Raha ya mwanamke awe na akili za kitoto sio unakuwa na mwanamke akili nyingi mpaka anafatilia mpaka vita vya Ukraine

Raha ya mwanamke awe na akili za kitoto sio unakuwa na mwanamke akili nyingi mpaka anafatilia mpaka vita vya Ukraine

Majukwaa yote kivipi? Sijawahi kuchangia kwenye ujenzi, stories of change, historia, magari n.k

Ukweli nisioupinga ni kweli najua mengi, tena kiundani na ndivyo nilivyo. Natumia muda wangu mwingi kusaka maarifa. Na hayo maarifa mengi nayapata kutoka kwa mchumba wangu.
Asante
Naomba namba ya mchumba wako, kuna vitu nijifunze bro
 
Bro huko mpakani mwa Syria huko umesikia yanayojiri?
DAh nimeshasikia bro. Wanatukumbusha machungu ya ISIS hawa. Nasikia wamekiwasha, na askari wa Asad, wamezidiwa nguvu. wanaachia tu vijiji.

Hii ni njama ya US na vibaraka wake, Israel baada ya kushindwa kwa Lebanon, wameamua kutumia hao wanamgambo, waanzishe vita. Ili Iran awe busy na Syria, kuna kitu kitatokea utaona tu.
 
Kuna raha ya kuwa na mwanamke Ana akili za kitoto kidogo ndani pachangamke, awe mshamba kiasi sio unakuta una mwanamke ana AKILI nyingi mpka unatumia nguvu nyingi kumdanganya.

Unakuta mwanamke anafatilia Uchaguzi wa Marekani kwa umakini, Channel zake ni ITV na BBC Tu. Anajua taarifa za vita ya Ukraine A-Z.

Anamjua Putin inside out na uwezo wake wa kivita.

Mke anajua kusoma mpaka deleted messages za WhatsApp.

Mwanamke anajua kuhack sms/calls.

Mwanamke anajua kudownload mods Apps kama Gb whatsapp kuinstall na kuupa
Mwanamke anajua kufungua facebook acc tatu.

Anajua kufungua magroup ya WhatsApp.

Mwanamke anajuankuhide app kwenye simu yake.

Mwanamke anapaswa kuwa nautoto utoto kiasi, awe mshamba kiasi mpka. Asiwe mjuaji sana wala mshamba kupita kiasi.

"A FEMALE MUST POSSES FEMINE HABITS"
Wewe kama mume uwe ndio AKILI ya familia.

Juu ya yote kiasi kwa kila jambo ni suala la msingi zaidi.

Kwako msomaji nini maoni yako?
Kabisa mkuu, we unakuta mwanamke anazijua mpaka dozi mbalimbali za vumbi la kongo.
 
Kuna raha ya kuwa na mwanamke Ana akili za kitoto kidogo ndani pachangamke, awe mshamba kiasi sio unakuta una mwanamke ana AKILI nyingi mpka unatumia nguvu nyingi kumdanganya.

Unakuta mwanamke anafatilia Uchaguzi wa Marekani kwa umakini, Channel zake ni ITV na BBC Tu. Anajua taarifa za vita ya Ukraine A-Z.

Anamjua Putin inside out na uwezo wake wa kivita.

Mke anajua kusoma mpaka deleted messages za WhatsApp.

Mwanamke anajua kuhack sms/calls.

Mwanamke anajua kudownload mods Apps kama Gb whatsapp kuinstall na kuupata.

Mwanamke anajua kufungua facebook acc tatu.

Anajua kufungua magroup ya WhatsApp.

Mwanamke anajuankuhide app kwenye simu yake.

Mwanamke anapaswa kuwa nautoto utoto kiasi, awe mshamba kiasi mpka. Asiwe mjuaji sana wala mshamba kupita kiasi.

"A FEMALE MUST POSSES FEMINE HABITS"
Wewe kama mume uwe ndio AKILI ya familia.

Juu ya yote kiasi kwa kila jambo ni suala la msingi zaidi.

