Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Naomba namba ya mchumba wako, kuna vitu nijifunze broMajukwaa yote kivipi? Sijawahi kuchangia kwenye ujenzi, stories of change, historia, magari n.k
Ukweli nisioupinga ni kweli najua mengi, tena kiundani na ndivyo nilivyo. Natumia muda wangu mwingi kusaka maarifa. Na hayo maarifa mengi nayapata kutoka kwa mchumba wangu.
Asante
DAh nimeshasikia bro. Wanatukumbusha machungu ya ISIS hawa. Nasikia wamekiwasha, na askari wa Asad, wamezidiwa nguvu. wanaachia tu vijiji.Bro huko mpakani mwa Syria huko umesikia yanayojiri?
Kabisa mkuu, we unakuta mwanamke anazijua mpaka dozi mbalimbali za vumbi la kongo.Kuna raha ya kuwa na mwanamke Ana akili za kitoto kidogo ndani pachangamke, awe mshamba kiasi sio unakuta una mwanamke ana AKILI nyingi mpka unatumia nguvu nyingi kumdanganya.
Unakuta mwanamke anafatilia Uchaguzi wa Marekani kwa umakini, Channel zake ni ITV na BBC Tu. Anajua taarifa za vita ya Ukraine A-Z.
Anamjua Putin inside out na uwezo wake wa kivita.
Mke anajua kusoma mpaka deleted messages za WhatsApp.
Mwanamke anajua kuhack sms/calls.
Mwanamke anajua kudownload mods Apps kama Gb whatsapp kuinstall na kuupa
Mwanamke anajua kufungua facebook acc tatu.
Anajua kufungua magroup ya WhatsApp.
Mwanamke anajuankuhide app kwenye simu yake.
Mwanamke anapaswa kuwa nautoto utoto kiasi, awe mshamba kiasi mpka. Asiwe mjuaji sana wala mshamba kupita kiasi.
"A FEMALE MUST POSSES FEMINE HABITS"
Wewe kama mume uwe ndio AKILI ya familia.
Juu ya yote kiasi kwa kila jambo ni suala la msingi zaidi.
Kwako msomaji nini maoni yako?
Mbona kama umemsema JoanahKuna raha ya kuwa na mwanamke Ana akili za kitoto kidogo ndani pachangamke, awe mshamba kiasi sio unakuta una mwanamke ana AKILI nyingi mpka unatumia nguvu nyingi kumdanganya.
Unakuta mwanamke anafatilia Uchaguzi wa Marekani kwa umakini, Channel zake ni ITV na BBC Tu. Anajua taarifa za vita ya Ukraine A-Z.
Anamjua Putin inside out na uwezo wake wa kivita.
Mke anajua kusoma mpaka deleted messages za WhatsApp.
Mwanamke anajua kuhack sms/calls.
Mwanamke anajua kudownload mods Apps kama Gb whatsapp kuinstall na kuupata.
Mwanamke anajua kufungua facebook acc tatu.
Anajua kufungua magroup ya WhatsApp.
Mwanamke anajuankuhide app kwenye simu yake.
Mwanamke anapaswa kuwa nautoto utoto kiasi, awe mshamba kiasi mpka. Asiwe mjuaji sana wala mshamba kupita kiasi.
"A FEMALE MUST POSSES FEMINE HABITS"
Wewe kama mume uwe ndio AKILI ya familia.
Juu ya yote kiasi kwa kila jambo ni suala la msingi zaidi.
Kwako msomaji nini maoni yako?
Umenikumbusha kilichotokea mwaka 1963 April..... Hali ilikua mbaya πΉDAh nimeshasikia bro. Wanatukumbusha machungu ya ISIS hawa. Nasikia wamekiwasha, na askari wa Asad, wamezidiwa nguvu. wanaachia tu vijiji.
Hii ni njama ya US na vibaraka wake, Israel baada ya kushindwa kwa Lebanon, wameamua kutumia hao wanamgambo, waanzishe vita. Ili Iran awe busy na Syria, kuna kitu kitatokea utaona tu.
Nmekumiss sanaWe hujuiiii
Mwanamke awe na Uwezo wa akili wa kujiswitch wakati wowote as per the muktadha!
Huwezi kuwa kilaza muda wote wala kula genius mpk kwenye vitu kama kusugua mgongo jamani!
Ujinga unalitesa Taifa kakaAnaogopa maisha tu huyo.
Leo anakataa mwanamke mwenye akili nyingi halafu kesho atalalamika kwa nini watoto wake hawana akili πππUjinga unalitesa Taifa kaka
Imagine watoto watakaolelewa hapoLeo anakataa mwanamke mwenye akili nyingi halafu kesho atalalamika kwa nini watoto wake hawana akili πππ
Aisee duh ka2000 kanawajuaje hao au ni chai hii? Maana kuna wanaume na hawawajui hao manigaNina kademu katoto ka elfu kanapenda hip-hop hako, tukiwa ghetto kanachana mpaka ngoma za naughty by nature
Nimecheka enzo1988 sisi ndiyo wanatuita wajuaji π π π π π hawajui kila sehemu, inahitaji kitu chake.
Kwenye kujifunza na kujua vitu tumo, kwenye mapenzi tunayajua na kudeka juu π€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈ kwenye mpira tumo.
Sasa wanataka hao wasiojua lolote, wanaongea nini? Au wanaishia kusalimiana na kujigjig tu πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Mh.! Huyo ni TISSUnanikumbusha mie wa kwangu juzi nimemkuta anasoma baadhi ya taarifa kwenye website ya CIA nilichoka mimi
Hajui kuwa hata kwenye kurithi mtoto anaweza kurithi mengi kutoka kwa mama.Imagine watoto watakaolelewa hapo
Mama hata hajui dunia inatoka wapi inaenda wapi
na simuachi nampendaMh.! Huyo ni TISS
Well said .Kuna raha ya kuwa na mwanamke Ana akili za kitoto kidogo ndani pachangamke, awe mshamba kiasi sio unakuta una mwanamke ana AKILI nyingi mpka unatumia nguvu nyingi kumdanganya.
Unakuta mwanamke anafatilia Uchaguzi wa Marekani kwa umakini, Channel zake ni ITV na BBC Tu. Anajua taarifa za vita ya Ukraine A-Z.
Anamjua Putin inside out na uwezo wake wa kivita.
Mke anajua kusoma mpaka deleted messages za WhatsApp.
Mwanamke anajua kuhack sms/calls.
Mwanamke anajua kudownload mods Apps kama Gb whatsapp kuinstall na kuupata.
Mwanamke anajua kufungua facebook acc tatu.
Anajua kufungua magroup ya WhatsApp.
Mwanamke anajuankuhide app kwenye simu yake.
Mwanamke anapaswa kuwa nautoto utoto kiasi, awe mshamba kiasi mpka. Asiwe mjuaji sana wala mshamba kupita kiasi.
"A FEMALE MUST POSSES FEMINE HABITS"
Wewe kama mume uwe ndio AKILI ya familia.
Juu ya yote kiasi kwa kila jambo ni suala la msingi zaidi.
Kwako msomaji nini maoni yako?