Raha ya mwanamke awe na akili za kitoto sio unakuwa na mwanamke akili nyingi mpaka anafatilia mpaka vita vya Ukraine

me mwanamke ambaye nakaa naye mbali ni yule anayefuatilia documentary za serial killers
Inawezekana akawa ameona una viashiria vya serial killers kwa hiyo anajifunza kujiweka salama kabla hayajamkuta.
 
Wengi walio oa magoi goi bahati mbaya akifa , akaacha hata mali , ukute nae ana ndugu wa ovyo mke ana malizwa kila kitu watoto na yeye wanabaki kutangatanga tuπŸ€”
 
Upo sahihi kiasi fulani.
 
Katika wote walioelewa uzi wewe ni no moja. Yaani ata me nimeelewa zaid. Unalozungumza ndio nilitaka kulizungumzia. "A female must posses femine characters" asa kuna watu wamekazana unaogopa maisha unaogopa maisha.
Ignorance na ushamba sio mojawapo ya femine characters mkuu.
 
That's true. You never mentioned it, I gathered from his definition of "mwanamke mwenye akili" being challenging by nature, something he is not willing to deal with - from which you concluded anayaogopa maisha.

Hell. There is no manual for life. Inakuwaje useme anayaogopa maisha?
 
Wewe ina wezekana umekutana na jasusi la kirusi.
 
Plus kisirani kidogo nyumba isipoe
 
Tofauti ya mwanaume na mwanamke ni kwenye utendaji
Sasa kama vitu ambavyo unatakiwa kufanya wewe mwanamke anafanya why yeye asiwe mwanaume tu?
Labda kama kwenye hiyo ndoa wanabeba matofali au wanachomba madini, utofauti wa utendaji wa mwanume na mwanamke ni kwenye kazi zinazohitaji kutumia misuli zaidi na namna ya kufanya maamuzi ya mambo.
 
Anayaogopa maisha kwa sababu ana narrow mindset ya kuona mwanamke mwenye akili ni yule anaye challenge relentlessly, unnecessarily, continuosly wakati huyo ni mwanamke asiye na akili.

Akipqnua mindset yake anaweza kuona kuna mambo alikuwa anayaogopa bure tu.
 
Angalau nahisi umewekewa.
Naona kuna miamba 2 wanabishana habari ya kuwa na akili au kutokuwa na akili.
Kuna tofauti kubwa baina ya kuwa na akili na ujuaji, uanamke na uanaume.
Mwanamke anapaswa kuwa na feminine traits kwa wingi.
Women should be women, men should be men!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…