yapo yanatokea
Walioolewa wote haina tatizo hio, inaitwa exchange program.Halafu cha kushangaza, hao mashosti ambao wameolewa ndio wanaotokaga na waume wa mashosti zao
Au aende kukaa kwa dada yake ajue kwanini wenzie wana mute 😂.Wako bize na wake zao, nawe oa.....
Kwahyo furaha yako afeli ili lengo lako au unajimu wako utimie ?Ngoja tukupe muda.
VINA MUDA BASI HIVI VITU...
#YNWA
Lazima mmbo yabadirike maana kwa kuwaza haraka haraka ameingia Hatua nyingine ya majukumu hivyo huna utachomshauri maana wew unakua bado hujaoa hivyo lazima a focus kwa wenzie walio oa ili kupata experience zaidi kuhusiana na mmbo ya ndoaKuna rafiki zangu tulikuwa tunashibana sana, tulikuwa tunasaidiana kwa hali na mali, lakini baada ya wao kuoa tu, mambo yakawa tofauti!
Rafiki zangu vipii!😅 Simu tu siku hizi hautupigiani
Hujaoa, halafu sio kila rafiki ni pesa ni almas au dini. Kuna msalaba na kuna jumlishaUkiona mwana kaoa alafu kawakataa wahuni jua huyo si mwana alafu ni ndezi maana wana wa ukweli ni pesa , ni madini ni almasi .
Jamal huwa anajua mke wake miyeyusho. Ameshawahi kuniomba radhi, akaniambia mwanangu mvumilie tu shemeji yako ndivyo alivyo.Mwanamke ukimwoa anakuja na principle zake, kuna jamaazangu yani simu usipige kuanzia saa moja wakiwa home lazima ipite kwa wife alafu wife akiipitisha ndio jamaa anapokea hata kama mna deal la pesa , kuna jamaa mwaka jana ivo ivo nlikuwa na ishue nae ya hela nimepiga simu haipokelewi , kumbe simu anayo mwanamke me niajipanga nkatafuta mshikaji mwingine tukaenda kwenye ishue nikavuta m2 , kesho linakuja kuzinduka lina buku 5 mfukoni yule mwanamke anataka hela akaanza kupiga simu kama kichaaa, sijawah kuipokea hiyo simu, WANAWAKE WANABUGISHA MUDA MWINGINE AISEE ACHA KABISAA
Kuna rafiki zangu tulikuwa tunashibana sana, tulikuwa tunasaidiana kwa hali na mali, lakini baada ya wao kuoa tu, mambo yakawa tofauti!
Rafiki zangu vipii!😅 Simu tu siku hizi hautupigiani
Mkuu ni ZAMA sio DHAMA... au mpaka nione kwanza ndio nikurekebisheHujui kama maisha ya binadam yana dhama 4.
Dhama ya utoto
Dhama ya ujana
Dhama ya familia
Dhamaya uzee
Sasa wewe unataka kila dhama uwe na watu haohao haiwezekani..
Nayafahamu mahusiano yao kabla hawajafunga ndoa. Japo mkewe alikua mkoani all the time. Nami nishaishi nao sana tu (interaction).Umepata uhakika gani kwamba mkewe sio?
naona mkuu wanakujaga na ratiba zao sometime zinaharibu mipango, me nashangaa mbona sisi wanawake zetu wako very humble, anyways kila mtu abebe zigo lakeJamal huwa anajua mke wake miyeyusho. Ameshawahi kuniomba radhi, akaniambia mwanangu mvumilie tu shemeji yako ndivyo alivyo.
Uzuri yule shem psychology yake ya hovyo mi nilishainyaka tangu wapo uchumba.
Hao wamekutana pipa na mfuniko.
Kuoa sio kigezo, kwani yeye anashughulika na ndoa all the time?Lazima mmbo yabadirike maana kwa kuwaza haraka haraka ameingia Hatua nyingine ya majukumu hivyo huna utachomshauri maana wew unakua bado hujaoa hivyo lazima a focus kwa wenzie walio oa ili kupata experience zaidi kuhusiana na mmbo ya ndoa