Kwako msomaji nini maoni yako?
Mbona kama umemsema Joanah
 
Mwanamke anajua mpaka kutembea na kudumu cha mafuta kwenye gari na kwenye mteremko anashuka na nyutro kusave wese
 
DAh nimeshasikia bro. Wanatukumbusha machungu ya ISIS hawa. Nasikia wamekiwasha, na askari wa Asad, wamezidiwa nguvu. wanaachia tu vijiji.

Hii ni njama ya US na vibaraka wake, Israel baada ya kushindwa kwa Lebanon, wameamua kutumia hao wanamgambo, waanzishe vita. Ili Iran awe busy na Syria, kuna kitu kitatokea utaona tu.
Umenikumbusha kilichotokea mwaka 1963 April..... Hali ilikua mbaya 😹
 
We hujuiiii

Mwanamke awe na Uwezo wa akili wa kujiswitch wakati wowote as per the muktadha!
Huwezi kuwa kilaza muda wote wala kula genius mpk kwenye vitu kama kusugua mgongo jamani!
 
We hujuiiii

Mwanamke awe na Uwezo wa akili wa kujiswitch wakati wowote as per the muktadha!
Huwezi kuwa kilaza muda wote wala kula genius mpk kwenye vitu kama kusugua mgongo jamani!
Nmekumiss sana
 
Nina kademu katoto ka elfu kanapenda hip-hop hako, tukiwa ghetto kanachana mpaka ngoma za naughty by nature
Aisee duh ka2000 kanawajuaje hao au ni chai hii? Maana kuna wanaume na hawawajui hao maniga
 
Njoo tuyajenge mumy
Nimecheka enzo1988 sisi ndiyo wanatuita wajuaji 😅😅😅😅😅 hawajui kila sehemu, inahitaji kitu chake.
Kwenye kujifunza na kujua vitu tumo, kwenye mapenzi tunayajua na kudeka juu 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️ kwenye mpira tumo.
Sasa wanataka hao wasiojua lolote, wanaongea nini? Au wanaishia kusalimiana na kujigjig tu 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Kuna raha ya kuwa na mwanamke Ana akili za kitoto kidogo ndani pachangamke, awe mshamba kiasi sio unakuta una mwanamke ana AKILI nyingi mpka unatumia nguvu nyingi kumdanganya.

Unakuta mwanamke anafatilia Uchaguzi wa Marekani kwa umakini, Channel zake ni ITV na BBC Tu. Anajua taarifa za vita ya Ukraine A-Z.

Anamjua Putin inside out na uwezo wake wa kivita.

Mke anajua kusoma mpaka deleted messages za WhatsApp.

Mwanamke anajua kuhack sms/calls.

Mwanamke anajua kudownload mods Apps kama Gb whatsapp kuinstall na kuupata.

Mwanamke anajua kufungua facebook acc tatu.

Anajua kufungua magroup ya WhatsApp.

Mwanamke anajuankuhide app kwenye simu yake.

Mwanamke anapaswa kuwa nautoto utoto kiasi, awe mshamba kiasi mpka. Asiwe mjuaji sana wala mshamba kupita kiasi.

"A FEMALE MUST POSSES FEMINE HABITS"
Wewe kama mume uwe ndio AKILI ya familia.

Juu ya yote kiasi kwa kila jambo ni suala la msingi zaidi.

Kwako msomaji nini maoni yako?
Well said .
 
Yaani nilivyopata mkaka mwenye mawazo kama yako hakika nalishwa good time sio poa,yaani anahisi mimi ni mshamba flan hivi kila kitu namuuliza kumbe mwenzie hata ukiniamsha usingizini nikutajie kiongozi wa hezbollah nakutajia,ukiniuliza kupanda kwa hisa za Elon Musk baada ya Trump kushinda nakudadavulia,ukiniuliza habari za Namungo na Yanga nakusimulia,ukiambia maana ya neno "yas" mbadala ya tigo nakuelezea kiundanu,ila yeye hajui ananiona katotooo😉😉
 
Back
Top Bottom