Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Balaa unakuta mwanaume hajui mambo, hapo lazima kiumane.Mwanamke smart na anajua mambo ni mzuri.
Utainjoy sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Balaa unakuta mwanaume hajui mambo, hapo lazima kiumane.Mwanamke smart na anajua mambo ni mzuri.
Utainjoy sana.
Yan demu anakuwa mkavu kama fundi gereji kmmkeKuna mmoja aliniambia "my unaweza kunisaidia liten limoja"
Hapo anamaanisha elfu kumi.
Nililia kwa hasira.
Huyo ni TISI asee! Amepitiliza kwenye uanaharakatiUnakuta mwanamke anajua hadi kupekenyua hadi hidden files kwenye simu ya mume wake😂😂😂😂anajua hadi kwenda kutafuta picha zilizofutwa huko kwenye bin anazirudisha.😂😂
Ndiyo maana nasema unaogopa maisha.Challenge ya nini katika ndoa? Ndoa sio siasa kwamba unahitaji mpizani ili ujipange vizuri. Na mke usimfanye kua business partner au consultant wa biashara zako, mke sio kitega uchumi kwa familia .
Samia ni mke wa tatu ujue. Mwamba anaendelea na maisha poa tu hata hajui kuwa Samia hayupo nyumbani.Mkuu vuta picha mume wa Samia kisaikolojia ya mfumo dume anakua na wakati gani?
Ndio maana mwamba hata kwenye sherehe ambazo tunatarajia kumuoa first gentleman lakini jamaa haonekani 😂
Unaogopa maisha tu.Mkuu mke akupangie mipango wewe, akupe challenge wewe. Wa kwangu nitampangia mimi na maswala ya uchumi sio kazi yake. Kazi yake ni kuitunza ndoa, kufanya ibada kulea watoto kwenye maadili, ndani pawe sawa basi. Yaani akili yake na passion yale yote iwe kwa Mungu, Mume, watoto na ndoa kiujumla maswala ya Crypto currency na fore wafanye wengine.
Kama huko ndio kuogopa maisha basi mimi ni mwoga namba moja wa maisha.
Mwanamke kasomea cyber securityUnakuta mwanamke anajua hadi kupekenyua hadi hidden files kwenye simu ya mume wake😂😂😂😂anajua hadi kwenda kutafuta picha zilizofutwa huko kwenye bin anazirudisha.😂😂
This is a logical non sequir fallacy.Kwamba kuna namna moja tu ya kuishi na ikiwa haukubaliani nayo basi unaogopa maisha?
Kwahiyo hata kuogopa mke asiye na akili pia ni kuyaogopa maisha kwa muktadha wa kuogopa kuwafanya watoto wako wasiwe na akili.This is alogocal non sequir fallacy.
Inawezekana hakuna namna moja tu ya maisha lakini ukiogopa mke mwenye akili unayaogopa maisha.
Kwanza ukizaa na mke asiye na akili unaongeza nafasi ya kuwafanya watoto wako wasiwe na akili pia.
Akishika remoti ya tv basi ameweka sinema zetu..kamaliza ikifika usiku anahamisha azam 2..Mwanamke wa hivyo anaboa raha ya Mwanamke ajue vitu vingi mkae mbishane mcheke mfurahi , nakubadilishana mawazo🤔🤔🤔
Sio unakua na mwanamke yeye kama goigoi tu kila kitu😂
Kweli lakini...Demu mjuaji sanaa anaboaKuna raha ya kuwa na mwanamke Ana akili za kitoto kidogo ndani pachangamke, awe mshamba kiasi sio unakuta una mwanamke ana AKILI nyingi mpka unatumia nguvu nyingi kumdanganya.
Unakuta mwanamke anafatilia Uchaguzi wa Marekani kwa umakini, Channel zake ni ITV na BBC Tu. Anajua taarifa za vita ya Ukraine A-Z.
Anamjua Putin inside out na uwezo wake wa kivita.
Mke anajua kusoma mpaka deleted messages za WhatsApp.
Mwanamke anajua kuhack sms/calls.
Mwanamke anajua kudownload mods Apps kama Gb whatsapp kuinstall na kuupata.
Mwanamke anajua kufungua facebook acc tatu.
Anajua kufungua magroup ya WhatsApp.
Mwanamke anajuankuhide app kwenye simu yake.
Mwanamke anapaswa kuwa nautoto utoto kiasi, awe mshamba kiasi mpka. Asiwe mjuaji sana wala mshamba kupita kiasi.
"A FEMALE MUST POSSES FEMINE HABITS"
Wewe kama mume uwe ndio AKILI ya familia.
Juu ya yote kiasi kwa kila jambo ni suala la msingi zaidi.
Kwako msomaji nini maoni yako?
Hapana, huko ni kuogopa ujinga si kuogopa maisha.Kwahiyo hata kuogopa mke asiye na akili pia ni kuyaogopa maisha kwa muktadha wa kuogopa kuwafanya watoto wako wasiwe na akili.
Kuna raha ya kuwa na mwanamke Ana akili za kitoto kidogo ndani pachangamke, awe mshamba kiasi sio unakuta una mwanamke ana AKILI nyingi mpka unatumia nguvu nyingi kumdanganya.
Unakuta mwanamke anafatilia Uchaguzi wa Marekani kwa umakini, Channel zake ni ITV na BBC Tu. Anajua taarifa za vita ya Ukraine A-Z.
Anamjua Putin inside out na uwezo wake wa kivita.
Mke anajua kusoma mpaka deleted messages za WhatsApp.
Mwanamke anajua kuhack sms/calls.
Mwanamke anajua kudownload mods Apps kama Gb whatsapp kuinstall na kuupata.
Mwanamke anajua kufungua facebook acc tatu.
Anajua kufungua magroup ya WhatsApp.
Mwanamke anajuankuhide app kwenye simu yake.
Mwanamke anapaswa kuwa nautoto utoto kiasi, awe mshamba kiasi mpka. Asiwe mjuaji sana wala mshamba kupita kiasi.
"A FEMALE MUST POSSES FEMINE HABITS"
Wewe kama mume uwe ndio AKILI ya familia.
Juu ya yote kiasi kwa kila jambo ni suala la msingi zaidi.
Kwako msomaji nini maoni yako?
Anayeogopa mke mwenye akili anaogpa changamoto atakazozipata kuishi naye .This is a logical non sequir fallacy.
Inawezekana hakuna namna moja tu ya maisha lakini ukiogopa mke mwenye akili unayaogopa maisha.
Kwanza ukizaa na mke asiye na akili unaongeza nafasi ya kuwafanya watoto wako wasiwe na akili pia.
Mwishowe unamuangalia mtoto wako amekuwa mjinga mjinga, unasema "Hapa nimepoteza mbegu tu".