Blue G,
Kumkatalia....!!!I dont think ni neno sahihi labda uulize nitamchukuliaje?Imeshanitokea mara 3, mara ya kwanza High School, Ya pili Chuo na kazini! High school alikuwa ni best yangu sana, alikuwa anapenda kuja uwanjani kuniangalia ninavyocheza na mda mwingine kutaka nimfundishe (volleyball), but walikuwa wengi wanataka niwafundishe hivyo sikuwahi kudhani ananifeel, until siku moja mbele ya rafiki zake akanichana tena nikiwa naongea na lady captain wa volleball akaja na kuanza kama anamsimulia mwenzake "...basi huyu kaka nampenda, napenda anavyocheza volleball, kila siku naenda uwanjani kumuangalia, na marafiki zangu wote nimewaaambia nataka awe bf wangu lakini yeye hata sijui kama ananifikiria...."!
Big suprize I didnt know what to do, beautiful girl of course alikuwa na viskendo uchwara pale school!Unataka kujua nili react vipi! Nilimwambia nampenda pia lady captain akaanza kunitania nikakosa pozi, nikayeyusha na kuondoka!Mpaka namaliza shule sikumjibu zaidi ya kusmile nikimuona!
"Do you think I did hurt her?!! wow sorry!!!Huyu wa chuo alikuwa tofauti kidogo yeye hakumwaga mchele hadharani, alitafuta namba yangu ya simu akaniita chumbani kwake na kunieleza ukweli wake!I respected her feelings, but nilikuwa na GF tayari!Akaniambia anafahamu na hajali! To be honest with you hapa nilipata mteremko, I ended up cheating with her!It was always cool!
Mpaka leo tunaheshimiana sana!Wa kazini was a crush.. she wasnt from Tanzania, na mie sikuwa bongo!Hii nilianza kuisimulia humu JF kama true stori watu hawakugonga like wakaleta majungu nikawapotezea!But we ended up on bed honestly!