Kama kichwa cha habar kinavyojieleza,..kiukweli tokea baleh inikute,nmekua na mahusiano ya kimapenz na dada zetu hawa,ila mahusiano haya yote hua yanaanzaga tuu frm nowea,mwisho najikuta nimeclick na dem, etc,..ila sijawai tongoza,ile ya soundi za nakupenda,nataka uwe dem wangu etc,stuffs like that..hua baada ya kufahamiana ,dinner mbili 3,then tunavunja amri ya 6.sasa hali hii imenifanya niwe domo zege indirectly,maana kuna mdada nipo nae ila ame demand nimtongoze,meaning she wants to hear me sayin em words n nakupenda,.sasa ilikua mtihan,na sio kwamba simpend.