Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,805
- 15,529
Acha utani mjini abiria wanapishanaseat ina abiria tayari .....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha utani mjini abiria wanapishanaseat ina abiria tayari .....
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Ngoja nianze kutongoza kama vile jogoo na mitetea, kila nikiona sketi nimo!!
Mkuu asidanganye watu mtongozo una muonekano pia waeza kua smart ila sura imepinda.Kwel kabsa na stock yang ya kutosha sasa hivi fresh tu
Sio kila anae kubali unakula mkuuTatizo madem wa twn wanazngua ktu kimoja. Ukpga sound. Kesho yke ukimwita anakwambia sna naul. Ukmwambia tumia yko takuludshia, unashangaa bda ya dak10 kafka na bajaji af anakwambia.MLIPE PESA YKE. Ukiuliza bei gan unaambiwa elf20. Hapo bdo nauli ya kuludia. Hajala. Umpe na Kifuta jasho pia maana huwez mmega bureee!!! Mimi nmeamua kutokutongoza kbsaa aisee.
Bora niwe na dem mmoja wa kuniomba elf20 lakn sio hawa wa eof50 kila akja
HaaaaNgoja nami nichungulie
[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]pamoja sana kuna mmoja nimekutana nae hapa ngoja nifanye yangu![]()
Tatzo ni war.war.war.. mkuuSio kila anae kubali unakula mkuu
Ha ha ha unabahati mbaya sana.. mie nikienda kukata tiketi huwa nauliza namba za siti walizokata mademu.. siku zingine nabahatisha mademu wakali.. nahuwa siwakosiMe wa kwenye mabasi huwa sitongozagi,maana nakaaga na vibungo tu!
Mitongozo
Ok,sawaHa ha ha unabahati mbaya sana.. mie nikienda kukata tiketi huwa nauliza namba za siti walizokata mademu.. siku zingine nabahatisha mademu wakali.. nahuwa siwakosi
Khaa aise! Pole Chief endelea kupambanaNimetoka kutongoza asaiv na nimekataliwa nipo naenda kwa dada niliyemtongoza. Hvyo hvyo maisha yataenda nikitoswa naenda kwa house girl halaf mama yan mpaka nipate.
Sio utongoze wake za watu sasaMkuu nashukuru kwa somo lako!
Huyu dem yupo poapamoja sana kuna mmoja nimekutana nae hapa ngoja nifanye yangu![]()