Wanajamviii Ee mu hali gani
Poleni wadada wale ambao 10% na 25% inawagusa na waume ambao ndo wahudumiaji wakubwa.,
Linapokuja swala la kuchagua mwanamke kwa ajili ya kuoa au ngono tu wengi wetu tunaongozwa na tamaa tu, binafsi ninatamaa haswa pale tu ninapomwoma mwanamke pande zote mbili yaani mbele na mgongoni.,
Awe single mom awe kicheche au katulia ivo nitavitilia maanani baada ya kumpiga ukuni,
Anaweza akawa na sura nzuri ila kama nyuma ni unshaped basi automatic nakua sina tamaa nae,
Anaweza akawa na sura mbovu ila kama nyuma ni shaped automatic nakua na hisia nae na nitajiona loser endapo nitamkosa,
Ila atajizolea bonasi zaidi endapo kote atakua fit amaekizi criteria zote uyo akiwa na ukimwi ni rahisi sana kuniambukiza ila kwakua zana zimapunguzwa kodi aaah nitatumia zile O.g
Mpaka nafika hatua ya kumwita mwanamke basi atambue nishamuona upande wake wa mbele na nyuma na mi si mjinga mpka namwita ni kwamba amenikuna tamaa zangu
Kama sitooa nimejiwekea malengo ya kumega wanawake 250 bila kupata HIV ,sio ufahari ila tumeumbiwa sisi hawa viumbe wawe faraja yetu na kutuondoa uzembe (misperm ikikaa sana inasababisha uzembe).